Dah! Selewiii kabisa still nampenda

Dah! Selewiii kabisa still nampenda

Binadamu Mtakatifu

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2021
Posts
4,226
Reaction score
8,879
Tujifunzage kuwa unachoona huwezi kukiacha kutokana na mapenzi basi usikibugudhi au kukichunguza

Kwenye maisha yangu nimedate na wanawake lkn most of them wamenizidi umri one or two years

Kuna huyu mmoja jamani alinikuta nipo na mchumba wangu ila nilimkataa yule kuwa naye nilimpenda kuliko first lover wangu nilikua na mipango naye alionesha kujali pia hana makuu na mtu hata mkipotezana salamu zake unazipata

Tuliachana tena ni mm nilimwambia mm na wewe basi nikijua nitamsahau nilikaa mda ikabidi nifunguke akakubali tuendeleee akiniimiza kuwa mawasiliano ndio kitu cha msingi ila yeye hanitafuti mpk nimtafute

Nikaamua kumwanga chini nikafuta namba yake ila alijua na anajua nn napenda kuniiimbia ndio ugonjwa wangu naye hufanya hivyoo

Miezi 3 nafikiri imepita sasa nimempata mwingine tuna mwezi manzi kaoza sana ila tatizo kwangu mm uongo siuwezi au kukaa na jambo kila tukipiga story coz kila usiku hinipigia basi sometime namkumbuka sana sana yule mpenzi wangu mpk natamani nimwambie huyu dada jinsi gani ninampenda yule mwanamke

Leo uvumilivu umenishinda nimemtumia text messenger

JAMANI NAMPENDAAAAAA NAMPENDAAAAA NAMPENDAAÀ SIO MZURI SAANA ILA JMN NAMPENDAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA

NIMESHINDWA KUMTOA AKILINI NILIKUTANA NAE 2019 NAMPENDAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
I WISH HATA NIWE MCHAWI NIMFANYE KUWA WANGU NINGEKUWA RAISI BASI NINGEMFANYA KUWA MUONGEAJI WANGU

NAMPENDAAAAAAAA JMN DAAAH
 
Sanka tumele tumele nina jina na nina hela napendwa na mademu na masela

Chali chali wapinzani chali

Wasikia gere waambie tupo ngangari
JamiiForums-985558273.jpg
 
Tujifunzage kuwa unachoona huwezi kukiacha kutokana na mapenzi basi usikibugudhi au kukichunguza

Kwenye maisha yangu nimedate na wanawake lkn most of them wamenizidi umri one or two years

Kuna huyu mmoja jamani alinikuta nipo na mchumba wangu ila nilimkataa yule kuwa naye nilimpenda kuliko first lover wangu nilikua na mipango naye alionesha kujali pia hana makuu na mtu hata mkipotezana salamu zake unazipata

Tuliachana tena ni mm nilimwambia mm na wewe basi nikijua nitamsahau nilikaa mda ikabidi nifunguke akakubali tuendeleee akiniimiza kuwa mawasiliano ndio kitu cha msingi ila yeye hanitafuti mpk nimtafute

Nikaamua kumwanga chini nikafuta namba yake ila alijua na anajua nn napenda kuniiimbia ndio ugonjwa wangu naye hufanya hivyoo

Miezi 3 nafikiri imepita sasa nimempata mwingine tuna mwezi manzi kaoza sana ila tatizo kwangu mm uongo siuwezi au kukaa na jambo kila tukipiga story coz kila usiku hinipigia basi sometime namkumbuka sana sana yule mpenzi wangu mpk natamani nimwambie huyu dada jinsi gani ninampenda yule mwanamke

Leo uvumilivu umenishinda nimemtumia text messenger

JAMANI NAMPENDAAAAAA NAMPENDAAAAA NAMPENDAAÀ SIO MZURI SAANA ILA JMN NAMPENDAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA

NIMESHINDWA KUMTOA AKILINI NILIKUTANA NAE 2019 NAMPENDAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
I WISH HATA NIWE MCHAWI NIMFANYE KUWA WANGU NINGEKUWA RAISI BASI NINGEMFANYA KUWA MUONGEAJI WANGU

NAMPENDAAAAAAAA JMN DAAAH
Bureee kabisa wewe
 
Back
Top Bottom