Mjukuu wa kigogo
JF-Expert Member
- Sep 19, 2023
- 445
- 1,094
Nivumilie bro "Choppa" ipo karibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo nini sasa hicho, mi naona miguu guu tu.Nivumilie bro "Choppa" ipo karibuView attachment 3143357
Hapo kigamboni hamjambo?
Je huwa havichomoki?Yaani hapo ndo anafanya nini sasa?
Vimiguu kukaa hivyo maana ake nini sielewagi?
Cc: mshamba_hachekwi nipe maelezo
Oya chap kwaaa Niko wa kona hapo mbona nishafika Niko posta ya zamani hapa nageuza🤣
Naelewa basiYaani hapo ndo anafanya nini sasa?
Vimiguu kukaa hivyo maana ake nini sielewagi?
Cc: mshamba_hachekwi nipe maelezo
Naelewa basi
Ipo ndani ya Sekunde Sifuri na kwa Mungu hakuna Sekunde Dakika wala Saa ni infinity hakuna usiku wala mchana ni mimwanga tu non-stop hakuna kuvaa nguo wala kuvua nguo wote mnakua uchi mpaka yeye mwenyewe ila hakuna anaemuona mwenzake yupo uchiDakika sifuri ni nini? Hata Mungu alipoanza kuumba dakika sifuri haikuwepo.
Shada la Maua muda wowote linakuhusuUkishaona kisendo kinaelea juu kama papai halafu anakanyagia mgumu mkavu huku sendo inaelea hivyo basi kimbia, usigeuke nyuma maana huyo akisema analiingia semi analiingia kweli.