Dah wanaume taabu

unamrushia vocha ya buku tu lol
dawa ya hawa 'chuna buzi type' usiwanyime kabisa
unawapa tu robo ya 'anachotaka kukuchuna'

Mi huwa nawakomesha sana,nauli buku 2!!ukitaka m-pesa unakula buku 5500 sizidishi hata senti
 
Dah mi nakubaliana na wewe kabisa mkuu "Mtu anayekupenda for real hatakuletea invoice kabla hajajua status yako financially, pili atakuwa anakushauri on development issues and not all spending za kipuuzi kama kwenye ka ujumbe hako"

Wanaume kama mnaona mna ka mtu ka dizaini hii piga chini tafuta mwingine. Spend somewhere worth
 
Issue siyo akatumie na nani,cha mno nimepata ninachotafuta kwake na biashara imeisha,dogo achukue asichukue mie hainihusu
 
Issue siyo akatumie na nani,cha mno nimepata ninachotafuta kwake na biashara imeisha,dogo achukue asichukue mie hainihusu
Ndio umepewa dakika tatu tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…