Aibuuuuu! Ubwabwa utamjua tuuuu, hata akijificha, harufu humuumbua!
Iv ile sensa ya kusaka wachawi iliishia wapi???
Oooops!! poor u, this is your wish for him, Oh! Dear Lord may this work against u.
Ilianza lini vile...?
Hii shughuli leo kaingia punga, ni zaidi ya mwanga.
Hii shughuli leo kaingia punga, ni zaidi ya mwanga.
Kujenga nyumba ni dalili za uoga, kuishi kistaa ni lazima ukae mjini, hata hivyo dogo umejitahidi kujenga nyumba kumi sio mchezo nafikiri hata benadi Membe hana idadi hiyo. Yaani kumi mara mil mia 2 = bil 2 ????
Kwani we ni adui yako ???ndugu yako nini?
Utaambiwa una wivu na wewe.
Lakini hiyo ya nyumba 10 umeiamini kweli?
Wena atazimia kupakosa hapa.Msanii Diamond Platnumz amepost moja ya nyumba yake akisema hiyo ni moja ya kumi ya nyumba alizonazo, huku akisema ina vitu kama gym, jaccuzi,swimming pool, studio, pooltable, lounge etc
View attachment 237154
View attachment 237155
View attachment 237157