Mikopo Chefuchefu
JF-Expert Member
- May 15, 2017
- 3,373
- 6,795
Hujaelewa kwamba ukitumbuliwa huachiwi uishi kwa raha, ingekuwa hivyo wengi wasingeogopa kutumbuliwa.Sikutegemea kama warning letter ingeweza kymchanganya kiasi hiki mwanasiasa mpendwa eng Haizai Kamwelwe.. Haya mambo yalitakiwa yamchanganye kijana anayeanza maisha, au mtu ambaye anasomesha na hajajenga.
Kwa uinjinia wake huo hata akioneshwa mlango wa kutokea kwani ataweza kukosa tenda ya kujenga nyumba mitaa yote hii ya jiji ambayo ujenzi unaendelea kila kukicha?
Injinia, acha woga.. Chapa kazi.. Hayo mambo ni ya kawaida tu.
Maji ya moto yashapoa mzee wangu.
Nani huyo boss.!Hujaelewa kwamba ukitumbuliwa huachiwi uishi kwa raha, ingekuwa hivyo wengi wasingeogopa kutumbuliwa.
Sasa hivi ukitumbuliwa unafuatiliwa, unakuwa blacklisted na unaweza hata kutafutiwa kesi ya kubambikiwa.
Kuna Mkuu wa Mkoa kajiuzulu, rais anamsakama kama hakuwa na haki ya kujiuzulu.
Na huyo kajiuzulu, hajatumbuliwa.
Sent from my typewriter using Tapatalk
Muongo tu huyo. RC pekee aliyyeomba kupumzika ni Mzee Neck Sadiki. Na kapumzika kweri kweri. Nenda saa hizi hotel moja jirani na Rock City Mall ina jina la ndege utamkuta "kapumzika anakata mai"!