Uchaguzi 2020 Dakika 45 ITV tunaamini baada ya kumhoji Kitila Mkumbo anayefuatia ni Boniface Jacob

Magu alihojiwa?
 
Hii mihemko huwa ndio siipendagi, Lissu alihojiwa kwenye hicho kipindi cha dk.45 lakini sidhani kama kuna mtu alitaka pia Magufuli ahojiwe.

Sidhani kama wana Ubungo watampigia kura kitila mkumbo kisa tu kahojiwa na kipindi cha ITV
Tunamtaka sana Magufuli ahojiwe tena sio hiyo tu na mdahalo pia uwepo

Sent from my BLL-L22 using JamiiForums mobile app
 
Kitila alihojiwa kama Mtu toka idara ya uenezi,Jacob akahojiwe chadema TV uko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…