Mtetezi.com
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 3,134
- 3,584
unaangalia kupitia kin'gamuzi ganiTukiacha ushabiki na ukanda usio na kichwa wala miguu kipindi cha ITV saa tatu usiku siku kila Juma tatu ndicho kipindi bora chenye kufundisha, kuelimisha na kutukutanisha na watu wenye weledi mbalimbali.
Nafuatilia kwa sasa na nimemuelewa sana ALI MUFURUKI sio siri tuna watu portential sana tatizo tu hatujui namna ya kuwatumia.
Startime mkuuunaangalia kupitia kin'gamuzi gani
1, Uwezo na umahiri wamtangazaji, Kilianza na Suleimani Semunyu akaja Sam Mahela sasa ni Deo RweyungaUmetumia vigezo gani kusema ni Bora?
Kwa upande wangu dakika 10 za maangamizi ndio kipnd bora kwngu
Tukiacha ushabiki na ukanda usio na kichwa wala miguu kipindi cha ITV saa tatu usiku siku kila Juma tatu ndicho kipindi bora chenye kufundisha, kuelimisha na kutukutanisha na watu wenye weledi mbalimbali.
Nafuatilia kwa sasa na nimemuelewa sana ALI MUFURUKI sio siri tuna watu portential sana tatizo tu hatujui namna ya kuwatumia.
Acha dharau ww kibwengoUkikua utaelewa namaanisha nini
Ukijiheshimu utaheshimika sana ila ukijidharau utadharaulika pia bila shaka umenielewa kijanaAcha dharau ww kibwengo