Eng Inc JF-Expert Member Joined Feb 3, 2017 Posts 631 Reaction score 944 Jan 12, 2019 #21 gongolamboto said: Mkenya wewe umesema ukweli kabisa. Lakini tutawanyoosha tu. Hata wakienda kwa waume zao ulaya kushitaki Click to expand... Kule kwenye dodoma kwenye zile sauti za kishetani za ndiooooooo ndo chimbuko la matatizo ya nchi yanapoanzia Sent using Jamii Forums mobile app
gongolamboto said: Mkenya wewe umesema ukweli kabisa. Lakini tutawanyoosha tu. Hata wakienda kwa waume zao ulaya kushitaki Click to expand... Kule kwenye dodoma kwenye zile sauti za kishetani za ndiooooooo ndo chimbuko la matatizo ya nchi yanapoanzia Sent using Jamii Forums mobile app
Mkikuyu- Akili timamu JF-Expert Member Joined Feb 16, 2018 Posts 4,310 Reaction score 7,465 Jan 12, 2019 #22 JPM atakumbukwa kwa kukomesha wizi kama huu. Hongera kwa kazi yako nakuwa mfano kwa nchi za afrika.
N Nunc dimittis JF-Expert Member Joined Oct 19, 2018 Posts 1,142 Reaction score 777 Jan 12, 2019 #23 King Kong III said: Hapa kama kuna sarakasi mkuu....Naona kama Picha la Kihindi hivi. Click to expand... we sema sarakasi,unaijua sifa ya wapikistani wewe,zaidi ya naija
King Kong III said: Hapa kama kuna sarakasi mkuu....Naona kama Picha la Kihindi hivi. Click to expand... we sema sarakasi,unaijua sifa ya wapikistani wewe,zaidi ya naija