Ubungoubungo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2008
- 2,502
- 741
kuna kipindi cha wanawake laivu niliona siku moja, kuna ushuhuda wa mama mmoja alihojiwa hadi kiria akatoa mchozi.....kwa wale walioona na kusikia watakumbuka hili, ndo nilijiuliza hawa madoctor mbona hawana huruma?...mama mjamzito hadi alifikia kupata fistula, hadi leo hii, kwasababu ya laki moja na nusu. maelezo yalikuwa hivi....
1. MAMA alikuwa mjamzito, akaenda muhimbili, alipofika doctor akampima akasema kuwa asubiri kidogo mtoto ashuke.
2. mama alipoona mtoto ameshuka akamwita doctor na nesi, lakini walipokuja uchungu ukawa umepungua, si unajua uchungu huwa unakuja na kuondoka wakati mwingine.
3. ikafika kipindi doctor akamwambia mama aende nyumbani tu kwasababu uchungu wake hata zaa leo, au labda alete laki moja na nusu ili amzalishe...that means kulikuwa na possibility kuzalishwa laini si kwa mkono mtupu, laki na nusu.
4. mama alikuwa hana pesa hiyo, laki na nusu, ikabidi aondoke tu aende home. alipofika kwenye daladala, uchungu ukamkamata tena, akajifungua mle kwenye daladala..sijui yalikuwa magari ya mbagala siju wapi..nimesahau.
5. maisha yakaendelea, lakini kuanzia siku hiyo, wakilala tu bila kujijua mama alikuwa anastukia godoro limelowa. akikaa akisimama anakuta kiti kimelowa mkojo...mwanzo alikuwa hajui, alipoenda hospitali akakutwa amepata fistula, tena si ya kibofu cha mkojo tu, ni kwamba hadi ya rectum...utumbo mpana umechanika pamoja na kibofu hivyo kinnyesi pia kinatokea kwenye vvagina pamoja na mkojo mfululizo.
6. sijui ni kwasababu gani, yule mtoto alikaa miezi kadhaa akafariki, labda kutokana na kukosa huduma nzuri siku ile anajifungua mabarabarani mbele za watu na kwenye daladala. akawa amepoteza mtoto aliye mzaa kwa shida ya kukosa laki na nusu, na laki na nusu ikawa imemsababisia apate fistula ya haja kubwa na kibofu. hadi leo hii bado anaumwa fistula, na mtoto alishakufa.
7. hii ndo hali halisi, laivu bila chenga ya wanawake wetu wanapoenda huko hospitali.
8. kiria alienda hadi kwa doctor kumhoji, doctor alimwambia kuwa amemsahau yule mama hamkumbuki, mama kang'ang'ania kuwa "doctor umenisahau wakati uliniomba laki na nusu na kunirudisha home kwasababu sikuwa nayo?...wanabishana, doctor amemruka na akasema kama alikosea pengine ilikuwa kwasababu ya uchovu au ni makosa ambayo mwanadamu yeyote anaweza kuyafanya bila kukusudia ila hakumwomba laki na nusu.
9. nesi anaulizwa anasema, yap, alitakiwa ajitahidi, mkono mtupu haulambwi au la angeenda hospitali za kulipia huko, hakuna vya bure siku hizi, mbona mkienda hospitali za binafsi mnatoa hela nyingi hata iyo laki na nusu ndogo? nesi alifunguka ajabu hadi nilijiuliza alikuwa haoni kamera?
WHAT DO YOU THINK ABOUT THIS, na hawa ndo watu wanaoogoma na kutelekeza watu wafe, kumbe rushwa wanapokea sana na madawa yetu wanaiba sana...think about it, angekuwa ndo mke wako ingekuwaje? ungejisikiaje? utu wa mwanamke uko wapi hapa, hivi hata kama jamani wamekasirishwa ndo wafanye hivi kwa wamama wajawazito ambao wako nusu kuishi nusu kifi? kwani hata madoctor hawakuzaliwa na mwanamke? hawa jamaa ..duh...
1. MAMA alikuwa mjamzito, akaenda muhimbili, alipofika doctor akampima akasema kuwa asubiri kidogo mtoto ashuke.
2. mama alipoona mtoto ameshuka akamwita doctor na nesi, lakini walipokuja uchungu ukawa umepungua, si unajua uchungu huwa unakuja na kuondoka wakati mwingine.
3. ikafika kipindi doctor akamwambia mama aende nyumbani tu kwasababu uchungu wake hata zaa leo, au labda alete laki moja na nusu ili amzalishe...that means kulikuwa na possibility kuzalishwa laini si kwa mkono mtupu, laki na nusu.
4. mama alikuwa hana pesa hiyo, laki na nusu, ikabidi aondoke tu aende home. alipofika kwenye daladala, uchungu ukamkamata tena, akajifungua mle kwenye daladala..sijui yalikuwa magari ya mbagala siju wapi..nimesahau.
5. maisha yakaendelea, lakini kuanzia siku hiyo, wakilala tu bila kujijua mama alikuwa anastukia godoro limelowa. akikaa akisimama anakuta kiti kimelowa mkojo...mwanzo alikuwa hajui, alipoenda hospitali akakutwa amepata fistula, tena si ya kibofu cha mkojo tu, ni kwamba hadi ya rectum...utumbo mpana umechanika pamoja na kibofu hivyo kinnyesi pia kinatokea kwenye vvagina pamoja na mkojo mfululizo.
6. sijui ni kwasababu gani, yule mtoto alikaa miezi kadhaa akafariki, labda kutokana na kukosa huduma nzuri siku ile anajifungua mabarabarani mbele za watu na kwenye daladala. akawa amepoteza mtoto aliye mzaa kwa shida ya kukosa laki na nusu, na laki na nusu ikawa imemsababisia apate fistula ya haja kubwa na kibofu. hadi leo hii bado anaumwa fistula, na mtoto alishakufa.
7. hii ndo hali halisi, laivu bila chenga ya wanawake wetu wanapoenda huko hospitali.
8. kiria alienda hadi kwa doctor kumhoji, doctor alimwambia kuwa amemsahau yule mama hamkumbuki, mama kang'ang'ania kuwa "doctor umenisahau wakati uliniomba laki na nusu na kunirudisha home kwasababu sikuwa nayo?...wanabishana, doctor amemruka na akasema kama alikosea pengine ilikuwa kwasababu ya uchovu au ni makosa ambayo mwanadamu yeyote anaweza kuyafanya bila kukusudia ila hakumwomba laki na nusu.
9. nesi anaulizwa anasema, yap, alitakiwa ajitahidi, mkono mtupu haulambwi au la angeenda hospitali za kulipia huko, hakuna vya bure siku hizi, mbona mkienda hospitali za binafsi mnatoa hela nyingi hata iyo laki na nusu ndogo? nesi alifunguka ajabu hadi nilijiuliza alikuwa haoni kamera?
WHAT DO YOU THINK ABOUT THIS, na hawa ndo watu wanaoogoma na kutelekeza watu wafe, kumbe rushwa wanapokea sana na madawa yetu wanaiba sana...think about it, angekuwa ndo mke wako ingekuwaje? ungejisikiaje? utu wa mwanamke uko wapi hapa, hivi hata kama jamani wamekasirishwa ndo wafanye hivi kwa wamama wajawazito ambao wako nusu kuishi nusu kifi? kwani hata madoctor hawakuzaliwa na mwanamke? hawa jamaa ..duh...