mhisani Member Joined Sep 30, 2015 Posts 58 Reaction score 4 Jun 3, 2016 #1 Wakuu naomba kujua kama hospitali ya KCMC mkoani kilimanjaro ina daktari wa matatizo ya uzazi kwa wanaume msaada tafadhali.
Wakuu naomba kujua kama hospitali ya KCMC mkoani kilimanjaro ina daktari wa matatizo ya uzazi kwa wanaume msaada tafadhali.
chakii JF-Expert Member Joined Sep 15, 2013 Posts 20,834 Reaction score 26,217 Jun 3, 2016 #2 Hawawezi kukosekana, wewe fika pale!!
MKWEPA KODI JF-Expert Member Joined Nov 28, 2015 Posts 28,701 Reaction score 71,056 Jun 3, 2016 #3 Wanaume kwa kawaida huwa hawana daktari bingwa wa uzazi kwa sababu matatizo yao uzazi ni machache 1. Kukosa au kupungua kwa nguvu za kiume 2. Kutokutoa au kutoa kidogo mbegu za kiume 3. Magonjwa ya mfumo wa uzazi
Wanaume kwa kawaida huwa hawana daktari bingwa wa uzazi kwa sababu matatizo yao uzazi ni machache 1. Kukosa au kupungua kwa nguvu za kiume 2. Kutokutoa au kutoa kidogo mbegu za kiume 3. Magonjwa ya mfumo wa uzazi
M MZEE RAZA JF-Expert Member Joined Feb 19, 2015 Posts 3,464 Reaction score 2,454 Jun 3, 2016 #4 mhisani said: Wakuu naomba kujua kama hospitali ya KCMC mkoani kilimanjaro ina daktari wa matatizo ya uzazi kwa wanaume msaada tafadhali. Click to expand... Mzizi mkavu njoo Kuna mgonjwa huku
mhisani said: Wakuu naomba kujua kama hospitali ya KCMC mkoani kilimanjaro ina daktari wa matatizo ya uzazi kwa wanaume msaada tafadhali. Click to expand... Mzizi mkavu njoo Kuna mgonjwa huku
A Asili ni Dawa na Ponyo Member Joined Apr 30, 2016 Posts 54 Reaction score 28 Jun 3, 2016 #5 Tuwasiliane 0712770729