Kingfisher
JF-Expert Member
- May 22, 2015
- 4,740
- 7,679
Joannah njoo tufanye babyshower huku [emoji1787]
Njoo na fimbo dogo kazingua kurudiana na Mercy
Basi mtaalam tusifike hukoMkuu mimi nina uwezo wa kuzipata ila siwezi kufanya hivyo Kw sababu haipendezi..
Kwanini nasema nina uwezo wa kuzipata
Umetoa information ambazo kiIntelligenjia zinaweza kutumika kujua Kuhusu Wewe..
Kiforensic pia zinaweza kukutrace wewe..
Mwaka uliosoma..
Course uliosoma
Mazingira ya shuleni
Shule umesoma miaka mingapi
Baadhi ya majina
Siitaji kufanya hivyo kwa sababu sina haja na wala siwezi kwa sababu zangu maalumu usisahau hata gari la Daktari kwa miaka ya 2020 mpaka 2021..
Umelitja aina ya Xtrail..
But why nifatilie kama ni fiction au ni non fiction cuz Hata kama ni fiction ipo kunifundisha pia na kuniburidisha na kupunguza mawazo na uchovu wa shughuli za kutafuta ugali..
Uncle shusha vitu bhna achana na hayo.mambo
Bora umesema ukweli 😃😃😃Ila msiseme hivyo mwanangu, Mapenzi upofu kwa kweli. Me simlaumu sana maana mwenyewe nina Haika wangu ananipeleka puta, haha
Yeah kweli kabisa tupo kuburudishana na kuelimishana mkuu..Basi mtaalam tusifike huko
Tutakubonda lete mchezoYes. Siiondoi. Itabaki hapa hapa...
Mjaribu muone kama sijawa chana chana na viwembe.Tutakubonda lete mchezo
Na hivo viwembe tutavibabua pia.Mjaribu muone kama sijawa chana chana na viwembe.
Yeaah zinapatikana kirahisi tu.Hii najua umefanyaje 😀😀
Umechukua picha uka run Image search ya Google 🤣🤣🤣
Shauri zako we tafuta tu shali. Hapa ndo nyumbani pake... Nitakufuata huko ....Na hivo viwembe tutavibabua pia.
Humu si ilmradi tu uwe na bundle, basi mtu unakuta anatusumbua tu.Kuna wanaume kama binti humu....Sasa hizo taarifa mkishazipata zitawasaidia nini au mtanywea chai asubuhi....
💯..Kuna wanaume kama binti humu....Sasa hizo taarifa mkishazipata zitawasaidia nini au mtanywea chai asubuhi....
Nilisema mm ww unasoma mazimbu na hii ni reli ya kigoma ambayo ilikarabatiwa na wachina 2019 na nilisema ww utakua unaishi maziwa au barakuda
Wewe ndio chai kama sio pungaTuendelee kunywa chai.
bro , story ya kutunga inajulikana na lazma angejichanganya sehemu.. mzee siamini kama katunga .. mm naona hii imemtokea kweli.. huez tunga series za moment kama hzo na usijichanganye sehemuNliwaambia hii ni ya kutunga mkabisha. Hakuna uhalisia wa ayasemayo huyu dogo.
Ushawahi pigwa hadi ukazirai🥴🥴Shauri zako we tafuta tu shali. Hapa ndo nyumbani pake... Nitakufuata huko nikubakilie mbali.....
Hpo mazimbu kabisa hyo reli inaonyesha tumesoma hpo 2015 hd 18Nilisema mm ww unasoma mazimbu na hii ni reli ya kigoma ambayo ilikarabatiwa na wachina 2019 na nilisema ww utakua unaishi maziwa au barakuda
Kujichanganya vipi wakati story ni nyepesi sana. Haina any complication?bro , story ya kutunga inajulikana na lazma angejichanganya sehemu.. mzee siamini kama katunga .. mm naona hii imemtokea kweli.. huez tunga series za moment kama hzo na usijichanganye sehemu