Daktari anatibu nini kama hajajisoma yeye na tamaduni zake?

Daktari anatibu nini kama hajajisoma yeye na tamaduni zake?

MUWHWELA

Senior Member
Joined
Oct 26, 2013
Posts
167
Reaction score
238
Nawasalimu ndugu zangu! Nimejiwazisha tu kwa sauti.

NJOO NA MAWAZO YAKO KAMA MENGINE HUKUBALIANI NAYO. I stand to be corrected

Daktari ANATIBU nini kama mwenyewe na jamii yake HAJAJISOMA? why nimewaza hivi.. Kuna mahala pakubwa sana sisi kama waarifka tumekuwa corrupted 100% na mifumo ya kikoloni.

1-Education system - Elimu yetu ni Elimu ambayo Iko based na tafiti, nakubaliana na Hilo. Je nani alifanya tafiti? Alifanya kwa Nia Gani? Matokeo ya tafiti hiyo Yako wazi? Nani mmiliki wa hiyo tafiti?

Fani ya udaktari ni fani nyeti sana, Lakini ndiyo fani pekee inayofanya biashara na UHAI wa watu, maskini hata madaktari wetu hawajui kama Wanafanya biashara na maisha ya watu, why? Come

2-Vitabu vyote na vifaa tiba vyote, dawa zote na vibari vya ubora vinatolewa na wazungu, shirika la afya duniani na mashirikisho ya wazalishaji wa dawa duniani hao ndiyo mabigi wa kuamua ufe lini na ufeje.

Sasa tunao matabibu wetu ambao hata KUJIJUA wao ni akina nani wanategemea formula ya mzungu, je mzungu na sisi watu weusi tumeumbwa sawa? Tupo sawa kijenetiki? Jibu ni hapana.

Kama ni hivyo itakuwaje kanuni ya aina moja ifanye kazi kote? Huu ni uhuni kama uhuni Mwingine tu.

Nachofahamu ni kwamba pharmaceutical industry na food industry duniani ndiyo sekta zenye nguvu kuliko Dini na serikali zote duniani, wao ndiyo wanaamua wapunguze watu kiasi Gani kwa style Gani maana wao ndiyo wanaomiliki research zote kubwa duniani. Hakuna serikali yenye uwezo wa kubishana nao.

MATABIBU WETU: Wajitutumue kidogo na kufuata wale wazee wa zamani wawape Siri za kwanini wao waliishi na walifanikiwa Katika mambo yote ya Afya? Then hizo taarifa zipewe ulinzi na serikali bila kujali hao wazungu na mashirika Yao yatasemaje maana sisi nasi ni watu huru.

Hakuna dawa isiyotokana na mimea au masalia ya viumbe hai wa majini au ardhini, hakuna ugonjwa ambao siyo mapungufu ya madini ,vitamini , protein , je hayo mapungufu si zamani mpka sasa yanapatikana Katika matunda, nafaka, magome ya miti,viungo na mizizi? Why matabibu wetu hawawezi kusema kwa sauti.

UJINGA WETU NDIYO BIASHARA YAO, WHO FEED YOUR STOMACH CONTROL DECISIONS
 
HOJA zako
1)Education system ni ya mzungu ambaye ndiye amefanya TAFITI
na kuandika VITABU vya dawa vifaa tiba na matibabu.HOfu yako una mashaka na tafiti na vitabu na unahoji uwazi usahihi na usalama kitumia matokea hayo na elimu hiyo huku africa bongo
MAJIBU
Tafiti ni gharama tafiti zinahitaji bajeti,pia nyingine zilifanyika kwa wanyama ,kwa binadamu wafungwa/mateka wa vita kwa gharama kubwa na kwa muda mrefu
TAFUTI hupingwa kwa tafiti na tafiti hithibitishwa kwa tafiti, elimu hizi ni za wazi na unaweza kuzithibitisha kisayansi kwa kufuata kanuni za tafiti za kisayansi experiment
Elimu ya sayansi unaweza ukaithibitisha kujua usahihi na uongo

2)Mzungu na mwafrika hatulingani tunatofautiana hivyo matibabu ya mzungu na mwafrika pia yasilingane

JIBU
Ni maumbile na ufanyaji kazi wa mwili hutofautiana kidogo sana kulingana na umri,jinsia,na uasili ,ila sehemu kubwa ni sawa,hata kati ya mtu na mtu miili inavyofanya kazi kunaweza kuwa na yofauti ndogo,pia kulingana na hali nyingine za magonjwa mengine .LAKINI VYOTE VIMEFANYIWA TAFUTI NA MATIBABU HUWA TOFAUTI KATI ya mtu na mtu kulingana na hali yake.

3)Nia ovu ya kupunguza watu duniani kupitia matibabu dawa na vifaa tiba kutoka mamlaka ya kudhibiti dawa na matibabu na vyakula duniani
JIBU.
Matibabu ya hospitali na madawa yameokoa maisha ya wengi
Hospitali na dawa zinasaidia na kuokoa maisha


4)Watu wa zamani walijitibu kwa mime na vyakula na walikuwa na mfumo bora wa afya kuliko sasa leo.
JIBU
Mapinduzi ya sayansi na teknolojia yameongeza ufanisi na kubiresha huduma za matibabu karne hii kuliko miaka ya nyuma hata kiliko muongo mmoja uliopita.
Zamani matibabu yalikuwa duni kiliko sasa.
 
HOJA zako
1)Education system ni ya mzungu ambaye ndiye amefanya TAFITI
na kuandika VITABU vya dawa vifaa tiba na matibabu.HOfu yako una mashaka na tafiti na vitabu na unahoji uwazi usahihi na usalama kitumia matokea hayo na elimu hiyo huku africa bongo
MAJIBU
Tafiti ni gharama tafiti zinahitaji bajeti,pia nyingine zilifanyika kwa wanyama ,kwa binadamu wafungwa/mateka wa vita kwa gharama kubwa na kwa muda mrefu
TAFUTI hupingwa kwa tafiti na tafiti hithibitishwa kwa tafiti, elimu hizi ni za wazi na unaweza kuzithibitisha kisayansi kwa kufuata kanuni za tafiti za kisayansi experiment
Elimu ya sayansi unaweza ukaithibitisha kujua usahihi na uongo

2)Mzungu na mwafrika hatulingani tunatofautiana hivyo matibabu ya mzungu na mwafrika pia yasilingane

JIBU
Ni maumbile na ufanyaji kazi wa mwili hutofautiana kidogo sana kulingana na umri,jinsia,na uasili ,ila sehemu kubwa ni sawa,hata kati ya mtu na mtu miili inavyofanya kazi kunaweza kuwa na yofauti ndogo,pia kulingana na hali nyingine za magonjwa mengine .LAKINI VYOTE VIMEFANYIWA TAFUTI NA MATIBABU HUWA TOFAUTI KATI ya mtu na mtu kulingana na hali yake.

3)Nia ovu ya kupunguza watu duniani kupitia matibabu dawa na vifaa tiba kutoka mamlaka ya kudhibiti dawa na matibabu na vyakula duniani
JIBU.
Matibabu ya hospitali na madawa yameokoa maisha ya wengi
Hospitali na dawa zinasaidia na kuokoa maisha


4)Watu wa zamani walijitibu kwa mime na vyakula na walikuwa na mfumo bora wa afya kuliko sasa leo.
JIBU
Mapinduzi ya sayansi na teknolojia yameongeza ufanisi na kubiresha huduma za matibabu karne hii kuliko miaka ya nyuma hata kiliko muongo mmoja uliopita.
Zamani matibabu yalikuwa duni kiliko sasa.
Akili ni kubwa! Hongera tunahitaji mjadala kama hii iwe ya hoja na staha ya UTU.

1-tafiti hupingwa kwa tafiti, umekuri kwamba tafiti ni fedha nyingi pia muda. Je huoni kama huo uchochoro ndiyo unatumika kuendelea kuamini wanachosema wao? Yaani hatuna chetu Bali hata taaluma zetu ni lazima ziwe certified na wao( Huoni kama ni utumwa)

2-Idadi ya watu wanaoumwa magonjwa yatokanayo na dawa za viwandani na chanjo zao ni kubwa pia, japo Hilo haliwezi kusemwa maana ni biashara na inalindwa na shirika la afya duniani na baadhi ya sheria zetu pia. ..ukisema utaambiwa Lete tafiti

3-Brother chakula kilichotoka kiwandani kina SIASA ndani yake pia ni bidhaa siyo chakula,hakijawahi kuwa msaada siku zote, tunahitaji nyie Matabibu mtueleze nayaona hiyo tena kwa UPENDO tu.

4 -Genetically sisi na wao tuna tofauti kubwa sana ,kwa nyanja nyingi, upungufu wa baadhi ya madini na virutubisho kadhaa Katika Ardhi Yao Hilo tu limetugawa maana tunaleta vizazi vyenye utofauti Mwingi tu...wanalijua Hilo ndiyo maana wanataka ku-corrupt Ardhi yote ya ulimwengu kwa mbolea na GMO zao.

5-Kwani mkija na breakdown ya Kila ugonjwa kwamba ni upungufu kwa kitu Gani mwilini ,ongeza kula hiki,acha hiki ikawa ni agenda yetu as taifa hatuwezi kwenda au kwa sababu tumesaini treats za WHO? This guy still control us 100%
 
1 )Tafiti huthibitishwa na tafiti nyingine ikiyofanyika sehemu nyingine na iliyofanywa na watu wengine kwa kutumia njia ileile na ikaleta matokeo yale yale.Tafiti hizi zote zimethibitika ni kweli.Sayansi sio imani,sayansi inathubitishwa au inapingwa kwa kufanya tafiti za kisayansi na kupata matokea.Tafiti sio siri zipo wazi.

2)Ni kweli dawa zote zina madhara au ni sumu lakini zimefanyiwa tafiti kiwango ambacho ni salama kutumiwa na wanadamu dose.Dawa nyingi zinatokana na mimea hiyo hiyo unayosema.Tofauti ni kwamba hizi za viwandani zimeondolewa chujwa sumu zaidi kuliko ukitumia mizizi na mimea kienyeji bila kuchuja sumu.
Kwa kifupi mitishamba ina sumu zaidi kuliko dawa za viwandani.

3)Ni kweli vyakula vya asili ni bora zaidi kiafya kuliko vyakula vya viwandani hata tafiti zinasema hivyo.

4)Genetically tupo tofauti na tafiti zimefanyika kwa race zote weusi,caucation,whites tafiti zimefanyika zikihusisha tabaka zote blacks na whites.

5)Sababu za magonjwa zipo nyingi sio upungufu wa lishe tu.Na sio maginjwa yote yanatibika kwa lishe tu.Mengine yanatibika kwa upasuaji,memgine ni ajali,mfano kuvunjika mifupa au mambo ya uzazi n.k
TAFITI ZINAFANYIKA HATA AFRIKA na nyingine zilianzia afrika ,hata sasa tafuti zinanendelea kufanyika dunia nzima.Matibabu mengine yalianzia afrika.
 
DAWA ZA MITISHAMBA MIMEA NA LISHE TIBA hazijaacha kutumika ila zimeboreashwa zaidi kwa kuchujwa sumu zisizofaa uchafu na kibakiza kiwango cha dawa katika mimea kinachofaa kwa matibabu bila kuathiri /zimepunguzww madhara .Na kuwekea kiwango,na maelekezo ya ufanyaji kazi wa dawa mwilini na mwili katika dawa na dozi sahihi.
NA HATA UPASUAJI ULIOANZKA AFRIKA UMEBORESHWA kwa kuboresha mazingira safi na salama na ujuzi wa kufanya.
MIILI YA BINADAMU kimaumbile anatomybhaitofautiani sana ,hata ufanyaji kazi ,tofauti ipo ila kuna mfanano mkubwa pia .
Na hata sasa tafiti zinaendelea duniani kote.
HATA WEWE unaruhusiwa kifanya tafiti yako ukaja hata na majibu ya maswali unayojiuliza na yanaweza yakabadilisha mtazamo wa dunia.TAFITI HUPINGWA KWA TAFITI.
 
HOJA zako
1)Education system ni ya mzungu ambaye ndiye amefanya TAFITI
na kuandika VITABU vya dawa vifaa tiba na matibabu.HOfu yako una mashaka na tafiti na vitabu na unahoji uwazi usahihi na usalama kitumia matokea hayo na elimu hiyo huku africa bongo
MAJIBU
Tafiti ni gharama tafiti zinahitaji bajeti,pia nyingine zilifanyika kwa wanyama ,kwa binadamu wafungwa/mateka wa vita kwa gharama kubwa na kwa muda mrefu
TAFUTI hupingwa kwa tafiti na tafiti hithibitishwa kwa tafiti, elimu hizi ni za wazi na unaweza kuzithibitisha kisayansi kwa kufuata kanuni za tafiti za kisayansi experiment
Elimu ya sayansi unaweza ukaithibitisha kujua usahihi na uongo

2)Mzungu na mwafrika hatulingani tunatofautiana hivyo matibabu ya mzungu na mwafrika pia yasilingane

JIBU
Ni maumbile na ufanyaji kazi wa mwili hutofautiana kidogo sana kulingana na umri,jinsia,na uasili ,ila sehemu kubwa ni sawa,hata kati ya mtu na mtu miili inavyofanya kazi kunaweza kuwa na yofauti ndogo,pia kulingana na hali nyingine za magonjwa mengine .LAKINI VYOTE VIMEFANYIWA TAFUTI NA MATIBABU HUWA TOFAUTI KATI ya mtu na mtu kulingana na hali yake.

3)Nia ovu ya kupunguza watu duniani kupitia matibabu dawa na vifaa tiba kutoka mamlaka ya kudhibiti dawa na matibabu na vyakula duniani
JIBU.
Matibabu ya hospitali na madawa yameokoa maisha ya wengi
Hospitali na dawa zinasaidia na kuokoa maisha


4)Watu wa zamani walijitibu kwa mime na vyakula na walikuwa na mfumo bora wa afya kuliko sasa leo.
JIBU
Mapinduzi ya sayansi na teknolojia yameongeza ufanisi na kubiresha huduma za matibabu karne hii kuliko miaka ya nyuma hata kiliko muongo mmoja uliopita.
Zamani matibabu yalikuwa duni kiliko sasa

HOJA zako
1)Education system ni ya mzungu ambaye ndiye amefanya TAFITI
na kuandika VITABU vya dawa vifaa tiba na matibabu.HOfu yako una mashaka na tafiti na vitabu na unahoji uwazi usahihi na usalama kitumia matokea hayo na elimu hiyo huku africa bongo
MAJIBU
Tafiti ni gharama tafiti zinahitaji bajeti,pia nyingine zilifanyika kwa wanyama ,kwa binadamu wafungwa/mateka wa vita kwa gharama kubwa na kwa muda mrefu
TAFUTI hupingwa kwa tafiti na tafiti hithibitishwa kwa tafiti, elimu hizi ni za wazi na unaweza kuzithibitisha kisayansi kwa kufuata kanuni za tafiti za kisayansi experiment
Elimu ya sayansi unaweza ukaithibitisha kujua usahihi na uongo

2)Mzungu na mwafrika hatulingani tunatofautiana hivyo matibabu ya mzungu na mwafrika pia yasilingane

JIBU
Ni maumbile na ufanyaji kazi wa mwili hutofautiana kidogo sana kulingana na umri,jinsia,na uasili ,ila sehemu kubwa ni sawa,hata kati ya mtu na mtu miili inavyofanya kazi kunaweza kuwa na yofauti ndogo,pia kulingana na hali nyingine za magonjwa mengine .LAKINI VYOTE VIMEFANYIWA TAFUTI NA MATIBABU HUWA TOFAUTI KATI ya mtu na mtu kulingana na hali yake.

3)Nia ovu ya kupunguza watu duniani kupitia matibabu dawa na vifaa tiba kutoka mamlaka ya kudhibiti dawa na matibabu na vyakula duniani
JIBU.
Matibabu ya hospitali na madawa yameokoa maisha ya wengi
Hospitali na dawa zinasaidia na kuokoa maisha


4)Watu wa zamani walijitibu kwa mime na vyakula na walikuwa na mfumo bora wa afya kuliko sasa leo.
JIBU
Mapinduzi ya sayansi na teknolojia yameongeza ufanisi na kubiresha huduma za matibabu karne hii kuliko miaka ya nyuma hata kiliko muongo mmoja uliopita.
Zamani matibabu yalikuwa duni kiliko sasa.
So defensive 🤔🤔🤔
 
Nawasalimu ndugu zangu! Nimejiwazisha tu kwa sauti.

NJOO NA MAWAZO YAKO KAMA MENGINE HUKUBALIANI NAYO. I stand to be corrected

Daktari ANATIBU nini kama mwenyewe na jamii yake HAJAJISOMA? why nimewaza hivi.. Kuna mahala pakubwa sana sisi kama waarifka tumekuwa corrupted 100% na mifumo ya kikoloni.

JIBU
Katika mafunzo ya udaktari, somo mojawapo ni Community medicine. Somo hili hulenga kuielewa jamii ambayo unafanya nayo kazi mila, dini, desturi, lishe tiba asili nk. Daktari anapokuwa anatoa huduma hutakiwa kuyafahamu na kuzingatia haya. Tunatekeleza kwa kiasi gani hili ni jukumu la kila mmoja wetu.

1-Education system - Elimu yetu ni Elimu ambayo Iko based na tafiti, nakubaliana na Hilo. Je nani alifanya tafiti? Alifanya kwa Nia Gani? Matokeo ya tafiti hiyo Yako wazi? Nani mmiliki wa hiyo tafiti?

JIBU
A: Kuna tafiti zilizokwishafanyika na zinazofanyika vyuoni pamoja na kwenye hospitali mbalimbali au taasisi mbalimbali kama mwendelezo kwenye sekta ya afya na nyinginezo. Wamiliki wa taarifa huwa ni wasimamizi wakuu wa vyuo husika au taasisi husika. Pia, kuna taratibu za kutoa taarifa za tafiti husika kwa umma ili kubadili au kuhimiza chochote ambacho ni hasi au chanya. Pamoja na hayo hatuwezi kuzuia maarifa waliyonayo au waliyokwishayatambua wenzetu na kujiweka kwenye kisiwa cha maarifa yetu tu.

B: Kwa sasa tafiti za dawa zinafanyika Afrika na Tanzania na zinasimamiwa na sisi waafrika au kwa kuhusisha wenzetu wa nje. Tafiti si jambo dogo au la muda mfupi. Jaribu kutembelea taasisi zinazofanya tafiti kwa upande wa tiba za binadamu: mfano: NIMR au IHI nk. ili uweze kupata ABC na ni nini changamoto kwenye kujitanua au kupanua wigo wa taasisi husika au kufanya tafiti kwa wigo mpana zaidi. Nani anawezesha tafiti hizi?


Fani ya udaktari ni fani nyeti sana, Lakini ndiyo fani pekee inayofanya biashara na UHAI wa watu, maskini hata madaktari wetu hawajui kama Wanafanya biashara na maisha ya watu, why? Come

JIBU
Hapa sina uhakika kama kuna daktari hajui kuwa anachokifanya kina athari chanya au hasi kwenye afya ya mwanadamu mwenzake na hivyo anastahili kufuata miongozo na kiapo chake. Soma Hippocroat oath, mengine yanabaki kuwa makandokando ya ubinadamu kwa kila mmija wetu hata kwenye maisha ya kawaida.


2-Vitabu vyote na vifaa tiba vyote, dawa zote na vibari vya ubora vinatolewa na wazungu, shirika la afya duniani na mashirikisho ya wazalishaji wa dawa duniani hao ndiyo mabigi wa kuamua ufe lini na ufeje.

Kama ni hivyo itakuwaje kanuni ya aina moja ifanye kazi kote? Huu ni uhuni kama uhuni Mwingine tu.

JIBU
A
: Suala la vitabu, hakuna chuo kinalazimishwa kitumie kitabu hiki toka Ulaya au Amerika au mtaala wake uweje kwa shinikizo toka nje bali tasisi zetu wenyewe za ndani ndo zwnye kusimamia na kupitisha mitaala. Kuna mchanganyiko wa vitabu vingi, ingawa vitabu vya wenzetu bado ni vingi kutokana na gharama utengenezaji & uzalishaji na usambazaji. Pia mwamko ndani yetu kuweka maarifa kwenye kumbukumbu husika. Binafsi unaweza kuandika uliyonayo na yenye ushahidi na kupitisha kwenye vitengo husika ili kukubalika kama rejea kwenye mafunzo yetu au nje ya hapa kwetu.

B: Kila nchi duniani ina wajibu wa kuwa na (Food and Drug Authority)FDA yake. Uimara au udhaifu wa FDA ya nchi husika ni suala la nchi yenyewe, mfano hapa una TMDA. Hawa ndo huusika na kuruhusu dawa vs vifaa tiba vyote. Unawaamini au la ni suala mtambuka. Shirika la afya duniani hutoa mwongozo wa jumla, na nchi husika huweza kutohoa kulingana na mtizamo na ushahidi wake kisayansi. Ndo maana kuna utaratibu unaweza kutolewa na WHO lakini FDA ya nchi moja ikasema itachukua mkondo tofauti kwenye utekelezaji. Pia, WHO wanatoa mwongozo wa dawa na kukwambia "Unatakiwa kufuata mwongozo huu kwa kuzingatia mwenendo wa usugu wa dawa kwa eneo husika.


Sasa tunao matabibu wetu ambao hata KUJIJUA wao ni akina nani wanategemea formula ya mzungu, je mzungu na sisi watu weusi tumeumbwa sawa? Tupo sawa kijenetiki? Jibu ni hapana.

JIBU
Rejea jibu la kwanza kule juu(community medicine na kuhusu ugunduzi na uendelezaji wa dawa(drug diacovery and development).



Nachofahamu ni kwamba pharmaceutical industry na food industry duniani ndiyo sekta zenye nguvu kuliko Dini na serikali zote duniani, wao ndiyo wanaamua wapunguze watu kiasi Gani kwa style Gani maana wao ndiyo wanaomiliki research zote kubwa duniani. Hakuna serikali yenye uwezo wa kubishana nao.

JIBU
Hili siwezi kulisemea sana, kwani drug industries vs phamarcetical industries zinaendeshwa kwa sheria na taratibu za tawala zilizopo.


MATABIBU WETU: Wajitutumue kidogo na kufuata wale wazee wa zamani wawape Siri za kwanini wao waliishi na walifanikiwa Katika mambo yote ya Afya? Then hizo taarifa zipewe ulinzi na serikali bila kujali hao wazungu na mashirika Yao yatasemaje maana sisi nasi ni watu huru.

Tiba asili imeendelea kuzingatiwa na kwa kulijua hili vitengo vya tiba asili vipo wizarani na vinaendesha elimu na tafiti kwenye taasisi za kisayansi. Mfano: Tasisi ya tiba asili pale Muhimbili inatoa mafunzo na kufanya tafiti. Ufanisi wake utategemea na utayari na utashi wa uwezeshaji.

Hakuna dawa isiyotokana na mimea au masalia ya viumbe hai wa majini au ardhini, hakuna ugonjwa ambao siyo mapungufu ya madini ,vitamini , protein , je hayo mapungufu si zamani mpka sasa yanapatikana Katika matunda, nafaka, magome ya miti,viungo na mizizi? Why matabibu wetu hawawezi kusema kwa sauti.

JIBU
A: Serikali kama mdau mkuu wa afya inatambua haya mambo ya tiba asili ndo maana kuna kitengo kwenye tasisi husika. Inakuwa imara kiasi gani mi suala la utashi na uwezeshaji.

Upande wa dawa, Ili hiyo dawa uweze kuitanabaisha unahitaji miundombinu wezeshi pamoja na uwekezaji pia uwe na utayari wa kiuongozi. Drug industry inaendeshwa na upande mkubwa wa wafamasia kwa kushirikiana na
madaktari. Kufanya utafiti wa molecule moja mpaka kuifikisha kuwa dawa na kutumika ni miaka10-18(soma drug discovery and development). Kulingana na teknolojia muda unaweza kupungua lakini bado uwekezaji, elimu ma teknolojia ni vitu muhimu.

B: Si kila ugonjwa ni ukosefu wa viini-lishe. Kuna magonjwa pia ya:
Kuambukiza
Kuzidi viinilishe
Mabadiliko ya spidi ya kuzaliana kwa seli za mwili(tabia za mwili wenyewe kubadilika).


NB: Ukiangalia sana mambo yote yanabaki ndani yetu mmojamoja, kitaasisi na kiuongizi tuko tayari kutoa michango yetu kiasi gani? Tunawajibika kiasi gani? Tusimalize nguvu zetu kueushia mawe nyani na nguruwe walio nje ya shamba wakati hata mahindi hayujapanda vyema. Tupande mahindi yetu yastawi vyema.
 
Nawasalimu ndugu zangu! Nimejiwazisha tu kwa sauti.

NJOO NA MAWAZO YAKO KAMA MENGINE HUKUBALIANI NAYO. I stand to be corrected

Daktari ANATIBU nini kama mwenyewe na jamii yake HAJAJISOMA? why nimewaza hivi.. Kuna mahala pakubwa sana sisi kama waarifka tumekuwa corrupted 100% na mifumo ya kikoloni.

1-Education system - Elimu yetu ni Elimu ambayo Iko based na tafiti, nakubaliana na Hilo. Je nani alifanya tafiti? Alifanya kwa Nia Gani? Matokeo ya tafiti hiyo Yako wazi? Nani mmiliki wa hiyo tafiti?

Fani ya udaktari ni fani nyeti sana, Lakini ndiyo fani pekee inayofanya biashara na UHAI wa watu, maskini hata madaktari wetu hawajui kama Wanafanya biashara na maisha ya watu, why? Come

2-Vitabu vyote na vifaa tiba vyote, dawa zote na vibari vya ubora vinatolewa na wazungu, shirika la afya duniani na mashirikisho ya wazalishaji wa dawa duniani hao ndiyo mabigi wa kuamua ufe lini na ufeje.

Sasa tunao matabibu wetu ambao hata KUJIJUA wao ni akina nani wanategemea formula ya mzungu, je mzungu na sisi watu weusi tumeumbwa sawa? Tupo sawa kijenetiki? Jibu ni hapana.

Kama ni hivyo itakuwaje kanuni ya aina moja ifanye kazi kote? Huu ni uhuni kama uhuni Mwingine tu.

Nachofahamu ni kwamba pharmaceutical industry na food industry duniani ndiyo sekta zenye nguvu kuliko Dini na serikali zote duniani, wao ndiyo wanaamua wapunguze watu kiasi Gani kwa style Gani maana wao ndiyo wanaomiliki research zote kubwa duniani. Hakuna serikali yenye uwezo wa kubishana nao.

MATABIBU WETU: Wajitutumue kidogo na kufuata wale wazee wa zamani wawape Siri za kwanini wao waliishi na walifanikiwa Katika mambo yote ya Afya? Then hizo taarifa zipewe ulinzi na serikali bila kujali hao wazungu na mashirika Yao yatasemaje maana sisi nasi ni watu huru.

Hakuna dawa isiyotokana na mimea au masalia ya viumbe hai wa majini au ardhini, hakuna ugonjwa ambao siyo mapungufu ya madini ,vitamini , protein , je hayo mapungufu si zamani mpka sasa yanapatikana Katika matunda, nafaka, magome ya miti,viungo na mizizi? Why matabibu wetu hawawezi kusema kwa sauti.

UJINGA WETU NDIYO BIASHARA YAO, WHO FEED YOUR STOMACH CONTROL DECISIONS
Kwamba turudi kwemye matumizi ya BUNZI LA MHINDI WA MWAKA JANA kutibu funza kwa kujisugua bila rationality?

Bio medicine ni rational medicine mzee, mgonjwa mwenyew ukimuelezea anakuelewa. Sio ujinga ujinga wa nn sijui.. huyo mtoa dawa tu maelezo yake yana matege. Kuumwa unaumwa wewe sababu ya ugonjwa wako eti jirani yako
 
Nawasalimu ndugu zangu! Nimejiwazisha tu kwa sauti.

NJOO NA MAWAZO YAKO KAMA MENGINE HUKUBALIANI NAYO. I stand to be corrected

Daktari ANATIBU nini kama mwenyewe na jamii yake HAJAJISOMA? why nimewaza hivi.. Kuna mahala pakubwa sana sisi kama waarifka tumekuwa corrupted 100% na mifumo ya kikoloni.

JIBU
Katika mafunzo ya udaktari, somo mojawapo ni Community medicine. Somo hili hulenga kuielewa jamii ambayo unafanya nayo kazi mila, dini, desturi, lishe tiba asili nk. Daktari anapokuwa anatoa huduma hutakiwa kuyafahamu na kuzingatia haya. Tunatekeleza kwa kiasi gani hili ni jukumu la kila mmoja wetu.

1-Education system - Elimu yetu ni Elimu ambayo Iko based na tafiti, nakubaliana na Hilo. Je nani alifanya tafiti? Alifanya kwa Nia Gani? Matokeo ya tafiti hiyo Yako wazi? Nani mmiliki wa hiyo tafiti?

JIBU
A: Kuna tafiti zinafanyika vyuoni pamoja na kwenye hospitali mbalimbali. Wamiliki wa taarifa huwa ni wasimamizi wakuu wa vyuo husika au taasisi. Pia, kuna taratibu za kutoa taarifa za tafiti husika kwa umma ili kubadili au kuhimiza chochote ambacho ni hasi au chanya. Pamoja na hayo hatuwezi kuzuia maarifa waliyonayo au waliyokwishayatambua wenzetu na kujiweka kwenye kisiwa vha maarifa yetu tu.

B: Kwa sasa tafiti za dawa zinafanyika Afrika na Tanzania na zinasimamiwa na sisi waafrika au kwa kuhusisha wenzetu. Tafiti si jambo dogo au la muda mfupi. Jaribu kutembelea taasisi zinazofanya tafiti kwa upande wa tiba za binadamu: mfano: NIMR au IHI nk. ili uweze kupata ABC na ni nini changamito kwenye kujitanua au kupanua wigo wa taasisi husika.


Fani ya udaktari ni fani nyeti sana, Lakini ndiyo fani pekee inayofanya biashara na UHAI wa watu, maskini hata madaktari wetu hawajui kama Wanafanya biashara na maisha ya watu, why? Come

JIBU
Hapa sina uhakika kama kuna daktari hajui kuwa anachokifanya kina athari chanya au hasi kwenye afya ya mwanadamu mwenzake na hivyo anastahili kufuata miongozo na kiapo chake. Soma Hippocroat oath, mengine yanabaki kuwa makandokando ya ubinadamu.


2-Vitabu vyote na vifaa tiba vyote, dawa zote na vibari vya ubora vinatolewa na wazungu, shirika la afya duniani na mashirikisho ya wazalishaji wa dawa duniani hao ndiyo mabigi wa kuamua ufe lini na ufeje.

Kama ni hivyo itakuwaje kanuni ya aina moja ifanye kazi kote? Huu ni uhuni kama uhuni Mwingine tu.

JIBU
A
: Suala la vitabu, hakuna chuo kinalazimishwa kitumie kitabu hiki toka Ulaya au Amerika au mtaala wake uweje kwa shinikizo toka nje bali tasisi zetu wenyewe. Kuna mchanganyiko wa vitabu vingi, ingawa vitabu vya wenzetu bado ni vingi kutokana na gharama utengenezaji & uzalishaji na usambazaji. Pia mwamko ndani yetu kuweka maarifa kwenye kumbukumbu husika. Binafsi unaweza kuandika uliyonayo na yenye ushahidi na kupitisha kwenye vitengo husika ili kukubalika kama rejea kwenye mafunzo.

B: Kila nchi duniani ina wajibu wa kuwa na FDA yake. Uimara au udhaifu wa FDA ya nchi hudika ni suala la nchi yenyewe, mfano hapa una TMDA. Hawa ndo huusika na kuruhusu dawa vs vifaa tiba vyote. Unawaamini au la ni suala mtambuka. Shirika la afya duniani hutoa mwongozo wa jumla, na nchi hudika huweza kutohoa kulingana na mtizamo na ushahidi wake kisayansi. Ndo maana kuna utaratibu unaweza kutolewa na WHO lakini FDA ya nchi moja ikasema itachukua mkonfo tofauti kwenye utekelezaji.


Sasa tunao matabibu wetu ambao hata KUJIJUA wao ni akina nani wanategemea formula ya mzungu, je mzungu na sisi watu weusi tumeumbwa sawa? Tupo sawa kijenetiki? Jibu ni hapana.


Nachofahamu ni kwamba pharmaceutical industry na food industry duniani ndiyo sekta zenye nguvu kuliko Dini na serikali zote duniani, wao ndiyo wanaamua wapunguze watu kiasi Gani kwa style Gani maana wao ndiyo wanaomiliki research zote kubwa duniani. Hakuna serikali yenye uwezo wa kubishana nao.

JIBU
Hili siwezi kulisemea sana, kwani drug industries vs phamarcetical industries zinaendeshwa kwa sheria na taratibu za tawala zilizopo.


MATABIBU WETU: Wajitutumue kidogo na kufuata wale wazee wa zamani wawape Siri za kwanini wao waliishi na walifanikiwa Katika mambo yote ya Afya? Then hizo taarifa zipewe ulinzi na serikali bila kujali hao wazungu na mashirika Yao yatasemaje maana sisi nasi ni watu huru.

Tiba asili imeendelea kuzingatiwa na kwa kulijua hili vitengo vya tiba asili vipo wizarani na vinaendesha elimu na tafiti kwenye taasisi za kisayansi. Mfano: Tasisi ya tiba asili pale Muhimbili inatoa mafunzo na kufanya tafiti. Ufanisi wake utategemea na utayari na utashi wa uwezeshaji.

Hakuna dawa isiyotokana na mimea au masalia ya viumbe hai wa majini au ardhini, hakuna ugonjwa ambao siyo mapungufu ya madini ,vitamini , protein , je hayo mapungufu si zamani mpka sasa yanapatikana Katika matunda, nafaka, magome ya miti,viungo na mizizi? Why matabibu wetu hawawezi kusema kwa sauti.

JIBU
A: Serikali kama mdau mkuu wa afya inatambua haya mambo ya tiba asili ndo maana kuna kitengo kwenye tasisi husika. Inakuwa imara kiasi gani mi suala la utashi na uwezeshaji.

Upande wa dawa, Ili hiyo dawa uweze kuitanabaisha unahitaji miundombinu wezeshi pamoja na uwekezaji pia uwe na utayari wa kiuongozi. Drug industry inaendeshwa na upande mkubwa wa wafamasia kwa kushirikiana na
madaktari. Kufanya utafiti wa molecule moja mpaka kuifikisha kuwa dawa na kutumika ni miaka10-18(soma drug discovery and development). Kulingana na teknolojia muda unaweza kupungua lakini bado uwekezaji, elimu ma teknolojia ni vitu muhimu.

B: Si kila ugonjwa ni ukosefu wa viini-lishe. Kuna magonjwa pia ya:
Kuambukiza
Kuzidi viinilishe
Mabadiliko ya spidi ya kuzaliana kwa seli za mwili(tabia za mwili wenyewe kubadilika).


NB: Ukiangalia sana mambo yote yanabaki ndani yetu mmojamoja, kitaasisi na kiuongizi tuko tayari kutoa michango yetu kiasi gani? Tunawajibika kiasi gani? Tusimalize nguvu zetu kueushia mawe nyani na nguruwe walio nje ya shamba wakati hata mahindi hayujapanda vyema. Tupande mahindi yetu yastawi vyema.
Well done ndugu yangu!! Majibu murua kabisa na fikilishi sana, kwa mwendo huu inapaswa tuendelee kuibua hoja Ili mje na majawabu Sasa.

1-Unafanya tafiti wewe Lakini Ili tafiti hiyo ikubalike lazima ipitishwe na tasisi za wazungu...is this correct?

2-Kitabu chochote hasa hivi vya kitaaluma hizo ngazi za kukipitisha kiende worldwide ni mtihani mkubwa, ..ndiyo maana ni kama havipo tu kama vipo basi ni vile vimeletwa kwenye LUGHA ya kiswahili kutoka kwenye Asili yake.

3-Maabara zenu zote hata za TMDA laboratory kit's zinatoka kwa wenyewe hatuna Cha kwetu...aliyebuni mashine ndiye anajua majibu anayotaka .

4-Ni kweli baba wa tiba duniani ni mwafrika hata mgiriki mwenyewe anakili Hilo kwamba alikuja kujifunza taaluma hiyo kemet (afrika) Lakini baada ya wao kuweka vitu Katika maandishi wakageuza wanavyotaka wao.

5-Brother!!!! Sisi ni jamiii ambayo inao ujinga mwingi sana ,Tena ujinga wa kujitakia wenyewe ,ubinafsi na uwezo wa kuamini wengine Ili wathubutu ni zero..

6-Niambie sisi tunamiliki tafiti ipi na gunduzi ipi Katika sekta ya Afya. Kama siyo vyote tunasoma rejea za wazungu.

7-Wakuu wa vyuo wako too political, huwezi kutegemea udadisi na utashi wake UENDE kinyume na takwa la mamlaka zilizopo Hilo Halipo kama litakuja basi kwa kuchelewa sana..

Otherwise umejibu vizuri sana ,naendelea kujifunza kitu...I do respect Doctors na sekta yote ya Afya..japo kazi ya kufanya Bado ni kubwa mno
 
DR SEBI
 

Attachments

  • images - 2024-11-01T103611.633.jpeg
    images - 2024-11-01T103611.633.jpeg
    52.4 KB · Views: 4
TIBA ZA ASILI ZA MIMEA NA LISHE
zinaendelea kwa tafiti zake kwa kufanywa na mtu mmoja mmoja au taasisi binafsi au za serikali.
Huko duniani DR SEBI alifanya kwa mafanikio makubwa sana na alithibitisha mpaka mahakamani magonjwa mengi aliyatibu kwa njia za kiasili tifauti na mifumo ya sayansi ya tiba.

BONGO PIA
watu binafsi na taasisi binafsi na za umma zinaendelea na tiba mbadala tiba asili
tumeshuhudia KIKOMBE CHA BABU WA LOLIONDO,
DR NDONDI
DR MWAKA
na wengine

HITIMISHO
Mtu yeyote binafsi ambaye anaweza kuja na tafiti zake na maonk yake kama alivyofanya BABU WA LOLIONDO
AU DR SEBI.
Wewe pia ni sehemu ya serikali ,unaweza ukaja na matibabu na tafiti zako kama hao walivyofanya huku serikali au taasisi nyingine zibaendelea pia,

BADO KUNA UHITAJI WA TAFITI
Mambo mengi bado hayana majibu hata matibabu mengi mfano SARATANI bado MILANGO YA TAFITI INAHITAJI MAJIBU MENGI
 
1-Unafanya tafiti wewe Lakini Ili tafiti hiyo ikubalike lazima ipitishwe na tasisi za wazungu...is this correct?

JIBU
Si kweli, tafiti zetu zinasimamiwa na taasisi za ndani na kufuatiliwa kwa karibu sana jambo la msingi ni kukidhi vigezo. Utakapotaka kupeleka tiba yako au utaalamu wako nje ya mipaka ndo utahitaji wenzio kujihakikishia. Tafiti vs tafiti.

Mfano:
Tiba ya fangusi au viluilui wanaokula mazalia ya mbu kinachohitajika ni kukidhi viwango vilivyowekwa katika kubuni vs kuendelea vs kuzalisja vs madhala kwenye mazingira na afya za viumbe wengine nk.

Ukiwaza kwa ndani, hata serikali yako ni descendant/inamulikwa toka juu na wengine toka juu yake/mnyororo mrefu. Hata wewe kwenye familia kuna mambo hauko huru kujifanyia, kuna wakubwa watakuita kwenye familia kukwambia hili siyo usifanye hili jieleze tuone ni sawa au si sawa.

2-Kitabu chochote hasa hivi vya kitaaluma hizo ngazi za kukipitisha kiende worldwide ni mtihani mkubwa, ..ndiyo maana ni kama havipo tu kama vipo basi ni vile vimeletwa kwenye LUGHA ya kiswahili kutoka kwenye Asili yake.

JIBU
Tatizo la vitabu si lugha ila mantiki iliyobebwa kuwa na ujumbe unaoihusu jamii na kwa kubeba ukweli husika. Vitabu vipo vya watu binafsi na taasisi zetu ila kwa kiasi kidogo.

3-Maabara zenu zote hata za TMDA laboratory kit's zinatoka kwa wenyewe hatuna Cha kwetu...aliyebuni mashine ndiye anajua majibu anayotaka .

JIBU
Suala ni kujua uhalisia wa kitu kama tuna wanasayansi na tunapata majibu hitajika bila shida. Hakuna nchi inatumia kila kitu cha kwake ila kuthibitisha inachokitumia kama kinafaa. Huwezi kuikataa mashine husika wakati hata kutengeneza njiti za kusafisha meno huwezi unaagiza China na miti unayo.

4-Ni kweli baba wa tiba duniani ni mwafrika hata mgiriki mwenyewe anakili Hilo kwamba alikuja kujifunza taaluma hiyo kemet (afrika) Lakini baada ya wao kuweka vitu Katika maandishi wakageuza wanavyotaka wao.

JIBU
Kweli na kweli kabisa, lakini haitupi nafasi ya kuvikataa isipokuwa kuchambua pumba na mchele.

5-Brother!!!! Sisi ni jamiii ambayo inao ujinga mwingi sana ,Tena ujinga wa kujitakia wenyewe ,ubinafsi na uwezo wa kuamini wengine Ili wathubutu ni zero..

JIBU
Kweli na kweli kabisa

6-Niambie sisi tunamiliki tafiti ipi na gunduzi ipi Katika sekta ya Afya. Kama siyo vyote tunasoma rejea za wazungu.

JIBU
Rejea kwenye vituo husika vya tafiti kuna mengi yanayofahamika ila yanakosa uendelezaji au yanachukuliwa na kwenda kuendelezwa nje kwa watu kununua umiliki toka Afrka kwa sababu ya maarifa yetu finyu na kukosa utayari. Pia wao wako tayari kumthamini mtafiti na kumnunua hata kumpa uraia.

Unajua mti unaotengeneza dawa ya.malaria ambayo tunauziwa bei kubwa upo hapa nchini kwetu?

Unajua kuna vidonge vya miti shamba, lishe nk. vinazalishwa kwa sasa, je vimeenda WHO?

Tatizo ni sisi kwa sisi.

7-Wakuu wa vyuo wako too political, huwezi kutegemea udadisi na utashi wake UENDE kinyume na takwa la mamlaka zilizopo Hilo Halipo kama litakuja basi kwa kuchelewa sana..

JUBU
Tatizo si vyuo vyetu, ila tumeanza kudumaza watoto wetu/kizazi tangu ngazi ya familia.

Baba na mama mko tayari kupokea maswali ya watoto wetu na kuyajibu au kuyatafutia majibu?

Mwalimu wa chekechea, shule ya msingi, sekondari wako tayari kwa maswali yatokanayo na hali halisi?

Viongozi wa jamii na siasa tuko tayari kwa maswali?

Watoa huduma tuko tayari kwa maswali?

Tumeweka mifumo fikirishi huko kote wanakopitia watoto wetu kabla ya vyuo? Tunaiwezesha mifumo husika kufanya kazi?

Tunadumaza vizazi vyetu wenyewe, huku kwingine ni alipoangukia mtu si alipoteleza.

NB: Hapa tunabaki na wajibu wa kutimiza kila mmoja wetu.

Otherwise umejibu vizuri sana ,naendelea kujifunza kitu...I do respect Doctors na sekta yote ya Afya..japo kazi ya kufanya Bado ni kubwa mno
 
Ni nashukuru Mungu Nina miaka 9 sijawahi kulazwa hospitali
1.kitu nitakachoweza kuchangia ni kuwa "vyakula tunavyokula ndo vita determine ni kiasi gani miili yetu itakua strong immunity
Mimi ni muumini wa vyakula vya asili sana
a. Si muumini wa vyakula vyenye mafuta mengi, chumvi nyingi wala sukari nyingi(average)
b. Na hakikisha vyakula navyokula na familia yangu lazima mboga ya majani iwepo
C. NO soft drink no alcohol usipokuwa maji tu (maji safi na salama)

3.Lakini pia mazoezi ya kawaida tu kwenda shambani kufanya vikazi vidogo

4.natembea miles 100000 Kila siku

Nimewahi kuugua vidonda vya tumbo nikawa natumia dawa za hospital zikawa zinanipa side effect ya macho (basi nikaacha dozi Ile nikaamia kwenye mboga moja inaitwa mnafu (ni mboga ya yenye fibres) nilishangaa baada ya mwez kupona kabsa hapo nilikua sili citric acid yoyote ile(vitu vyenye gas na vyenye uchachu)


Mwisho,niseme tu kwamba tunazibeza mitishamba lakini utakuja kugundua miongoni mwetu wengi tumekuzwa na mitishamba kwa namna moja hadi nyingine especially miaka ya 2010 kurudi nyuma

Kuna haja, sana ya kuwa shika mikono wa tengeneza dawa za nyumbani kwa kuziboresha na kuzipa hadhi
 
Nimejaribu kuelewa lakini imeshindiksna, Kwanini unakosoa vitu sahih?
Mambo ndivyo yalivyo kuna mambo hayahitaji uAfriks wala Uzalendo wala Utamaduni hapa tunafuata mifumo iliyofanikiwa basi tunacopy na kumodify.
Afya sio ya kuchanganya na Siasa za Ukoloni
 
Hata hivyo kufanya utafiti kiafrika ni kazi sana hasa na waganga wa jadi.

Kuna uoga na kutoaminiana kwamba ataniibia huyu........ tafiti ni kushirikishana taarifa na uganga ni sirisiri hapo ndio mtanange ulipo.

Anyway tutafika tu
 
Nimejaribu kuelewa lakini imeshindiksna, Kwanini unakosoa vitu sahih?
Mambo ndivyo yalivyo kuna mambo hayahitaji uAfriks wala Uzalendo wala Utamaduni hapa tunafuata mifumo iliyofanikiwa basi tunacopy na kumodify.
Afya sio ya kuchanganya na Siasa za Ukoloni
mtoa mada ana hoji usalama na nia ovu ya mabepari kujinufaisha au kufanya biashara kupitia mtaji wa magonjwa,pia ana hoji madhara ya madawa na chanjo
 

Attachments

  • images - 2024-11-01T113118.222.jpeg
    images - 2024-11-01T113118.222.jpeg
    11.4 KB · Views: 5
1-Unafanya tafiti wewe Lakini Ili tafiti hiyo ikubalike lazima ipitishwe na tasisi za wazungu...is this correct?

JIBU
Si kweli, tafiti zetu zinasimamiwa na taasisi za ndani na kufuatiliwa kwa karibu sana jambo la msingi ni kukidhi vigezo. Utakapotaka kupeleka tiba yako au utaalamu wako nje ya mipaka ndo utahitaji wenzio kujihakikishia. Tafiti vs tafiti.

Mfano:
Tiba ya fangusi au viluilui wanaokula mazalia ya mbu kinachohitajika ni kukidhi viwango vilivyowekwa katika kubuni vs kuendelea vs kuzalisja vs madhala kwenye mazingira na afya za viumbe wengine nk.

Ukiwaza kwa ndani, hata serikali yako ni descendent/inamulikwa toka juu na wengine toka juu yake/mnyororo mrefu. Hata wewe kwenye familia kuna mambo hauko huru kujifanyia, kuna wakubwa watakuita kwenye familia kukwambia hili siyo usifanye hili jieleze tuone ni sawa au si sawa.

2-Kitabu chochote hasa hivi vya kitaaluma hizo ngazi za kukipitisha kiende worldwide ni mtihani mkubwa, ..ndiyo maana ni kama havipo tu kama vipo basi ni vile vimeletwa kwenye LUGHA ya kiswahili kutoka kwenye Asili yake.

JIBU
Tatizo la vitabu si lugha ila mantiki iliyobebwa kuwa na ujumbe unaoihusu jamii na kwa kubeba ukweli husika. Vitabu vipo vya watu binafai na taasisi zetu ila kwa kiasi kidogo.

3-Maabara zenu zote hata za TMDA laboratory kit's zinatoka kwa wenyewe hatuna Cha kwetu...aliyebuni mashine ndiye anajua majibu anayotaka .

JIBU
Suala ni kujua uhalisia wa kitu kama tuna wanasansi na tunapata majibu hitajika bila shida. Hakuna nchi inatumia kila kitu cha kwake ila kuthibitisha inachokitumia kama kinafaa. Huwezi kuikataa mashi husika wakati jata kutengeneza njiti za kusafisha.meno huwezi unaagiza china na miti unayo.

4-Ni kweli baba wa tiba duniani ni mwafrika hata mgiriki mwenyewe anakili Hilo kwamba alikuja kujifunza taaluma hiyo kemet (afrika) Lakini baada ya wao kuweka vitu Katika maandishi wakageuza wanavyotaka wao.

JIBU
Kweli na kweli kabisa, lakini haitupi nafasi ya kuvikataa isipokuwa kuchambua pumba na mchele.

5-Brother!!!! Sisi ni jamiii ambayo inao ujinga mwingi sana ,Tena ujinga wa kujitakia wenyewe ,ubinafsi na uwezo wa kuamini wengine Ili wathubutu ni zero..

JIBU
Kweli na kweli kabisa

6-Niambie sisi tunamiliki tafiti ipi na gunduzi ipi Katika sekta ya Afya. Kama siyo vyote tunasoma rejea za wazungu.

JIBU
Rejea kwenye vituo husika vya tafiti kuna mengi yanayofahamika ila yanakosa uendelezaji au yanachukuliwa na kwenda kuenendelezwa nje kwa watu kununua umiliki toka Afrka kwa sababu ya maarifa yetu finyu na kukosa utayari.

Unajua mti unaotengeneza dawa ya.malaria ambayo tunauziwa bei kubwa upo hapa nchini kwetu?

Unajua kuna vidonge vya miti shamba vinazalishwa kwa sasa, je vimeenda WHO?

Tatizo ni sisi kwa sisi.

7-Wakuu wa vyuo wako too political, huwezi kutegemea udadisi na utashi wake UENDE kinyume na takwa la mamlaka zilizopo Hilo Halipo kama litakuja basi kwa kuchelewa sana..

JUBU
Tatizo si vyuo vyetu, ila tumeanza kudumaza watoto wetu/kizazi tangu ngazi ya familia.

Baba na mama mko tayari kupokea maswali ya watoto wetu na kuyajibu au kuyatafutia majibu? Mwalimu wa chekechea, shule ya msingi, sekondari wako tayari kwa maswali yatokanayo na hali halisi? Viongizi wa jamii na siasa tuko tayari kwa maswali? Watoa huduma tuko tayari kwa maswali?

Tunadumaza vizazi vyetu wenyewe, huku kwingine na alipoangukia mtu si alipoteleza.

NB: Hapa tunabaki na wajibu wa kutimiza kila mmoja wetu.

Otherwise umejibu vizuri sana ,naendelea kujifunza kitu...I do respect Doctors na sekta yote ya Afya..japo kazi ya kufanya Bado ni kubwa mno
Hongera sana!!! Nimependa unavyojibu hoja za muanzishaji wa mjadara huu. Pia nampongeza mleta mada kwa uwezo wake mzuri wa kufikiri!!
 
Back
Top Bottom