Daktari bingwa wa matatizo ya uzazi

mhisani

Member
Joined
Sep 30, 2015
Posts
58
Reaction score
4
Wakuu naomba kujua kama hospitali ya KCMC mkoani kilimanjaro ina daktari wa matatizo ya uzazi kwa wanaume msaada tafadhali.
 
Hawawezi kukosekana, wewe fika pale!!
 
Wanaume kwa kawaida huwa hawana daktari bingwa wa uzazi kwa sababu matatizo yao uzazi ni machache
1. Kukosa au kupungua kwa nguvu za kiume
2. Kutokutoa au kutoa kidogo mbegu za kiume
3. Magonjwa ya mfumo wa uzazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…