Hamna kitu kwa joketi, mimi nilimgonga enzi hizo form iv akiwa mbichi st anthony sec.
Uyu angetafutaga tu wa nepi za kanga wenzie, awa wa pampers na maziwa ya unga awaachie wenyewe..watoto wa mujini watamchuna ad domolo lake,shaur yake..yan wamchune ad za kuendea kwa waganga akose..
Ol n ol, wsh hm th best
thubutu!! Ako katoto ka tandale mie nikapeleke wapi,atawapata washamba wenzie wa mji.
ule mdomo wake kama ungekuwa wako judi wa kishua tungesema na wewe una mdomo wa chemba la maji
Ana domo kubwa ka chemba za choo.
Jo.kate ni bnt mzur lakn mpu.mba.vu!atatembeaje na huyu m.jinga wa tandale!
last time Jokate alisema Diamond is too low kwake! hilo ni tusi kubwa sana kwa wote.
siamini thread kama hii @ muuza sura hajachangia
Gold Addict...sina cha kuchangia mkuu!Diamond anakimbiza wewe si unaona wachimba chumvi katika hii thread walivyopanic!sinza kina kanumba watu walisahau majonzi wakaanza kumshangilia msibani,leaders siku ya kuaga alisindikizwa na polisi yaani full ulinzi,juzi dar live kaitapisha,katua na helicopter,kachukua mamiss tanzania namba moja na namba mbili wake (record hiyo hamna msanii yeyote duniani aliyewahi kufanya),mlimani city alichokifanya sina haja ya kusema!.....
Mimi mbishi ila diamond kipindi hiki nimemvulia kofia!kuna matukio nikiweka hapa michimba chumvi italeta kujuana!umesahau na mashabiki walivyomuomba wasukume gari lake mpaka kwake tokea makaburini,akalizima wakaanza kulisukuma kweli naskia mpaka mwenyewe akawakataza..kweli wakati wake huu dogo!
tuwekee bwana achana na wachimba chumviMimi mbishi ila diamond kipindi hiki nimemvulia kofia!kuna matukio nikiweka hapa michimba chumvi italeta kujuana!