Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

[emoji16][emoji16]

Mitano tena kwa Dr.
 
😄😄 Kuchapiwa kunauma, unahisi roho inatoka.

Aliyeleta Mapenzi ni mkatili sana
 
Duh huyo doctor naye SA anakupa taarifa ili iweje
 
Jibu zuri sana "Tumia Muda wako Vizuri enjoy"
 
Kwanza wanawake hatupendi mwanaume muogamuoga..Huwa tunahisi huna Ile security,Kuna Raha Ile mwanaume anakukoromea kiaina aisee,,sio kosa unafanya mwanamke msamaha Anaomba yeye🙄
Mwanaume akifika hatua hii nikienda kusuhisha ugomvi wao nawapiga wote yeye Na huyo mpenzi wake..
Nishamwambia hata mwanangu hili swala..
Nikimkuta kampigia goti mwanamke kumuomba msamaha kwa kosa alilofanya yeye nawacharaza Bakora wote yeye na huyo mpenz wake 😀😀

Maana anaaibisha ukoo mzima
 
Ghetto nimejaza mautamu tu
Leo nakugeuza mwa mua
Kuhusu mara ngapi wewe unaye amua
Leo majirani mpaka jina watanijua
Sio hapo kati ya mapaja tu nanyonya mpaka pua (Damn)

Funika funua, binuka binua
Bandika bandua, kama unavyonijua
Chibuka chibua, ukinipa nachukua
Nakula huku na huku samaki kibua

Pika ili nimle mpaka mpishi
Sijaupaka mkongo ila sifiki
Ukikamulia ndimu sinaga ubishi
Maana huwaga inatelezaga bila vilainishi

Leo leo don't slow down (Leo)
Leo patachimbika it's going down (Leo)
Chege zikivunjika we go down (Leo)
Leo show kali sana sold out (Leo)
 
Utapata murder case mkuu!!
 
Huwezi kukomoa sehemu inatoa binadamu bro,,,ungejichosha tu mwili wako
 
K Kwenye hii episode umenifurahisha mambo mawili.
1.Kitendo Cha kutoka kanisani Ili utulie Uzi inaonyesha ushirikiano mkubwa na inaonyesha we mwenyewe una alosto kama hadhira yako tulivyo

2.Jibu ulilompa Dr,hapo ulionyesha ukomavu mkubwa sana....wazungu wanasa play ur card....safi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…