King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Mnasemaga hemed ana masifa,ila hamkutii huyu chai jaba,asa ye anaona ufahali kutembea na hao malaya waliokubuhu kama akna jokate?
wakuu mbona hasira hivyo hadi mnamwita mwenzenu chai jaba!
anakera sana ndio maana anabebeshwa majina yote hayo!
Ha ha haaaa umenikumbusha Zay to the B mwanadada gaidi Domo kama chai Jaba! Chai Jaba aangalie sana maana hawa watoto wanajua kutumia pesa kweli wasije kumbemenda accounts zake si umeona FA,mtoto wa kimei,hasheem wamelamba waksepa sasa huyu chai jaba anataka aweke kambi,ila wadada aliowapitia wanadai jamaa ana mguu wa mtoto.
Duh!!yani ulivyomaind ndugu yangu...anachokukera nini mkuu mtu kuishi maisha yake?
Kama unaona Jokate hamfai basi mtafutie wewe unayeona anamfaa..
mguu wa mtoto ndio ukoje uo mkuu??