Majigo
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 5,519
- 1,828
Nilosimuliwa...
Kuna dada mmoja hivi yupo kwenye ndoa mwaka wa sita huu sasa, lakini hana amani na ndoa yake yani na amani inavunjika kwa sababu ya mumewe kupenda mechi za nje, yani yeye anasema ni mwaka wa mwanzo tu ndio alikuwa na furaha na ndoa yake lakini sasa kila kukicha wananuniana na maugomvi kibao kwenye nyumba.
Alishawekewa vikao vingi sana na familia mumewe akiahidi kwamba atajirekebisha lakini ikawa kila kukicha afadhali ya jana, ikafika kipindi akataka kabisa aondoke yani aachane na mumewe lakini ananiambia kuna siku moja akiwa tu peke yake ndani akajiuliza nikiondoka sitowatendea haki watoto wangu kukuzwa bila mapenzi ya baba nitakaa tu na mume wangu akirudi niongee naye anieleze sababu haswa zinazomfanya kuendekeza umalaya labda kunajambo ambalo kila siku alikuwa naogopa kulisema kwenye vikao tunavyokaa kuzungumzia matatizo ya ndoa yetu.
Jumamosi moja akaamua kulitoa dukuduku lake na kuongea na mumewe, mumewe akamwambia kwamba umalaya wake unasababishwa na yeye mkewe, kwamba yeye hataki kumpa nyuma na huko anapoenda huwa anapewa nyuma....!!!!!!(what?????),kwahiyo kuliko kumlazimisha ni afadhali tu awe anapata huko nje.
Mkewe kwasababu alikuwa anampenda sana mumewe na hakupenda amani inavyovurugika katika nyumba yake akaona kama sababu inayomtoa mumewe nje ni upande wa pili basi atampa mumewe upande wa pili!!!!!!!!!!!!!!!!!!(hehe heiya)
Kweli shosti anasema akaanza kumpa mumewe upande wa pili japo iliuma lakini alijikaza na baada ya muda akazoea na akaniambia kweli mabadiliko yalionekana kwenye ndoa mwanaume alibadilika, kukawa na amani yani alifurahia sana
ndoa yake mpaka akawa anajilaumu kwanini hakumpa tokea zamani.
Muda ukaenda maumbile ya shosti sasa yakaanza kuharibika, pakatanuka ikafikia mpaka sasa akiwa ameketi akisimama anakuwa ameloa nyuma, yani akitoka ni lazima avae pedi ili asiumbuke barabarani!!!! ilipofikia hapo mumewe akaanza tena tabia yake ya zamani ya kutoka nje, mkewe akimuuliza kwanini ameanza tena na huku yeye anampa mumewe humwambia kwake kumesha tanuka anatafuta vilivyo sinjaa!!!!! Yule dada anasema alitaka kufa, ameharibika kwa kumpa raha mumewe sasa mwanaume bado anamtesa kwa umalaya, yani kwa jinsi anavyomchukia mumewe sasa anataka hata kumfanyaje sijui, sasa amebaki kuishi maisha ya utumwa tu amani hamna wanaishi kimazoea tu maana mwanaume kama kala miguu ya kuku kila kukicha mguu na njia na dogodogo.
Na sio kwamba ni anamwanamke mmoja.
..... duh!huyu kaka noma yani yeye anakula mbele na upande wa nyuma na kwajinsi mkewe alivyonihadithia ameshawapakuwa
wanawake wengi sana!!!
dunia hii mmhhhh......!
Kuna dada mmoja hivi yupo kwenye ndoa mwaka wa sita huu sasa, lakini hana amani na ndoa yake yani na amani inavunjika kwa sababu ya mumewe kupenda mechi za nje, yani yeye anasema ni mwaka wa mwanzo tu ndio alikuwa na furaha na ndoa yake lakini sasa kila kukicha wananuniana na maugomvi kibao kwenye nyumba.
Alishawekewa vikao vingi sana na familia mumewe akiahidi kwamba atajirekebisha lakini ikawa kila kukicha afadhali ya jana, ikafika kipindi akataka kabisa aondoke yani aachane na mumewe lakini ananiambia kuna siku moja akiwa tu peke yake ndani akajiuliza nikiondoka sitowatendea haki watoto wangu kukuzwa bila mapenzi ya baba nitakaa tu na mume wangu akirudi niongee naye anieleze sababu haswa zinazomfanya kuendekeza umalaya labda kunajambo ambalo kila siku alikuwa naogopa kulisema kwenye vikao tunavyokaa kuzungumzia matatizo ya ndoa yetu.
Jumamosi moja akaamua kulitoa dukuduku lake na kuongea na mumewe, mumewe akamwambia kwamba umalaya wake unasababishwa na yeye mkewe, kwamba yeye hataki kumpa nyuma na huko anapoenda huwa anapewa nyuma....!!!!!!(what?????),kwahiyo kuliko kumlazimisha ni afadhali tu awe anapata huko nje.
Mkewe kwasababu alikuwa anampenda sana mumewe na hakupenda amani inavyovurugika katika nyumba yake akaona kama sababu inayomtoa mumewe nje ni upande wa pili basi atampa mumewe upande wa pili!!!!!!!!!!!!!!!!!!(hehe heiya)
Kweli shosti anasema akaanza kumpa mumewe upande wa pili japo iliuma lakini alijikaza na baada ya muda akazoea na akaniambia kweli mabadiliko yalionekana kwenye ndoa mwanaume alibadilika, kukawa na amani yani alifurahia sana
ndoa yake mpaka akawa anajilaumu kwanini hakumpa tokea zamani.
Muda ukaenda maumbile ya shosti sasa yakaanza kuharibika, pakatanuka ikafikia mpaka sasa akiwa ameketi akisimama anakuwa ameloa nyuma, yani akitoka ni lazima avae pedi ili asiumbuke barabarani!!!! ilipofikia hapo mumewe akaanza tena tabia yake ya zamani ya kutoka nje, mkewe akimuuliza kwanini ameanza tena na huku yeye anampa mumewe humwambia kwake kumesha tanuka anatafuta vilivyo sinjaa!!!!! Yule dada anasema alitaka kufa, ameharibika kwa kumpa raha mumewe sasa mwanaume bado anamtesa kwa umalaya, yani kwa jinsi anavyomchukia mumewe sasa anataka hata kumfanyaje sijui, sasa amebaki kuishi maisha ya utumwa tu amani hamna wanaishi kimazoea tu maana mwanaume kama kala miguu ya kuku kila kukicha mguu na njia na dogodogo.
Na sio kwamba ni anamwanamke mmoja.
..... duh!huyu kaka noma yani yeye anakula mbele na upande wa nyuma na kwajinsi mkewe alivyonihadithia ameshawapakuwa
wanawake wengi sana!!!
dunia hii mmhhhh......!