Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣UZI UNAKARIBIA KUISHA HATA HIVYO NAMIMI NIMECHOKA NATAMANI NIMALIZIE STORY SHORT AND CLEAR LAKINI NAONA KAMA MTAKOSA UTAMU.
NIMEJIFUNZA MENGI PIA KUTOKA KWA WALIMWENGU WAJF. ACHA TU NIKAE KIMYA ILA MWISHONI NITAWATAG WATU AMBAO NI VICHWA VIBOVU AMBAO MWANZO MWISHO WAO WALIKUWA NA KAZI YA KUNITUKANA NA KINIDHARAU TU.
Mimi ningembwambia wewe fombwa kmmk."Mercy alinichek ilikuwa ni mida ya sa12 jioni akanambia hatoweza kuja atalal hukohuko, ilikuwa ni kwa mesej nikamjibu short "poa" naye akatuma mguno "mh" sikumjihu nikapotezea."
Hapo ingekua mimi ningemfowadia ile meseji ya dokta
OkMa Cr walikuwa wanapewa mkeka wenye namba na matokeo kwahyo ulikuwa kama unajua namba ya mtu basi utapata matokeo yake. Yalikuwa yanachelewa kuwa uploaded kwenye system
Kama yule mpuuzi umungakha anavyofanyagaMi naamini sio ya kutunga, kwa facts kadhaa..
Ingekuwa ya kutunga Dogo angechange gia angani na kufata Watu wanataka nini..
Hii ni kanuni haipingwiRule # 01
Never go back to a woman we cheated!
Boya sana huyu dogo, anajifanya sharukanMwanangu ulishasafisha jina lako kwa episodes kadhaa zilizopita ila umerudi tena kwenye upuuzi.
Sasa dogo ulikua unachomekea jeansHapa tulienda na Mercy kuzurula ilikuwa ni weekend alinipigia hii picha
Nina 9 livesUtakufa na mara ya tatu basi
Siyo ripot. Andika report. Ukitaka hadi picha watu wapo chooni unapata. Acha hiyo laboratory. Muwe mnachanganya na za kwenu.ila kuna watu mna nature ya ubishi tuu , na aliwaonesha mpaka ripot ya experiment na picha wapo laboratory
Noted!Niliyoyaona mpaka mda huu:
Mosi, wengi wetu tunamuona mercy mbaya, huenda kweli alifanya vibaya lkn je alianza kuwa mbaya bilasababu?
Baada ya kukutana na text za ajabu ajabu toka kwa mwamba alianza kuumia na Mara nyingi alilalamika siku akichoka akija kuanza yeye asishtuke au kushangaa, kwahiyo mercy kwakifupi alilipiza baada ya mwamba kumwaga ugali yeye akamwaga mboga, kwahiyo Mercy asilaumiwe sana.
Pili, dokta alifanya aliyofanya baada kupigwa mkwala na mwamba pamoja na mzee wa miganja, kwahiyo ilikuwa iwe jua iwe mvua na kwa gharama yoyote amle mercy ili arudishe heshima yake na amefanikiwa katika hilo, ndio maana kila alipokuwa magetoni alikuwa anakutext kukwambia kuwa sasa namtafuna dem wako, na alikuwa anamleta chuo makusudi ili kuhakikisha unaumia vilivyo, hapa wachambuzi wa fasihi tunasema mhusika ameitendea haki nafasi ya uhusika wake, tumpe tu maua yake hata kama anawakera, na hapa kuna somo kubwa usiende kumpiga mkwara mwanaume mwenzako ila muombe kwa unyenyekevu akuachie kipenz chako, wanaume huwa waelewa sana.
Tatu, kwako mwandishi na mhusika mkuu wa uzi huu, ulifanya makosa kadhaa baada ya kuona viashiria ambavyo sio vizuri kwa penzi lako lkn ulivifumbia macho na mwisho wa siku ulipata ulichokipanda, hapa tunajifunza katu tusidharau dalili ndogo ndogo kwani mwisho wa siku huwa ni majuto.
Nne ,Usifanye jambo kwa hasira eti kwakuwa unataka kumkomoa mtu kwani mwisho wa siku hasira hasara, hapa mhusika mkuu ni mercy alidhani anamfundisha adabu mpenzi wake kumbe anajikaanga na mafuta yake mwenyewe.
Mwisho, mwanaume haijalishi unampenda vipi mwanamke hakikisha mda wote unabakia kuwa mwanaume kwa maamuzi na vitendo.
Ni hayo tu!
MfyyuuuuuuuuuuuHabarini vijana na wazee wahuni wakitanzania,mimi ndiye huyo dokta niliyemlomba Mercy, hajawadanganya, nilimlomba pia rafiki yake huyo Mercy feki pamoja na wanafunzi wengine wengi sana, hamjadanganywa, tusigombanie hawa vicheche ni urithi wetu, huyu dogo alikuwa arrogant na limbukeni siku anakuja na huyo muhuni kuniambia niaachane na demu wake, nikataka kujua demu anajipya gani, kiukweli dogo kei yake ilikuwa inabana na sikuweza kumuacha kirahisi, ngojeni kuna mtanzania malaya mwezenu hapa anakula sindano ya Gentamycine nimudumie, bolo hoyeee
Tuendeleee.....
Kabla ya kuendelea naomba niandike mambo machache.
Watu wameniandama sana wengi wao wanadai hii ni chai na wamejikita kwenye maeneo yafuatayo.
1. Bikra kumpiga bao tatu
.....sio Mercy tu nishatoa bikra tatu kabla ya Mercy na mbili kati ya hizo nilipiga bao tatu. Wengi wanaoniandama hawajui mapenzi wanadhani kumfuck dem ni vita kwamba lazima apate maumivu. Kuna soft sex kwa wanaonielewa wanajua kwamba bikra inawezekana kumpiga hata bao kumi.
2. Kutongozwa na wanafunzi wenzangu
.....kutongozwa na wanawake sikuanzia chuo tu.
Nilipomaliza form 4 nilitongozwa na mwanamke ambaye hakuwa na Rika la kuitwa sugarmama lakini alikuwa kanizid umri na alikuwa ameolewa na boss mmoja alikuwa anamiliki kampuni ya Costa na hiace route ya Kaliua - Tabora. Tulidum kwa miezi kadhaa nilipoenda advance habari ikaisha.
Hawa mashoga ndo washanitongoza mpka wengine nishawalia nauli zao nyingi.
Na kuna shoga mwingine alinitongoza ni rafiki wa mtangazaji wa radio station moja kubwa sana hapa nchini aliwahi kuhama hiyo station lakini akarud tena. Kama unauwezo wa kufatilia unaweza kumjua.
Nishatongozwa na wadada mtu na mdogo wake na wote niliwala pasipo kujuana, wote walikuwa wananizid umri walikuwa ni wahaya wa muleba walikuja mkoani kwetu kwa baba yao.
Kipindi nipo advance kuna madam alikuwa anafundisha geography alinitongoza lakini sikufanikiwa kumla.
Kwahiyo kwa anayeona kwamba najisifia kuhusu kutongozwa na wanawake huyo anahisi kutongozwa na mschana ni big deal sana kwake asijue kwamba kwa wengine ni kitu cha kawaida sana.
3. Kuhusu madem kupenda baiki yangu
.....madem wanapenda vitu vya kijinga na baiki yangu haikuwa ya kishamba.
Baiki yangu ilikuwa luxury na Mercy mwanzo alikataa lakini baadae alikuja kuipenda na kuitegemea na alisahau daladala chuo-geto.
THEN SINA HAJA YA KUPOTEZA MUDA KUWADANGANYA KWA KUTUNGA STOR NINGEKUWA NAHITAJI FAIDA BASI NINGEMTAGUTA SHIGONGO TUKAFANYA KAZI YENYE FAIDA. KAMA UNAHISI NI CHAI BASI USIIFATILIE KAA PEMBENI. NIMEAMUA KUSHEA NA NINYI WANAJF WENZANGU KAMA SEHEM YA MAPITO KATIKA MAISHA YANGU.
NIMEAMUA KUTOA YA MOYONI KWANZA, UZI UTAENDELEA MDA SI MREFU.
===
Muendelezo soma Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy
Kwani we unajua alikuwa anasoma course gani na Faculty gani?
Au hujui kama Chemistry pia Chuoni watu wanasoma?
Sijaona Logic yako kusema Ni chai kwa sababu tu DeMostAdmired kataja kuwa alikuwa na mtihani wa chemistry..
Sijui Elimu yako ila naanza kupata Mashaka nayo kwa sbabu your Logical Point of View iko Very Non sequitor
Wewe dokta "miti shamba" DR Mambo Jambo acha ujinga wako, unakuwa serious hata kwenye vitu vya kijinga jinga hivi.Kwani we unajua alikuwa anasoma course gani na Faculty gani?
Au hujui kama Chemistry pia Chuoni watu wanasoma?
Sijaona Logic yako kusema Ni chai kwa sababu tu DeMostAdmired kataja kuwa alikuwa na mtihani wa chemistry..
Sijui Elimu yako ila naanza kupata Mashaka nayo kwa sbabu your Logical Point of View iko Very Non sequitor