Dah, kweli tunatofautiana.......

Ndiyo huyo huyo unayemfikiria wala sijakosea

Off topic lazima ziwepo ili mada ichangamke!Kwani tuko jeshini hapa mpaka tuwe kwenye pozi la ATTENTION muda wote?Tunahitaji kua AT EASE ili tuweze kuchangia!

Hivi nini maana ya Great Thinker?

Hivi una chaja ya kobe ya pini ndogo lolz

Fy..Fynest mbona unaniangusha babaangu!?

Kweli tunatofautiana uwezo wa kutafakari na kutenda..
Ila nasita kuwaita Great thinkers....
 
I am doin gud honey Posted via Mobile ha ha ha umesimama pale where you told me lol!!!!!

Hahahahahahahah lol
yes pale pale hata mguu sikusogeza lol
masaa mawili yamebakiae halafundo
 
Wewe mwanamke sasa unataka kuiniaibisha hapa, haya mambo ya KUGONGA unajua sio mazuri presha yaweza shuka, halafu kuna ishu inabidi tuzungumze nadhani Teamo atakuwa amekupa hint kama bado nitakushtua nikwambie

Ha ha ha ha ha ha ha, mkesha wa story via bluetooth naupenda sana, tunaongea yote,
hadi story za mende na buibui na mbu halafu maisha yanakwenda.
Hebu niambie hiyo ishu bana, inaweza kuwa ya pesa nikapata ya kununua nyama jpili hii.
Nakudai halafu!!
 
Ha ha ha ha ha ha ha, mkesha wa story via bluetooth naupenda sana, tunaongea yote,
hadi story za mende na buibui na mbu halafu maisha yanakwenda.
Hebu niambie hiyo ishu bana, inaweza kuwa ya pesa nikapata ya kununua nyama jpili hii.
Nakudai halafu!!
Yaani wewe na pesa ni kama mfagio na vumbi
 
Duh kweli TANMO yuko right mnaibaka thread ya watu
 

mh!.....
 
hata mimi mwanzo nilikuwa na mawazo kama yako na nilikuwa nafanya hivyo hivyo infact. Huo ni ugonjwa wa kushindwa kufanya muendelezo wa mazungumzo. Kama ni vitu hivyo vya maana unvyoviona vya kumpigia simu basi utakuwa unarudia yale yale kila siku. Vitu ambavyo waviona havina maana ndo hao unaowaita mademu wanapenda,,,jaribu uone....
 
yap kama ulivoanza nakusema wanaume mnatofautina ni kweli, wewe akili yako inawaza kila mwanamke unayeongea naye lazima umtongoze kwanza si ndio... wengine wanapenda urafiki na kufurahi na roho zao, kwako wewe maongezi ya man u na chelsea umeona ya maana ila kwa mwengine hayana maana. mi huwa naongea na rafiki zangu hata 8 hrs hata sometyms huniuliza umevee nguo gani leo nk
 
SASA TATIZO LIKOWAPI JAMANI WE SI USHAKUBALI KUWA MNATOFAUTIANA?????? story unazo ona wewe za maana kwa wenzio hazina maana
 
yani uloandika ni mchango tosha
 
uwo tunasema ni ulofa kuongea na mtu ni jambo muhimu sana acha masela waongee naye basi kama utaridhi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…