Madhara gani yaliyosababishwa na dawa gani mwaka gani?mtoa mada ana hoji usalama na nia ovu au ya mabepari kujinufaisha kufanya biashara kupitia mtajibwa magonjwa,pia ana hoji madhara ya madawa na chanjo
mtoa mada atatujibu kwa TAFITI ndio nilichomwambia ana hoja ila aisapoti kwa TAFITI ,TAFITI HUPINGWA NA TAFITI,mana hawa wanaozalisha hizi dawa wamefanya tafiti zilizothibitishwa na mamlaka.Madhara gani yaliyosababishwa na dawa gani mwaka gani?
Issue ya kujinufaisha ndivyo nature ilivyo utafanikiwa kwa unachojua na unachokifanya.
Tupate media house zenye uhuru wa kusema mawazo haya bila kuogopa Lakini pasipo kuvunja Sheria za nchi .Ni nashukuru Mungu Nina miaka 9 sijawahi kulazwa hospitali
1.kitu nitakachoweza kuchangia ni kuwa "vyakula tunavyokula ndo vita determine ni kiasi gani miili yetu itakua strong immunity
Mimi ni muumini wa vyakula vya asili sana
a. Si muumini wa vyakula vyenye mafuta mengi, chumvi nyingi wala sukari nyingi(average)
b. Na hakikisha vyakula navyokula na familia yangu lazima mboga ya majani iwepo
C. NO soft drink no alcohol usipokuwa maji tu (maji safi na salama)
3.Lakini pia mazoezi ya kawaida tu kwenda shambani kufanya vikazi vidogo
4.natembea miles 100000 Kila siku
Nimewahi kuugua vidonda vya tumbo nikawa natumia dawa za hospital zikawa zinanipa side effect ya macho (basi nikaacha dozi Ile nikaamia kwenye mboga moja inaitwa mnafu (ni mboga ya yenye fibres) nilishangaa baada ya mwez kupona kabsa hapo nilikua sili citric acid yoyote ile(vitu vyenye gas na vyenye uchachu)
Mwisho,niseme tu kwamba tunazibeza mitishamba lakini utakuja kugundua miongoni mwetu wengi tumekuzwa na mitishamba kwa namna moja hadi nyingine especially miaka ya 2010 kurudi nyuma
Kuna haja, sana ya kuwa shika mikono wa tengeneza dawa za nyumbani kwa kuziboresha na kuzipa hadhi
Hapa ndipo tulipojikwaa kabisa sisi waafrika.. Tafiti ni muhimu Lakini am pretty sure chochote ambacho kinagusa maslahi ya mzungu (mifumo) lazima wakizime na kukiondoa kabisa.mtoa mada atatujibu kwa TAFITI ndio nilichomwambia ana hoja ila aisapoti kwa TAFITI ,TAFITI HUPINGWA NA TAFITI,mana hawa wanaozalisha hizi dawa wamefanya tafiti zilizothibitishwa na mamlaka.
Pia zipo baadhi ya dawa ziliondolewa baada yabtafiti kufanyika zikaonekana zina madhara kuliko faida.
Kwa Mara ya kwanza Naunga Mkono Hoja Ambayo ipo Kinzani na Fani yangu..Nawasalimu ndugu zangu! Nimejiwazisha tu kwa sauti.
NJOO NA MAWAZO YAKO KAMA MENGINE HUKUBALIANI NAYO. I stand to be corrected
Daktari ANATIBU nini kama mwenyewe na jamii yake HAJAJISOMA? why nimewaza hivi.. Kuna mahala pakubwa sana sisi kama waarifka tumekuwa corrupted 100% na mifumo ya kikoloni.
1-Education system - Elimu yetu ni Elimu ambayo Iko based na tafiti, nakubaliana na Hilo. Je nani alifanya tafiti? Alifanya kwa Nia Gani? Matokeo ya tafiti hiyo Yako wazi? Nani mmiliki wa hiyo tafiti?
Fani ya udaktari ni fani nyeti sana, Lakini ndiyo fani pekee inayofanya biashara na UHAI wa watu, maskini hata madaktari wetu hawajui kama Wanafanya biashara na maisha ya watu, why? Come
2-Vitabu vyote na vifaa tiba vyote, dawa zote na vibari vya ubora vinatolewa na wazungu, shirika la afya duniani na mashirikisho ya wazalishaji wa dawa duniani hao ndiyo mabigi wa kuamua ufe lini na ufeje.
Sasa tunao matabibu wetu ambao hata KUJIJUA wao ni akina nani wanategemea formula ya mzungu, je mzungu na sisi watu weusi tumeumbwa sawa? Tupo sawa kijenetiki? Jibu ni hapana.
Kama ni hivyo itakuwaje kanuni ya aina moja ifanye kazi kote? Huu ni uhuni kama uhuni Mwingine tu.
Nachofahamu ni kwamba pharmaceutical industry na food industry duniani ndiyo sekta zenye nguvu kuliko Dini na serikali zote duniani, wao ndiyo wanaamua wapunguze watu kiasi Gani kwa style Gani maana wao ndiyo wanaomiliki research zote kubwa duniani. Hakuna serikali yenye uwezo wa kubishana nao.
MATABIBU WETU: Wajitutumue kidogo na kufuata wale wazee wa zamani wawape Siri za kwanini wao waliishi na walifanikiwa Katika mambo yote ya Afya? Then hizo taarifa zipewe ulinzi na serikali bila kujali hao wazungu na mashirika Yao yatasemaje maana sisi nasi ni watu huru.
Hakuna dawa isiyotokana na mimea au masalia ya viumbe hai wa majini au ardhini, hakuna ugonjwa ambao siyo mapungufu ya madini ,vitamini , protein , je hayo mapungufu si zamani mpka sasa yanapatikana Katika matunda, nafaka, magome ya miti,viungo na mizizi? Why matabibu wetu hawawezi kusema kwa sauti.
UJINGA WETU NDIYO BIASHARA YAO, WHO FEED YOUR STOMACH CONTROL DECISIONS
Hili letu sote ndugu yangu.. kesho yetu siyo Bora kabisa. Tumewekwa kwenye carge moja nzito sana.Hongera sana!!! Nimependa unavyojibu hoja za muanzishaji wa mjadara huu. Pia nampongeza mleta mada kwa uwezo wake mzuri wa kufikiri!!
Wewe ndiye mjinga kwa kuzidiwa na msongo wa mawazo na husda!Nawasalimu ndugu zangu! Nimejiwazisha tu kwa sauti.
NJOO NA MAWAZO YAKO KAMA MENGINE HUKUBALIANI NAYO. I stand to be corrected
Daktari ANATIBU nini kama mwenyewe na jamii yake HAJAJISOMA? why nimewaza hivi.. Kuna mahala pakubwa sana sisi kama waarifka tumekuwa corrupted 100% na mifumo ya kikoloni.
1-Education system - Elimu yetu ni Elimu ambayo Iko based na tafiti, nakubaliana na Hilo. Je nani alifanya tafiti? Alifanya kwa Nia Gani? Matokeo ya tafiti hiyo Yako wazi? Nani mmiliki wa hiyo tafiti?
Fani ya udaktari ni fani nyeti sana, Lakini ndiyo fani pekee inayofanya biashara na UHAI wa watu, maskini hata madaktari wetu hawajui kama Wanafanya biashara na maisha ya watu, why? Come
2-Vitabu vyote na vifaa tiba vyote, dawa zote na vibari vya ubora vinatolewa na wazungu, shirika la afya duniani na mashirikisho ya wazalishaji wa dawa duniani hao ndiyo mabigi wa kuamua ufe lini na ufeje.
Sasa tunao matabibu wetu ambao hata KUJIJUA wao ni akina nani wanategemea formula ya mzungu, je mzungu na sisi watu weusi tumeumbwa sawa? Tupo sawa kijenetiki? Jibu ni hapana.
Kama ni hivyo itakuwaje kanuni ya aina moja ifanye kazi kote? Huu ni uhuni kama uhuni Mwingine tu.
Nachofahamu ni kwamba pharmaceutical industry na food industry duniani ndiyo sekta zenye nguvu kuliko Dini na serikali zote duniani, wao ndiyo wanaamua wapunguze watu kiasi Gani kwa style Gani maana wao ndiyo wanaomiliki research zote kubwa duniani. Hakuna serikali yenye uwezo wa kubishana nao.
MATABIBU WETU: Wajitutumue kidogo na kufuata wale wazee wa zamani wawape Siri za kwanini wao waliishi na walifanikiwa Katika mambo yote ya Afya? Then hizo taarifa zipewe ulinzi na serikali bila kujali hao wazungu na mashirika Yao yatasemaje maana sisi nasi ni watu huru.
Hakuna dawa isiyotokana na mimea au masalia ya viumbe hai wa majini au ardhini, hakuna ugonjwa ambao siyo mapungufu ya madini ,vitamini , protein , je hayo mapungufu si zamani mpka sasa yanapatikana Katika matunda, nafaka, magome ya miti,viungo na mizizi? Why matabibu wetu hawawezi kusema kwa sauti.
UJINGA WETU NDIYO BIASHARA YAO, WHO FEED YOUR STOMACH CONTROL DECISIONS
Hakuna race inayojitegemea hapa duniani kwa hiyo hoja zako ni mfu! Hivyo kubeza technologies ambazo uvumbuzi wake umefanywa na wote ni ujuha eti tu kwa sababu hazina base Africa. Lakini lazima ukiri siasa na tawala zetu ni kikwazo katika kujenga base ya technology!Te te te te ...Ujinga upo kwa Kila mwenye mwili, tofauti ni viwango tu na ujinga wako upo Katika taarifa zipi.
Ulipo na maarifa napo share na wenzako huo ndiyo UPENDO
Hujaelewa kumbe content.....sijabeza mahala popote technology Wala matabibu wetu.... Hoja ya msingi ni moja tu "Usalama wetu upo mikononi mwa watu" as matabibu wetu wapo they can do something.Hakuna race inayojitegemea hapa duniani kwa hiyo hoja zako ni mfu! Hivyo kubeza technologies ambazo uvumbuzi wake umefanywa na wote ni ujuha eti tu kwa sababu hazina base Africa. Lakini lazima ukiri siasa na tawala zetu ni kikwazo katika kujenga base ya technology!
Huyu yeye kakurupuka tu! Ni kama anafoka tu bila utulivu!Hujaelewa kumbe content.....sijabeza mahala popote technology Wala matabibu wetu.... Hoja ya msingi ni moja tu "Usalama wetu upo mikononi mwa watu" as matabibu wetu wapo they can do something.
Habari za mashirikiano, huenda siyo muumini mzuri wa history...sisi waafrika hatushirikiani na wao sisi ni nyenzo zao
They can't do anything due to our politics na lack of proper technology and development policies! Tunahitaji kuwa na viongozi wenye utulivu wa fikra na dira ya maendeleo na siyo hawa wanaowaza kujineemesha. Hoja ya kijadiliwa ni je tutawapataje na kwa utaratibu gani? Kwa sasa maumivu ni makubwa!Hujaelewa kumbe content.....sijabeza mahala popote technology Wala matabibu wetu.... Hoja ya msingi ni moja tu "Usalama wetu upo mikononi mwa watu" as matabibu wetu wapo they can do something.
Habari za mashirikiano, huenda siyo muumini mzuri wa history...sisi waafrika hatushirikiani na wao sisi ni nyenzo zao
I have a book called "lawama pango la umaskini wetu" wrote by me 2017...They can't do anything due to our politics na lack of proper technology and development policies! Tunahitaji kuwa na viongozi wenye utulivu wa fikra na dira ya maendeleo na siyo hawa wanaowaza kujineemesha. Hoja ya kijadiliwa ni je tutawapataje na kwa utaratibu gani? Kwa sasa maumivu ni makubwa!
You can't be a change while majority are ignorant! Serikali zinafundisha propaganda za kijinga na kuwajenga hofu wananchi iliwaogope kukemea ufisadi wao! Umaskini unajengwa na serikali ili wananchi waendelee kuwa wategemezi halafu unashangaa kukosekana kwa tafiti za kisayansi na ubobevu wa wataalam.I have a book called "lawama pango la umaskini wetu" wrote by me 2017...
The only way we can win this game acha kulaumu SIASA na wanasiasa BE A CHANGE