Daimond Platnumz aonyesha muendelezo wa moja ya Nyumba zake

Kwahiyo pale alikuea hotelini ama alikuwa kwny nyumba za watu mmmmmm kama kweli nimemwogopa dogo jax hana albam hata moja lkn picha ya jengo kubwwwww

Sio dogo jax na wewe,sijui mpemba wewe, anaitwa Jux.
 
Nimemuona Zari leo Game anafanya shoping, nadhani ni kweli wamehamia nyumba mpya.

Nimeona mapicha pia insta.... wanapanga mivyombo na makorokocho mengine...

Watu kwa maneno eti pagala... pagala si lake.. ukute ye,anaishi stoo halafu hapa anakandia hilo the so called "pagala"
 

great mind discuss ideas,poor mind discuss people....
 
Unajua umbea bila picha haunogi???

Halafu dogo anapenda kuzungumzwa sana anachosha
Umenigusa ndipoooooooooooooo,Raha ya umbea picha au chanzo kama kusema mbona wenye navyo hawasemi wala hawatangazi? ujua mkuu vijisenti ukivishika ukubwana lazima uwehuke,simshangai sanaaaa sababu kwake mageni...
 
Labda msanii gani kaweka Picha ya choo, hahahha na kulazimisha ni cha dola kadhaaa hahaha ushamba bana. Mwambieni mafanikio yatajionyesha yenyewe asilazimishe la.sivyo anaonekana chicken tu, ajifunze kutoka kwa kina AYYYYYYY NA PROF J,
Badala ya kujifunza kwa AY au Profesa J kutoonesha choo cha home kwake, yeye ameamua kujifunza kwa Kanye West: Gild The Throne! Kanye West and Kim Kardashian flush nearly $1 million on gold plated toilets for their new Bel Air mansion:

Umesema vyake sio? Sasa matangazo ya nini, he is insecure! Thats it.
Kama kuonesha chako mtu ni feeling of insecurity, nyumba ya role model wako, Profesa J, hii hapa:

View attachment 237581

View attachment 237583

Role model wako, ambapo kwa mujibu wa maelezo yako mtu kuonesha kilicho chake ni dalili ya feelings of insecurity, ametuonesha hadi sehemu anayolala:

View attachment 237584

Na kwa kukuonesha sio kwamba hizo picha zilipigwa kwa siri bila Prof J mwenyewe kufahamu, Pof mwenyewe huyu hapa:"hii nyumba nimeanza kuijenga wakati nimezidiwa pia na ujana mwingi, nilikua napata kiasi kikubwa sana cha fedha lakini nilikua nashindwa kumanage zile hela, kama unavyoona vijana wengi sana sasa hivi, watu wanapata sana hela, tunapata hela sana kwenye matamasha, albums, huwa tunasema sio hela zinazotosha lakini ni hela nyingi kwa mtu ambae akizihesabu, kwangu pia kusave hela lilikua tatizo kubwa sana" ameamplfy Profesa Jay Prof alianza kuijenga hiyo nyumba zaidi ya miaka mitano mpaka sasa hivi, ipo MBEZI ya KIMARA"

Narudia swali langu la awali: Ina maana wewe hii ni mara yako ya kwanza kuona celebrities mbalimbali duniani wakionesha nyumba zao?
Cristiano Ronaldo villa


RONALDHINO'S HOUSE

<strong>
Take A Look At Davido's Multi-Million Naira Mansion in Lekki







Take A Look At Davido's Multi-Million Naira Mansion in Lekki | Beanball Media Blog

Dr. Dre Just Bought the Brady/Bundchen Mansion for $40MM


Kwako wewe, Diamond ni mshamba, mwanaume mzima anaringishia jiko! Mshamba mwingine Dr. Dre huyu hapa:


Hivi hiyo avatar yako ni ya celebrity gani? Sio huyu hapa?


Kwahiyo hao wote ni washamba na wewe ndio mjanja sio? Au hao wengine wote ni wajanja lakini Diamond ndio mshamba sio? Namalizia kwa swali langu lile lile la awali, Ina maana hii ni mara yako ya kwanza kuona picha za mali zinazomilikiwa na celebrities duniani??
 
Last edited by a moderator:
Ila jamani kuponda mmezidi, kiukweli Diamond alivyotupia kule instagram, amesema ni nyumba yake nami nampongeza sana. Mengine hayo tuya ache. Ulikuwa wapi kuleta uzi? Hadi usubiri Diamond atupie picha INSTAGRAM? Shame
 
Nimeona mapicha pia insta.... wanapanga mivyombo na makorokocho mengine...

Watu kwa maneno eti pagala... pagala si lake.. ukute ye,anaishi stoo halafu hapa anakandia hilo the so called "pagala"

Kweli kabisa! Usikute yeye mwenyewe hny hata kibanda watu wanabakia kuponda tu
 
Ila jamani kuponda mmezidi, kiukweli Diamond alivyotupia kule instagram, amesema ni nyumba yake nami nampongeza sana. Mengine hayo tuya ache. Ulikuwa wapi kuleta uzi? Hadi usubiri Diamond atupie picha INSTAGRAM? Shame

like like like like like like like.............
 
chige unayaweza mmmh, ila binamu unamsifia mwanaume mwenzio sana, hayo mambo waachie akina Dinazarde wenye ndoto za kulala na ndomo, aaaaaah natania tuuu
 
Last edited by a moderator:
Kwanza siku si nyingi mtasikia balaa zito, save the ushuhuda
 
chige unayaweza mmmh, ila binamu unamsifia mwanaume mwenzio sana, hayo mambo waachie akina Dinazarde wenye ndoto za kulala na ndomo, aaaaaah natania tuuu

Kwa hiyo wewe hua unamsifia jaydee hua una ndoto za kulala nae!!acha mawazo potofu
 
Last edited by a moderator:
Kwa hiyo wewe hua unamsifia jaydee hua una ndoto za kulala nae!!acha mawazo potofu

Opposite sex wakisifiana haileti tatizo, kumsifia mwanaume mwenzangu siwezagi kabisa.... umeamkaje lakini?
 
Opposite sex wakisifiana haileti tatizo, kumsifia mwanaume mwenzangu siwezagi kabisa.... umeamkaje lakini?

Nimeamka salama,acha wivu yaan wivu utakuuaaaa tokea uzi unaanza umetafuta sababu kibaoo lakin wapii lione sura kama masiko ya rio paul
 
Kwanza siku si nyingi mtasikia balaa zito, save the ushuhuda

Mtashindwa na mtaregea Daimond foreverr na badooooo mlisema kapanga supasta gani kapanga,leo kahamia kwake hamuaminiiii ushwiiiii
 
chige unayaweza mmmh, ila binamu unamsifia mwanaume mwenzio sana, hayo mambo waachie akina Dinazarde wenye ndoto za kulala na ndomo, aaaaaah natania tuuu
Mpwa nakuwekea sentensi mbili, ya blue na nyekundu: Jide ana nyumba mzuri, muziki wake mzuri, ana mafanikio kibiashara nyingine ni : Jide bwana, bonge la demu, ana mguu wa bia, mtoto ameumbika, ana macho ya kuvutia! Kwa uelewa wako wewe, ni sentensi ipi nimemsifia Jide?
 
Kwa hiyo wewe hua unamsifia jaydee hua una ndoto za kulala nae!!acha mawazo potofu
Huyu ndugu yako unaambiwa haya mafanikio ya Chibu yatamtoa roho manake anashindwa hata kutofautisha kati ya kumsifia mtu na kusifia mafanikio ya mtu! Kutosifia mafanikio yamtu kwa kigezo cha jinsia ni dalili ya wivu... huwezi kusema siwezi kusifia mafanikio ya fulani kwa kuwa jinsia yetu inafanana... ningemuelewa kama angekuta watu wanasifia Chibu alivyo handsome, jinsi anavyopiga pamba, jinsi anavyonyoa kiduku vizuri lakini mtu anasifia mafanikio, warumi kinamuuma kwa kigezo cha jinsia!!!!
 
Last edited by a moderator:

Loh Dinazarde umeniponza c ulisema chige kapewa ban mwenzio nkaanza kujitawala kumbe umenidanganya? Kuanzia leo ukae na hyo hyo akupe umbea nfyuuu
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…