MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,974
- 12,662
Mpwa mimi na wewe tumeongea haya kwa muda mrefu kiutani zaidi... sasa unam-support huyo jamaa ina maana na wewe unaamini kwamba mie Diamond ni bwana angu sio?
Maskin umehangaika kugoogle weeee ili kuprove bwana wako si mshamba! hahahhaha narudia tena mtoto wa tandale mshamba! Ndo mana wazungu wana kimsemo cha maudhi kuwa" hayo ni matokeo when monkeys get moneeeee" sasa naelewa
Kwenye bei ya dhahabu nadhani pamekosewa,
Gm 1 = 70,000 - 80,000/- Tsh.
Ikg = Mill &70 mpaka 80,000/- Tsh.
Mwaka jana mwishoni ilishuka mpaka 55 mill Tsh. kwa Kg
Kwa kununulia hapa Tanzania,
Sasa tuanzie hapo kukokotoa mahesabu yetu
Na thread looote hilo umeshindwa kujua nini maana ya GOLD PLATED!!!! Kuna TV 80m itakuwa choo! Tatizo mkisikia choo mnawaza KUNYA!!! Choo ni zaidi ya KUN.YA na wengine kwenye nyumba zao choo ndio sehemu muhimu kuliko zote! Kuna makabati ya nguo humo,TV tena inaweza kuwa zaidi ya moja,music system na zagazaga zote zinazohusu usafi wa mwili na mavazi.
Aah,atajijua mwenyewe bwana.Adanganye, aseme ukweli mimi itanisaidia nini?
Let the man live his life.
kwel kabsa mkuuhii yote inatokana na kuzidiwa maisha na mtoto wa 25 yrs mzaliwa wa tandale... ambae anaingia ikulu kama chooni.. passport imejaa mihuri ya safari za kimataifa.. milion 10 kwake anaipata kwa perfornance ya masaaa tu. sasa ukijilinganisha nae wewe mtu mzima bado unapanda daladala.. nyunba ya kupanga unaishi.. bado bosi anakufokea kazini.. hapo lazima umchikie diamond platinum.. iwe choo cha dhahabu au cha shaba ni maisha yake binafsi..
Nina wasiwasi na mahesabu ya mtoa mada maana kwa gram moja kwa bei ya sonara haizidi laki 2 sasa inakuwaje gram 31 iwe sh mil 206??? Afanye mahesabu yake upya.
Nina mashaka na ukokotozi wa mleta mada, kwa milioni 70 bei ya dhahabu ya sasa ni kilo moja nasio 10 grm
Hivi mimi na wewe ni nani anaonesha dalili za kuwa choko?Maskin umehangaika kugoogle weeee ili kuprove bwana wako si mshamba! hahahhaha narudia tena mtoto wa tandale mshamba! Ndo mana wazungu wana kimsemo cha maudhi kuwa" hayo ni matokeo when monkeys get moneeeee" sasa naelewa
Ni mwendawazimu tu ndie anaweza kuamini kwamba mwanaume aliyekamilika anaweza kuongea hivyo!Hahaaaaaaa hapa unaonekana wewe ndo limekugusa na chuki zako, shida zao wewe zinakuhusu nini. Wewe ulikuwa marioooo umetemwa sasa unachukia wanawake wote hahaaaaaaaa. Pole
Diamond.ana miaka 25??? ahahahahhahaha basi mi nina miaka 12 aseh....