Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Nishawahi kufa mara mbili. Acha kuzirai.Ushawahi pigwa hadi ukazirai🥴🥴
Na ukazinduka ukazima tena.
Utakufa na mara ya tatu basiNishawahi kufa mara mbili. Acha kuzirai.
So utaratibu wa matokeo kwenu mnachungulia ya mwenzio au kila mmoja anatazama kisirisiri baada ya kulogin?Tuendeleee........
Nipo zangu geto siku hiyo naona mesej ya Mercy "nimepata hiyo sup kwasababu yako". Kiukweli sikuwa na ham ya kujibu hata ile text ya Mercy huwezi amini nilikuwa nina hasira naye sana japo kupata kwake sup iliniuma.
Baadae nikaona hapana ngoja nimjibu, niliandika short text "pole, utaichomoa usiwaze". Mercy hakujibu tena.
Kulikuwa na baadhi ya nguo zangu kwa Mercy nikaona nazipataje maana nikama nilikuwa tyr nishaachwa.
Nikaona nizipotezee tu maana hazikuwa nyingi na za maana kivile. Niliona Mercy ile sup kwa kiasi flan ingempunguzia kasi na atajirud kwangu kumbe nilikuwa najidanganya.
Kuna siku nilikuwa katika baiki nasepa chuo njian ilinipita gari na nikahisi ni gari ya Dokta, nilikuwa nimekaribia kufika chuo. Niliona ile gar imesimama akatoka Mercy akasepa na gar ikageuzwa ikaondoka.
Siku hii nilijiona kama kuishi kwangu duniani ni adhabu kubwa, niliona ulimwengu umenielemea, nilichanganyikiwa sana na machozi yalinilenga.
Nilipofika venue nikamkuta Mercy yupo na wenzake wanapiga stors, niliwasalimia then nikasonga zangu kutafuta place nikae.
Kuna huyo dem tulikuwa tunasoma wote anaitwa Sozi, Sozi alikuwa ni mmoja ya walokuwa wananikubali sana na alifanya kila njia niwe naye katika mahusiano lakini nilikuwa nishazama kwa Mercy. Pale nilipoenda kukaa nilimkuta Sozi na madem wengine kama watatu kulikuwa na nafasi kama ya watu wawili ilikuwa imebak, Sozi aliponiona akaniita kwa bashasha akanambia niende kukaa naye eti kaniwekea seat.
Namimi sikukataa nikaenda, nilivofika wakalopoka "hey handsome njoo ukae hapa jamani tumekuwekea seat" hili bench kilikuwa hatua mbili mbele ya bench alokuwa amekaa Mercy. Nilipofika Sozi akanambia "handsome karibu, you are so handsome hivi unalijua hilo lakini?" Niliona kama ananizingua tu nikamzuga zuga tutaendelea kula stor.
Yale maneno ya Sozi yalifika alipokuwa amekaa Mercy na wenzake kwani mmoja wa marafiki wa Mercy yule Recho nilimsikia akisema "handsome wako kachukuliwa huko" nikawa makini kusikia Mercy angejibu nini lakini aliguna tu. (Mercy siyo talkative).
Sozi alianza kunilipua akasema saiv siwaelew wewe na Mercy mbona kama hampo sawa, nikamjibu achana na hayo mambo tupiga stor zingine. Sozi akacheka akanambia "nilokupa nafas ukachezea saiz tungekuwa tunaenjoy zetu, of course Sozi alikuwa ananipenda lakini sikutaka kuwa naye kwasabb ni mtu wa maneno mengi na mimi sipend dem wa hivo yan tusingedum.
Kile kitendo cha akina Sozi kuniweka seat na kunikaribisha kwa bashasha kilimfanya nijiamini kwa kiasi flan nikaona kumbe ninathamani kwa watu, nikaona Mercy kuniacha nisijione sina thamani nikamalizia kuwaza na kale kamsemo "ukinidelet wengine wananidowload"
Lecturer aliingia tukapiga pind then tukasepa, siku ile hatukuwa na vipindi vingi. Tulivotoka Mercy aliikiwa na gar akasepa. Hii hali nilijidanganya kwamba nishaizoea kumbe ilikuwa inaniumiza taratibu.
Washkaji walikuwa wananicheka sana kwasbb Mercy alikuwa anafanya kama kunikomoa na sikuwahi kudhani kama Mercy angefikia kufanya mambo ya kikatili vile kwangu kwasabb alikuwa ni dem mpole na mstaarabu sana.
Hali ile ya kudharirishwa na Mercy ilikuwa inaniharibu akili taratibu. Nilikuwa najiona kama nabadirika taratibu taratibu lakini nikawa siyatilii maanani yale mabadiriko.
Usiku nilikuwa natokwa sana na jasho, nikaanza kuwa mtu muongeaji sana, nikaanza kukonda Zaid na Zaid, nikaanza kuacha nywere zinakua mpka zinapitiliza yani kifupi nikaanza kuona kama naenda kuwa chizi lakini mimi nikawa najiona kawaida tu. Nilianza kuwachukia wanawake pia, nikawa nahasira nao tofauti na mwanzo.
Rafiki yangu Mbwambo alinigundua kwamba naenda kuharibikiwa, kuna siku alinifata akanambia anahitaji kuongea namimi nakumbuka ilikuwa tupo chuo kwahiyo tukapanga baada ya vipindi tutaongea wakat tunarud kitaa maana Mbwambo pia alihamia kitaa.
Njiani Mbwambo alinambia kwamba anaona sipo sawa na nahitaji nipate mtu wa karibu kwa kampani na uangalizi, nilimkatalia lakini akanisihi kwamba atahakikisha anakua namimi benet hatakubali kuiona nazd kuteseka. (Kama wenye shida za afya ya akili wengekuwa wanapata watu kama Mbwambo basi suicide cases zingepungua sana).
Mbwambo alinambia nichakue nihamie kwake au yeye ahamie kwangu, nikamwambia Haina haja lakini alisisitiza tena kwamba "kaka haupo sawa niamini mimi unahitaj kampani". Basi nikakubali nikahamia kwa Mbwambo.
See you......
Wewe unazungumzia kusaliti mimi demu nikimtongoza tu anipe jibu ndio au hapana sitaki danadana, akianza danadana namkoromea halafu nakausha, unanikataaje kwa mfano, au unichukulie poa sitaki nataka hapo umenidharau na ndio imeisha hiyo, sitaki utoto kwenye mahusiano.Hivi wewe DeMostAdmired na huyo dakatari mnapata wapi nguvu ya kugombania mwanamke mmoja, yaan mimi ni huu uvivu wangu wa kutongoza wanawake, nianze kugombania mwanamke mmoja aisee naona kama ni kazi ngumu kupita maelezo.
Kutongoza tuu mwanamke nahic kama ni tiresome process, sembuse kugombania.
Kwanza nikiona tuu mwanamke ana mtu mwingine interest yote inapotea, pia nikiona mwanamke niliyokuwa nae ana interest na wanaume wengine interest huondoka(hapa nazungumzia ku-reply message za wanaume ambao anajua kabisa wanamtaka), sasa nyie wanang mkoje????
Ningekuwa wewe baada ya kupata ushahidi wa usaliti, ningeenda kwake kiroho safi tuu, ningechukua vitu vyangu vyote, ningehakikisha na yeye hajaacha kitu kwangu, then ningekata mawasiliano, sio kum-block wala sio kutopokea simu zake, ni kukaa tuu kimya, simpigii na sijibu text zake, akipiga napokea namsikiliza, akituma message sijibu, akiniuliza shida nn namjibu "Niko sawa".
Najua inauma lakini if a woman doesn't want to be what you want her to be, don't force or cry about it, just move on, yes it's going to hurt but that's life, life is not supposed to be easy, especially when dealing with emotions, kuna muda ndio utam-miss na uta tamani umpigie lakini utakapo fanya hivo utashusha dhamani yako, wanaume tuelewe kwamba mwanamke aliyekusaliti ukamsamehe hatakuona una upendo au mvumilivu atakuona mpumbavu na huna uanaume kwasababu mwanaume wa kweli hasamei usaliti, unapomsamehe au kumchekea au kumkalia kimya mwanamke aliyekusaliti ni kama vile unamwambia "Mimi sio mwanaume" na hio kitu naona wanaume wengi wanafanya.
Mwanamke aliekusaliti ukaachana nae pamoja na yeye kuomba msamaha hata kutoa machozi yote atabaki anakuheshimu milele, lakini mwanamke aliyekusaliti na ukamsamehe atabaki anakudharau milele.
ila kuna watu mna nature ya ubishi tuu , na aliwaonesha mpaka ripot ya experiment na picha wapo laboratoryHizi picha dogo una zidownload Tiktok. Acha uongo. Wewe hadithia tu kama stories nyingine usilazimishe ionekane kweli.
picha hii nimeitoa ulikoitoa hiyo yako.
View attachment 2916433
Achana nao, mtu karisk mpka Baadhi ya information zake za muhimu....Bado unamuita Muongo???ila kuna watu mna nature ya ubishi tuu , na aliwaonesha mpaka ripot ya experiment na picha wapo laboratory
Mwanang unavaa soksi za njano!!
Fact💪 halafu una mbwaga😊 hakika hata mwaka hatoboi anakuwa kafa au kapata uchizi😊 ukipendwa ,pendeka🤛Ningekuwa mm ni wewe ningemtafutia siku moja mercy nimgonge vizur kwa mara ya mwisho then ndo tuachane, ningemgonga kama malaya, ningemfanyia vitu ambavyo hapo mwanzo sikuwahi kumfanyia, ningempakia mkongo, ningetumia viagra, ningetumia na paracetamol pia, ningekunywa Monster au Red Bull, ningekunywa maji ya kutosha, ningepiga na nyeto ili nichelewe kumwaga, ningepiga mazoezi kwanza kabla ya game ili kuwe na blood circulation kweny essential muscles zinazotumika during sex, ningejiandaa kisaikolojia kwa kufanya meditation, ningehakikisha namkomoa, ningehakikisha nampiga mashine hadi uke wake utoe moshi, amwage maji lita tano, ang'ate shuka hadi lichanike, avute shuka hadi kitanda kivurugike, anifinye na makucha yake hata anitoe damu, miguu kutetemeka, akili kusisimka, maji kumwagika hadi kupiga makelele ya utamu simwachi, bila mafuta, bila condom, usiku kucha mchana kutwa, kutoka sakafu ya jikoni hadi chooni, kutoka chumbani hadi meza kulia, kutoka kweny kochi hadi kweny kibaraza, style zote kifo cha mende, popo Kanye mbingu, airtel wezi wa bando, chochea moto huku akipata pumzi kwa shida sana, ntaendelea nae hadi ukutani, nje, kwenye gari moshi, kwenye ndege, juu ya pikipiki, kwenye staha ya upakiaji wa lori, kwenye trampoline, katika ngome ya bouncy iliyoinama, kweny bwawa, kwenye ghorofa ya chini, na dirishani....kutetemeka kwa mwili, miguu ikitetemeka, ngumi akinipiga, mdomo unaoteleza, pua iliyobanwa, kupiga chafya hawez, macho ya kutokwa na machozi, Kiuno kikitetemeka, kupasuka kwa kifundo cha mguu, kulegea kidevu, kung'oa nywele, meno kusagika, kuiba roho, kusisimua kupita kiasi, karaha, uzembe, kuvunja moyo, kupasuka kwa mgongo, kuchukiza, kububujika, creamy, kama wanyama, midomo kuuma, kukaidi nguvu ya uvutano, kutafuna kucha, kutokwa na jasho, kurusha miguu, kustaajabisha, kutetemeka kwa mashavu, kilele, kuvunja mifupa, mwisho wa dunia, kuunda shimo jeusi(black hole), linaloharibu ulimwengu, ladha ya siri, ya kushangaza, tukufu, ladha, ya ajabu, ya mwili, angepigwa na butwaa, hatoweza kutembea, wala kutikisa kichwa, roho kuchukiza, volcano inatoka, jasho linatiririka, sauti inakatika, kutetemeka, shuka zimelowa, nywele zimenyofolewa kwa kuvutana, kuchubuka ngozi, kope kunyofolewa, Macho yatastaajabu, pussy kuharibiwa.
Ma Cr walikuwa wanapewa mkeka wenye namba na matokeo kwahyo ulikuwa kama unajua namba ya mtu basi utapata matokeo yake. Yalikuwa yanachelewa kuwa uploaded kwenye systemSo utaratibu wa matokeo kwenu mnachungulia ya mwenzio au kila mmoja anatazama kisirisiri baada ya kulogin?
post ya kulalia basi mweeehMa Cr walikuwa wanapewa mkeka wenye namba na matokeo kwahyo ulikuwa kama unajua namba ya mtu basi utapata matokeo yake. Yalikuwa yanachelewa kuwa uploaded kwenye system
bwana mdogo remember what your uncle DR Mambo Jambo advised you. that piece of advice was crystal clear..I thought you comprehended.UZI UNAKARIBIA KUISHA HATA HIVYO NAMIMI NIMECHOKA NATAMANI NIMALIZIE STORY SHORT AND CLEAR LAKINI NAONA KAMA MTAKOSA UTAMU.
NIMEJIFUNZA MENGI PIA KUTOKA KWA WALIMWENGU WAJF. ACHA TU NIKAE KIMYA ILA MWISHONI NITAWATAG WATU AMBAO NI VICHWA VIBOVU AMBAO MWANZO MWISHO WAO WALIKUWA NA KAZI YA KUNITUKANA NA KINIDHARAU TU.
Hapa hata mimi nammaind Sana, huwezi kumfurahisha kila mtu, ajifunze kudharau baadhi ya mambobwana mdogo remember what your uncle DR Mambo Jambo advised you. that piece of advice was crystal clear..I thought you comprehended.
humu jamvi linabeba kila aina ya watu.
mimi hii ni my second ID ambayo inanipa uhuru wa kuandika pumba. that is my fantasy, yes! na inanipa furaha.
on brighter side, nina account yangu nyingine ambayo ninaheshimiwa na wadau humu na inanipa connects za msingi na watu humu tunaoheshimiana.
take a bow bwana mdogo, that eclipses how manly you are!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁alizichukia x-trail zote pamoja na madocta wote
We chalii una undugu na Mama Maria Nyerere? Una busara ile laana.Niliyoyaona mpaka mda huu:
Mosi, wengi wetu tunamuona mercy mbaya, huenda kweli alifanya vibaya lkn je alianza kuwa mbaya bilasababu?
Baada ya kukutana na text za ajabu ajabu toka kwa mwamba alianza kuumia na Mara nyingi alilalamika siku akichoka akija kuanza yeye asishtuke au kushangaa, kwahiyo mercy kwakifupi alilipiza baada ya mwamba kumwaga ugali yeye akamwaga mboga, kwahiyo Mercy asilaumiwe sana.
Pili, dokta alifanya aliyofanya baada kupigwa mkwala na mwamba pamoja na mzee wa miganja, kwahiyo ilikuwa iwe jua iwe mvua na kwa gharama yoyote amle mercy ili arudishe heshima yake na amefanikiwa katika hilo, ndio maana kila alipokuwa magetoni alikuwa anakutext kukwambia kuwa sasa namtafuna dem wako, na alikuwa anamleta chuo makusudi ili kuhakikisha unaumia vilivyo, hapa wachambuzi wa fasihi tunasema mhusika ameitendea haki nafasi ya uhusika wake, tumpe tu maua yake hata kama anawakera, na hapa kuna somo kubwa usiende kumpiga mkwara mwanaume mwenzako ila muombe kwa unyenyekevu akuachie kipenz chako, wanaume huwa waelewa sana.
Tatu, kwako mwandishi na mhusika mkuu wa uzi huu, ulifanya makosa kadhaa baada ya kuona viashiria ambavyo sio vizuri kwa penzi lako lkn ulivifumbia macho na mwisho wa siku ulipata ulichokipanda, hapa tunajifunza katu tusidharau dalili ndogo ndogo kwani mwisho wa siku huwa ni majuto.
Nne ,Usifanye jambo kwa hasira eti kwakuwa unataka kumkomoa mtu kwani mwisho wa siku hasira hasara, hapa mhusika mkuu ni mercy alidhani anamfundisha adabu mpenzi wake kumbe anajikaanga na mafuta yake mwenyewe.
Mwisho, mwanaume haijalishi unampenda vipi mwanamke hakikisha mda wote unabakia kuwa mwanaume kwa maamuzi na vitendo.
Ni hayo tu!