Daktari bingwa wa wanawake kuhusu uzazi

Bin Chuma75

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2012
Posts
995
Reaction score
1,067
Wakuu habari, nahitaji kuonana Na dr bingwa wa wanawake kuhusu mambo ya uzazi, mwenye kujua wapi anapatikana au hospital gani tafadhalini msaada kwenu
 
Muone Dr Mwaka, amewasaidia wengi mkuu!
 
Wakuu habari, nahitaji kuonana Na dr bingwa wa wanawake kuhusu mambo ya uzazi, mwenye kujua wapi anapatikana au hospital gani tafadhalini msaada kwenu
KAMA U SERIOUS NICHEK UPANDE WA PILI NITAKUELEKEZA
 
NJOO HOSPITALI YA DCMC DODOMA UKUTANE NA PROFESA MAJINGE BINGWA WA MAGONJWA YA UZAZI KWA AKINA MAMA NA BABA
 
Njoo Dodoma HOSPITALI YA DCMC UKAMUONE Dokta bingwa PROFESA MAJINGE WENGI WAMEFANIKIWA akiwemo ndugu yangu mwenye umri wa miaka 52 amepata mtoto miezi mi 3iliyopita
 
nenda NTYUKA HOSPITALI UKUTANE NA PROF WA MAMBO HAYO KUMUONA ELFU 20 TU.!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…