Daudon
Member
- Sep 4, 2017
- 63
- 87
Huyu Mange ni shida. Akiamua kutumia uwanja wake kushambulia mtu yani ni shida. Juzi hapa Kiba alipotoa wimbo wake watu (akiwepo yeye) waliona kama ajabu vile kwa Kiba kufikisha views 1m kwa saa 24 kupitia youtube. Leo Diamond kapata views hao hapo kwa muda huo lakini anainekana ni 'mwizi' wa views. Diamond hajasema kitu yeye anapost tu kazi zake.
Kabla ya hapo wakati wa mobeto kuwa na mimba hadi kujifungua kijana wetu alisakamwa sana na huyu dada, ambaye kwa namna nyingine namkubali tu. Kila mara alipost habari za Abdul na mwisho wa siku Abdul alikuja kuongea na kuwanyamzaisha kwa hayo.
Sasa nimeona tena kuhusu ndoa ya zamaradi mara Zari kahusishwa tena. Kwamba Zama ndiye strong woman kisa kafanya maamuzi ya kuolewa.
Leo mpinzani wa Abdul ambaye ni Kiba yuko vevo. Mange naye huyo. Anataka Diamond aende huko kushindana na Kiba...
Mange endelea na michango dada. Kama Diamond alikukosea msamehe tu na maisha yaendelee. Ni hayo kwa sasa maana nami usijenigeuzia kibao maana wewe huchelewi kugombama hata na kivuli
Kabla ya hapo wakati wa mobeto kuwa na mimba hadi kujifungua kijana wetu alisakamwa sana na huyu dada, ambaye kwa namna nyingine namkubali tu. Kila mara alipost habari za Abdul na mwisho wa siku Abdul alikuja kuongea na kuwanyamzaisha kwa hayo.
Sasa nimeona tena kuhusu ndoa ya zamaradi mara Zari kahusishwa tena. Kwamba Zama ndiye strong woman kisa kafanya maamuzi ya kuolewa.
Leo mpinzani wa Abdul ambaye ni Kiba yuko vevo. Mange naye huyo. Anataka Diamond aende huko kushindana na Kiba...
Mange endelea na michango dada. Kama Diamond alikukosea msamehe tu na maisha yaendelee. Ni hayo kwa sasa maana nami usijenigeuzia kibao maana wewe huchelewi kugombama hata na kivuli