Magu alihojiwa?View attachment 1593370
Kama mlivyofanya kwa Wagombea wa Urais kwa kuwahoji wote basi bila shaka ndivyo mtakavyofanya kwa wagombea Ubunge wa Jimbo la Ubungo hasa baada ya kuanza kumhoji Mgombea ubunge wa CCM, Kitila Mkumbo wiki hii ambaye si kiongozi wa CCM.
Tunaamini atakayefuatia wiki ijayo ni Boniface Jacob wa CHADEMA.
Aliwatuma Polepole na Bashiru AllyMagu alihojiwa?
Tunaomba risiti ya malipoAlinunua kipindi kwa mujibu wa wahusika wa itv wanasema hivyo
Ona sasa bichwa kubwa akili kitufe mdaharo ndio nini utajatukana mbele za wakwe wewe mparamia mizingaKwani ni lazima? Huo ni mdaharo? Si mtafute chombo chenu?
Tunamtaka sana Magufuli ahojiwe tena sio hiyo tu na mdahalo pia uwepoHii mihemko huwa ndio siipendagi, Lissu alihojiwa kwenye hicho kipindi cha dk.45 lakini sidhani kama kuna mtu alitaka pia Magufuli ahojiwe.
Sidhani kama wana Ubungo watampigia kura kitila mkumbo kisa tu kahojiwa na kipindi cha ITV
Kitila alihojiwa kama Mtu toka idara ya uenezi,Jacob akahojiwe chadema TV ukoView attachment 1593370
Kama mlivyofanya kwa Wagombea wa Urais kwa kuwahoji wote basi bila shaka ndivyo mtakavyofanya kwa wagombea Ubunge wa Jimbo la Ubungo hasa baada ya kuanza kumhoji Mgombea ubunge wa CCM, Kitila Mkumbo wiki hii ambaye si kiongozi wa CCM.
Tunaamini atakayefuatia wiki ijayo ni Boniface Jacob wa CHADEMA.
Nani aliyekudanganya ?Kitila alihojiwa kama Mtu toka idara ya uenezi,Jacob akahojiwe chadema TV uko