Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

Ndio chanzo cha Hill jina?
 
Nashukuru
 
DR Mambo Jambo haya Kuna mwenzio kajitokeza huku
Huyo Dogo amedanganya kasoma First Year 2019/2020.. dogo kasoma pale 2017/2018

Alisoma First Year 2017/2018
Na walikuja Hospitali
na Ilikuwa Ni Mazimbu Hospitali Kitengo cha Meno 😀😀😀
Na Dogo Alisoma BSc ED Chemistry and Biology
 
Huyo Dogo amedanganya kasoma First Year 2019/2020.. dogo kasoma pale 2017/2018

Alisoma First Year 2017/2018
Na walikuja Hospitali
na Ilikuwa Ni Mazimbu Hospitali Kitengo cha Meno 😀😀😀
Na Dogo Alisoma BSc ED Chemistry and Biology
Makubwa 😳😳🥺🥺🥺🥺🥺
 
* Usije kuoa huyo mwanamke, yaani ukioa huyo mwanamke ujue kabisa safari ya kifo chako imetimia.

* Chakufanya muumize kama alivyokuumiza , mwambie ukweli kuwa huwezi kumuoa na sababu ya kufanya hivyo mwambie kuwa "huwezi kuoa mwanamke mwenye mtoto wa mwanaume mwingine tena mtumie na hizo sms za huyo Dr ."

* Kwa kuwa Dr aliamua vita..

Kama ningekuwa Mimi ndo wewe toka mwanzo huyo Dr ningemfanya vitu 2 either ningemfunga hiyo mboo yake yaani asisimamishe tena au ninge mtoa kabisa duniani .
YEYE ATATUMIA PESA MIMI NITATUMIA NJIA NYINGINE.
 
Safi sana mdogo wangu kwa uandishi wako mzuri,nimekufatilia tangu mwanzo mpaka mwisho na hii story sio ya kutunga maana hisia ulizoonesha kuelezea hio ni first love...na wengi tumeipitia hata kama hatujaeleza....ushauri wangu "Huyo mercy mwache abaki hivyo usije ukamwoa maana,,,,huyo doctor hataondoka kwenye maisha yake kwa kigezo cha uyo mtoto"""" pambania kombe na maisha mengine yatakujia kimafanikio kila la kheri
 
Nashukuru sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…