jamani hiiis hule enzi zetu iliwahi kutinga tano bora kipindi kile ilikuwa mchanganyiko lakini tangu iwe ya girls mambo si mambo ni kama haipo vile kunani jamani mi nasikia uchungu
nasikia uchungu hii shule ilikuwa na watoto wa vigogo enzi zile lilikuwa jicho la serikali kwa high school za masomo ya art but now hata haijulikani kama ipo