DAKTARI AOMBA RUSHWA LAKI NA NUSU, wanawake laivu...


kanga na kofia alipokea vimeshachakaa unakataa nini, we msemaji wake?
 

utu ni nini?, wewe acha kutupotosha, tatizo lako unaangalia jirani sana, katika issue ya mishahara unakosea unapoangalia btn walimu, manesi,madaktari na watumishi wa kawaida wa umma,..laiti kama mshahara wanaojigawia mashirika makubwa ya umma kama TRA,TANESCO,TANAPA, BOT, Na wizara zote ungezidiana kwa kiasi kidogo kidogo na madaktari hawangekuja kulalamika wala kufanya migomo, haiwezekani waziri anapewa mil. 10 afu mwalimu anapewa laki 3 na dk anapew lak 7 cjui 9...huo ni uhuni...system ipo corrupt sana..sasa wenye akili wanagoma wenye akili afu waoga wanaumia,
 
watakaosoma comments zetu ndio watakaojaji nani ana ufahamu na nani alikimbia umande shule.

Mkuu Ubungoubungo, nitakuwa mtu wa ajabu kusubiri comments za watu "wakitujaji"...sidhani kama natafuta umaarufu, au kuwa judged etc..afterall hatujuani...okay, let's say "watujaji" then what? a trophy for it??am not interested in that unless you are!!!!

1.Ninachokisema unapotumia lugha ya kejeli na matusi hata huo ufahamu wako ninakuwa na mashaka nao, kwani as a great thinker sidhani hata kama ukiguswa namna gani kihisia unapaswa kujibu namna hiyo kwa comments zako hapo juu mkuu.

2. Ukiachana na matusi,kejeli na dharau umeongelea mambo mengi mfano incident ya mtu kupasuliwa vichwa na miguu, nk...lakini ingekuwa vizuri kufahamu kosa lilikuwa ni la nani na lilitokea..Then kuna suala la uwajibishwaji(Je ni sheria haikufuatwa?)..sasa kama watu waliwajibishwa kutokana na makosa yale ,mbona unarudiaha hilo suala kwa madaktari tena wakati uchunguzi ulifanyika kabla?!!!)

Kuna mengi umeongea katika comments zako ambayo si ya kweli mkuu wangu, and above all taking out of anger, so ninaposema kutokuwa na ufahamu, namaanisha ufahamu wa jambo KWA USAHIHI kabla ya ku-post, and not any other meaning you might interpret!
 

fulani , alishatoa kibari kwamba LIWALO NA LIWE. liwalo- KUPOKEA RUSHWA NA KUACHA WATU WAFE , na liwe-watu kufa na kutoa rushwa. wataalamu wa afya wanatii agizo la waziri mkuu.
 
fulani , alishatoa kibari kwamba LIWALO NA LIWE. liwalo- KUPOKEA RUSHWA NA KUACHA WATU WAFE , na liwe-watu kufa na kutoa rushwa. wataalamu wa afya wanatii agizo la waziri mkuu.
yap, watatii agizo unalolishabikia hata kwa dada zako na ndugu zako. jiandae kunukishwa mkojo masaa 24 ya watu wako wa karibu. ndo utajua nini nilikuwa naongea hapa. yaani hata tuongee hadi kesho, there is no justification kwamba kwasababu serikali imeshindwa kutoa vifaa na mishahara mizuri kwa madaktari basi wao wanalipiza hasira zao kwa wananchi ambao hata hawajui ugomvi wa madoctor na serikali ukoje, hata huo mshahara anaopata doctor kwa mwezi wao wanaweza kukaa zaidi ya miezi sita hawajapata iyo hela. mwogopeni hata MUNGU TU, roho ya mtu ni muhimu kuliko pesa na hayo marupurupu. bora mfanya jambo litakaloiumiza serikali lakini si jambo litakalowaumiza raia wema wasio hata na hatia, hata iyo kauli ya liwalo na liwe hawakuongea wao. nashindwa kuelewa, watu wanaoshabikia hiki kitu ni wa chama gai...hicho chama mtu wa akili yako atakachokuwa anatoka, kinaaibishwa sana kuwa na mtu kama wewe unayefikiri unakipigania kumbe unachafua jila lake. kukiwa na maslahi ya raia wa tz tuweke vyama pembeni tukemee maovu.
 
madokta wa tanzania hasa muhimbili wanataka wakianza kazi tu wame matajiri kupitia kwa wagonjwa masikini. sasa fikiria wewe dokta uko kwenye gari yako umewasha kiyoyozi . harafu yule mama mwenye fistula yupo kituo cha daladala anasuburi daladala aende hospital kwa tatizo ulilomsababishia
 

UHAI- ni KITU CHA MSINGI kabisa. Usichanganye UHAI NA SIASA kwani havichanganyiki. fulani kiongozi mashuhuri alitakiwa KUACHA KUTUMIA SIASA ili kukomesha watu fulani. napenda sana uhai LAKINI sipendi CHAMA FULANI kama navyo penda uhai.
 
kama wewe ulishawahi kufuga kuku..unajua kuku akiwa anaumwa mdondo? au akiwa anaharisha?...akili zake zinakuwa fupi kwelikweli. nachelea kukulinganisha wewe akili yako bora hata na ya kuku mgonjwa...umeongea nini sasa? kutopenda kwako ccm ndo justification ya kutoa roho za watu?...mwogopeni hata aliyewapa iyo kazi, asijekuichukua awape watu watakaowahudumia wananchi mkabaki walevi ombaomba vilabuni huko kama mlivyozoea kuiba madawa yetu kupeleka pharmacy na kunywa mipombe ovyo hadi mnapoteza fahamu kuamka mnakuta wenzenu wamewavua nguo za ndani na kuwaogesha uharo wa kilevi....mnawashukuru bila kujua kuwa mmeshapoteza ring....ndo maana madoctor wote walevi, tatizo lenu ndo hilo. hata ulimboka alitegewa mtego wake kwenye kilevi, kule bar, usiku ndo akanaswa, kwasababu akili zenu zimejaa ulevi na si utu.
 
Kinachosikitisha zaidi ni kuona kuna watanzania ambao hawana aibu kutetea unyama hadharani kabisa. Dhambi kama hizi kuzitetea ni kosa kubwa zaidi kuliko dhambi yenyewe...
 
KIUKWELI WHO na mashirika mengine ya afya yamesisitiza kua mimba sio ugonjwa na kusema akina mama wote wajifungue bure. Lakini ukiangalia kwa undani bado sera hiyo ngumu kutekelezwa katika nchi za africa. Hii nikutokana na uhaba wa vifaa na uhaba wa human resource kwa maternal health.
Mleta mada tuna shukuru kwa kutukumbusha wananchi kudai haki zetu za msingi. Japo ninashaka kuwa uchunguzi uliofanya haukuwa wa kina. Haikuelezwa kua laki na nusu iliombwa kwa nini. Navyo fahamu itakua kwa ajili ya kujifungua kwa njia ya upasuaji. Sasa sijui kama gharama ya kujifungua kwa upasuaji inafikia kiasi hicho.
Chamsingi hawa wahuskika wachukuliwe hatua...kama mama anachosema ni cha kweli.
Pole mama,usihofu utapata matibabu na kupona fistula.AMANI IWE NAWE
 
Kwa majibu anayotoa Ubungoubungo na wasi wasi sana na ufikiri wake, amepanic na anatoa matusi, jamani tusije kuwa tunasumbuana na form six leaver wa Perfect Vision ambaye anafungua Jf baada ya kuchezea Magame, hivi mods kwa nini msiweke kakipengere ka kuwajudge wanaojiunga Jf?..
 
Well kila mtu ataongea lake na kila mtu ana tabia yake.inawezekana hata wewe hupo ulipo unaomva rushwa.sisemi dr mwenzangu hakukosea kama mama kapata fistula that means kulikuwa na some signs of prolonged labour of which the doctor should have taken action but dont judge kwamba wote siye ni wala rushwa.
 
jambo ambalo mleta mada helewi ni kuwa hospital nyingi hakuna vifaa na dawa husika so inabid wajigarmie na ukipga mhesabu kama ni upasuaji si chini ya laki na kama kawaida yetu ccm imetudanganya huduma ni bure. mkiambiwa mkanunue vifaa mtasema ni rushwa..nch ya ks..ge hii.
 

form six leaver? kuna kitu gani cha kutoelewa hapa? ni kwamba rushwa iliombwa sio kwamba afanyiwe operation, ni rushwa yaani. hakuna asiyejua kuwa kuna subsidies kwenye hospitali wamama wajawazito wanahudumiwa bure, hata ukienda hizo za mission wanapata hiyo subsidy. kama labda ulikuwa hujaelewa ni kwamba iliombwa rushwa ya kawaida kabisa na wakati wa kipindi kiria alimfuata doctor na nesi akawahoji na doctor hakuongea chochote kuwa ilitakiwa amfanyie operation. kwa kifupi yule mama hakuhitaji uppasuaji ndo maana alijifungua hata kwenye daladala, ilikuwa ni roho mbaya tu ya doctor pale unapoombwa rushwa ukikataliwa unaamua kukomoa.sasa hayo mengine sijui yanaingiaje hapa.
 
kwa mama mjamzito hakuna vifaa gani? laki na nusu ingenunua mipira na nyembe? ndo kisingizio chenu kumbe mnachukua rushwa kwa wagonjwa, mtu anaumwa halafu bado unao ujasiri wa kumkamua....mbona wamama wote wakienda hospitali kujifungua huwa wanaenda na ivyo vifaa, si mnawambia kabisa wakija clinic, na wanakuja wamejiandaa vifaa vyote wanavyo....ya nini sasa muwaombe rushwa? mabwabwa nyie.
 
Huyu daktari aliyefanya hicho kitendo alikosea sana, thats obvious na sitamtetea just because am also a doctor.
Lakini jamani, frustrations ni nyingi sana mahospitalini kwetu....... akili inachoka sana, mtu unawaza mambo mengi, na ukute nyumbani hali ya kipesa ni ngumu, una overload ya wagonjwa, kodi ya nyumba unadaiwa,unawaza kutoka hapo uende hospitali ya wahindi kpiga part time though akili imechoka na unataka sana kupumzika........ Mimi huwa nasali kila siku Mungu aniongoze sana nisitolee frustrations zangu kwa wagonjwa because i know ni vibaya sana......
Narudia, siungi mkono alichokifanya daktari mwenzangu, pole sana mama aliefanyiwa kitendo hiki
 
Mswahili anapoapa usimuamini kwa hiyo hata huyo dokta kiapo chake cha hypcratic hakina maana kabisa na kama nguo ya kuvaa kwani unaweza kuivua wakatai wowote ule na ndiyo maana tunasikia baadhi ya madaktari siku hizi kubaka wagonjwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…