Daktari amshauri akafanye mapenzi kama tiba

Actually sex ni tiba kwa magonjwa mengi nasema kwa yale nikiyoshuhudia mwenuenyewe. Nikiacha kugonga madem toka 2005 hadi 2013 aisee mwili mzima ulikuwa un-okay. Always too weak, angry, exhosted ila siku nilipogonga demu mnamo 2013 mwili mzima ulitokwa jasho as if nilikuwa kwenye bwawa la maji natoka hapo nikawa stong mentally, physically.
Mwambie dogo akale mzigo atajuja kusimulia how well he would be just after having sex
 
Hysteria itakuwa inawatokeaga sana wanawake unakuta wanachekacheka tu ila akiliwa anatulia
Ajitahid afanye tu akipona ataendelea na msimamo wake
Hahahaaa haahaaa
 
Nimeshaona mdada pia alishauriwa na doctor akafanye sex, alikuwa hajafanya kwa kipindi kirefu, sex ni tiba kuna article inaelezea namna sex imekuwa tiba kabisa by scientists, hormones ziki zidi mwilini zinaleta madhara,
je kama unapiga punyeto homon zitazidi?
 
Huyo daktari anyang'anywe dhamana hiyo, anapotosha jamii!
 
Niliwai kusikia hili tatizo likimkumba mtoto wa kike dr ndo anakuwa wa kwanza kumtibu? Yani c kwa ushauri ila kumpa dozi kabisaa!dr anakuwa wa kiume cjajua akiwa wa kike
 
Apige punyeto basi...
 

Huyo dr ana dawa ya ukimwi? Au anashauri watu kufanya ngono tu hata kama hawajaoa?
 
je kama unapiga punyeto homon zitazidi?
Hormones Zizidije mkuu, SEX NA NYETO ni ishu moja sema NYETO ni selfie ila zote hupunguza kiwango za hormones during ejaculation.... Believe me or not uwingi wa hormones ni tatizo,
 
Hormones Zizidije mkuu, SEX NA NYETO ni ishu moja sema NYETO ni selfie ila zote hupunguza kiwango za hormones during ejaculation.... Believe me or not uwingi wa hormones ni tatizo,
[emoji1] nyeto ni selfie[emoji115] [emoji3]
 
Inamaana huyo jamaa kabla hajamwabia Dr matatizo yake alimwambia kwanza hajawahi Kula mzigo toka azaliwe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…