Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sawaMaumivu ni makali...
Ongezeeni kwenye documentari Kipa Aly alituaibisha....
kabisaHamna mpira hapo
Wivu tuHongera kwa uahindi mtani. Lakini ukajitafakari kucheza dakika 180 bila kufunga goli. Kwenye ligi utatakiwa kufunga ili uwe boingwa, huko hakuna penati za kuamua mshindi
MkajitafakariWivu tu
sasa wamefunga magori mangapi?Wivu tu
Sio lazima kuonesha watu kuwa huna akiliKwa hiyo ya penalties huwa hayahesabiki?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani wewe mtani katika hizo hizo dk ulifunga magoli mangapi?Hongera kwa uahindi mtani. Lakini ukajitafakari kucheza dakika 180 bila kufunga goli. Kwenye ligi utatakiwa kufunga ili uwe boingwa, huko hakuna penati za kuamua mshindi
2Kwani wewe mtani katika hizo hizo dk ulifunga magoli mangapi?
Hawezi kukuelewa.Kila mashindano yana mbinu zake za kucheza na kushinda.The end justifies the means.Mpira sio singeli anasifiwa anayekatika.Kila mashindano yana strategy yake hayo ya ligi tuachie sisi kikubwa tumeshawaliza hili la Ngao .
Ukiona timu Haina goli ila imekuwa bingwa, basi ujue kuna timu pia zilishindwa kuifunga magoli, mbaya zaidi hizo hizo zilizoshindwa kuifunga na zenyewe zinashiriki Ligi ya Bara. Kwa lugha nyingine, hata hizo timu zinaweza kuendelea kuwa wasindikizaji kwa kushindwa kwao kumfunga magoli bingwa!Hongera kwa uahindi mtani. Lakini ukajitafakari kucheza dakika 180 bila kufunga goli. Kwenye ligi utatakiwa kufunga ili uwe boingwa, huko hakuna penati za kuamua mshindi
Inauma ukiwa wapi?Hongera kwa uahindi mtani. Lakini ukajitafakari kucheza dakika 180 bila kufunga goli. Kwenye ligi utatakiwa kufunga ili uwe boingwa, huko hakuna penati za kuamua mshindi
Yamekusaidia nini hayo mawili?