Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dogo nje ya mada naomba kuuliza tofauti na kutapika je unaweza kutoa nyongo kwa kunya?Hapa Naona kama nimepigwa hivi, siku tano baada ya mizagamuo anahisi mimba!?
Ila siku niliokutana nae alikuwa danger day
Oya nishaharibu
Ni vitu vya kawaida...Kuna muda tumbo hucheza lenyewe
wiki mbili tu tumboni kumeanza kucheza - hii kali imeongezewa pilipili nyingi!
Sio wiki ni siku Tano 😂wiki mbili tu tumboni kumeanza kucheza - hii kali imeongezewa pilipili nyingi!
hapo ulishafinyangiwa hicho kiumbe na sasa kimelengwa kwako kama kisingizioSio wiki ni siku Tano 😂
Oiii Cuba mwamba Cuba baharia1. Siku uliyokutana nae Alikupanga tu kuwa yuko Danger. Kwasababu
2. Ili baada ya kukupa tunda, anakupa muda kidogo ili akupige na ishu ya mimba
3. Baada ya hapo atakuomba hela ya kutoa
4. Na Ataangalia kias gan cha hela unachotaka kutoa ili atoe mimba au kama hautak itoke atakupa vizinga vidogo vidogo na kuona jinsi gan unavyomuhudumia.
6. Nia ni kukuchuna tu kwa namna yoyote ww utakavyo react.
Ushauri:-
Kubali Mimba, na sema utamtafuta siku yoyote mapema ili mpime wote vipimo ving ili mjue mnaanzia wap kupanga maendeleo ya kwenu na mtoto wenu.
Hapa utajua kuwa je kuna mimba na ina muda gan!.
Wadada wawil enzi zangu walishaletaga mastory kama haya na nikachoka.
Cuba mwamba, cuba baharia
Minyoo🤣🤣kuvimbiwa😀😀