Dah! Uchebe umeshayakanyaga jiandae

Ndo tunasubiri Uchebe amchakaze na John
Dawa ya mwanamke mwenye kiburi ni kumshitua usingizini na ngumi ya uzito mgongon mpaka apige ukunga uliotukuka
 
Uchebe nampenda sana, amefanya kitu ninachokipenda. Asisikilize kelele za majuha mjini wanaomkebehi..uchebe ni mwanaume wa kweli kwa alichokifanya.
Mimi namkubali sana hasa
1. Yeye ni mwaume mwenye upendo sana kwa mkewe kuliko hata wanaume walioko nchini, hapendi mkewe atende dhambi, anajitahidi kumrudisha mke wake katika njia zilizosahihi hata kwa maumivu, uchebe wewe ni mwanaume wa kweli. Wewe uko vyema sana unaokoa mke wako pamoja na familia kwa ujumla, hakuna atakaye kulindia familia yako wewe usipojaribu kuilinda

2. Wewe unajitambua kuwa ni KICHWA CHA NYUMBA, lazima familia iende sawa na wewe utakavyo...hata kwa bakora na kichapo. Nimekukubali sana usitishwe na kelele za majuha mjini huko wanaokukebehi. Uchebe atambue yeye ndiye mwanaume wa kweli na wa leo!!!. keep it up!!.
 
Siku akienda magereza onyesha upendo zaidi wa kwenda nae mkale maisha
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aseeeeeh lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…