Dakika ya 90, Mechi 0-0 Mmepata Faulo, Nani atapiga?

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
23,620
Reaction score
52,790
Wakuu "imagine" mechi muhimu pengine fainali halafu dakika ya 90 mnapata faulo nje ya box la adui, wewe ukiwa kama kocha/captain utampa nafasi nani ya kupiga faulo hiyo ili walau mpate goli la ushindi?

Kati ya hawa utamchagua nani? Beckham, Pirlo, Cristiano, Roberto Carlos, Messi, Ronaldinho, Requelme, Ronaldinho, Yaya Toure, Mata?

Mtaje ambaye hata kama hayupo kwenye list.
 
Bekam kama hayupo basi nampa cr7...
 
Inategemea na hiyo faulo ipo eneo gani nje ya box,katikati? kulia kwa mchezaji atakayepiga au faulo ipo kushoto ya box toka kwa mchezaji atakaye piga,
Kama mpira upo nje ya box kushoto kwa usawa wa mpigaji nampa MESSI,kama kulia CR7 na kama ni katikati basi atapiga Roberto Carlos.
 
Umechambua vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…