Daktari Akitoa Siri Za Mgonjwa

Daktari Akitoa Siri Za Mgonjwa

tatanyengo

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2011
Posts
1,133
Reaction score
280
Ngd wanasheria na wataalamu wa Afya, inafahamika kuwa daktari anapomtibu mgonjwa huwa inabaki kuwa siri kati yake na mteja. Je, inapotokea kuwa Dr ametoa siri hiyo kwa watu wasiohusika anachukuliwa hatua gani?
 
Mbona kila siku madaktari wanatoa siri za wagonjwa hasa hapa jf . Utawasikia madaktari wakisema kuwa ndio wanampa arv k...nde
 
Mbona kila siku madaktari wanatoa siri za wagonjwa hasa hapa jf . Utawasikia madaktari wakisema kuwa ndio wanampa arv k...nde

teh teh teh haki mpaka mbavu zinauma,nani kibonde
 
Ngd wanasheria na wataalamu wa Afya, inafahamika kuwa daktari anapomtibu mgonjwa huwa inabaki kuwa siri kati yake na mteja. Je, inapotokea kuwa Dr ametoa siri hiyo kwa watu wasiohusika anachukuliwa hatua gani?

Kifungu namba 100 cha bunge kinamlinda nje ndani ya bunge!
 
hatua zinazoweza kuchukuliwa ni, 1.mgonjwa kumfungulia kesi ya madai dr.husika kutokana na madhara aliyopata baada ya siri kuvuja. 2.dr.husika anaweza kuchukuliwa hatua za kinidhamu na uongozi wa hosp.husika na pia baraza la madaktari tz. hatua za kinidhamu zinaweza kupelekea dr.kufungiwa leseni yake ama kuwa suspended kwa muda flani n.k
 
Siri ya mgonjwa kisheria ni nini?mimi dokta nikisema manumba kalazwa hospitali yangu?au nikiwaambia nduguze ndugu yenu anaumwa malaria?kama ni hiv aids nikiwaambia?
 
Ngd wanasheria na wataalamu wa Afya, inafahamika kuwa daktari anapomtibu mgonjwa huwa inabaki kuwa siri kati yake na mteja. Je, inapotokea kuwa Dr ametoa siri hiyo kwa watu wasiohusika anachukuliwa hatua gani?
Ikiwa ametoa siri za mgonjwa kwa maslahi ya taifa hakuna case..! Imagine lijamaa linasambaza ngoma live kwa vitoto vigodo na ushahidi wa uhakika upo hapo mimi kama kama daktari napambana nalo pamoja na kulitangaza..!
 
Mpaka mahakama ithibitishe kama ametoa Siri ndo tudiscuss sheria za kuchukuliwa
 
Back
Top Bottom