Kwanini alimwacha akapata hilo tatizo wakati alikua na uwezo wakulizuia?
Mimi naona mnampa sifa za bure tu
Sent using Jamii Forums mobile app
AmeenFaith,
Ommy, be on guard, stand firm in the faith, be courageous, be strong God is in control.
Amen.Faith,
Ommy, be on guard, stand firm in the faith, be courageous, be strong God is in control.
Mie bado najiuliza hii sumu haijaathiri mfumo wa chakula kwa ujumla?Akili ya watanzania jamani, ndo wonder we are, the way we are, alafu tuko buzy kutafuta mchawi nani, wakati tunajiroga wenyewe. Hiyo sumu inayozungumziwa sio kwamba alipewa na mtu aliinywa kwenye kinywaji inawezekani alichanganya au alikunywa kinywaji ambacho kilimzuru kama aleji vile, sasa watu kusikia tu neno sumu loooh, hell break loose. khaaaaaaaaaa,ngachoka
Duuuh inaonekana huamini katika ukuu wa Mungu weweKwanini alimwacha akapata hilo tatizo wakati alikua na uwezo wakulizuia?
Mimi naona mnampa sifa za bure tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo bongo uchawi mwingi yaan wanaoneana wivu mbayaa.
Siunaona Darasa walivyomkosa ktk ajali, wamempata ktk madawa???
*I shall kindly Knee to leave my Pride*
Write your reply...huyo doctor hajitambui,kwanza hajui ilikuwa ni acid ama alkaline ina maana hajui hata kutofautisha sifa za hizi chemicali,halafu kwani liadhirike koo ambalo hupitisha kinywaji kwa sekunde chache na sio tumboni ambako kinywaji kinakaa?,hiyo alkalini ya kukwangua koo na kuleta usaha basi sio ya dunia hii kama mnywaji hakustuka wakati anakuja.mi nadhani chanzo cha tatizo silo alilosema doctor
Allah atamuafuDaktari wa Ommy Dimpoz amesema koo la Ommy Dimpoz bado linaendelea kutoa usaha tofauti na ilivyotegemewa. Siku ya leo Ommy Dimpoz alikwenda hospitali kwa ajili ya kutoa mrija aliowekewa lakini baada ya kumchunguza Daktari amekuta bado anatoa usaha hivyo watasubiri mpaka wiki ijayo ili wamtazamie zaidi
Awali ilikuwa kama angetolewa mrija leo basi angeruhusiwa kuondoka South Africa.
Aidha Daktari huyo ameeleza kuwa Ommy Dimpoz alikunywa kinywaji chenye sumu na sumu hiyo inaweza kuwa Alkaline au Acid
Sent using Jamii Forums mobile app
Wamemshindwa Ali KibaTatizo bongo uchawi mwingi yaan wanaoneana wivu mbayaa.
Siunaona Darasa walivyomkosa ktk ajali, wamempata ktk madawa???
*I shall kindly Knee to leave my Pride*
Hapangiwi la kufanya.Kwanini alimwacha akapata hilo tatizo wakati alikua na uwezo wakulizuia?
Mimi naona mnampa sifa za bure tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila kweli Ommy ni mtu wa starehe sanaila nae alikuwa anakula bata sana...vibinti kibao, mashauzi nini...sasa naona bata anamla yeye
Vinywaji vya kugongea na ofa ni hatari sanaDaktari wa Ommy Dimpoz amesema koo la Ommy Dimpoz bado linaendelea kutoa usaha tofauti na ilivyotegemewa. Siku ya leo Ommy Dimpoz alikwenda hospitali kwa ajili ya kutoa mrija aliowekewa lakini baada ya kumchunguza Daktari amekuta bado anatoa usaha hivyo watasubiri mpaka wiki ijayo ili wamtazamie zaidi
Awali ilikuwa kama angetolewa mrija leo basi angeruhusiwa kuondoka South Africa.
Aidha Daktari huyo ameeleza kuwa Ommy Dimpoz alikunywa kinywaji chenye sumu na sumu hiyo inaweza kuwa Alkaline au Acid
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini pia anahitaji ku reconcile na baba yake.... Ni muhimu sana hili....Faith,
Ommy, be on guard, stand firm in the faith, be courageous, be strong God is in control.
Tatz mnaamn kwamba wasanii wanalogana bila kujua muhusika alikuwa anaishi vp na watu wake wengine tofauti na walio kwenye tasnia ya muzikiTatizo bongo uchawi mwingi yaan wanaoneana wivu mbayaa.
Siunaona Darasa walivyomkosa ktk ajali, wamempata ktk madawa???
*I shall kindly Knee to leave my Pride*
Siku hutaamn umeisahau hiyo pakiti ndo utakutana na sumuNdomana mi natembea walau hata na pakti moja ya maziwa kwenye wallet. Huwezi jua sumu italetwa sangapi
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji2]kuna mtu anaitwa hamissa alisema jamaa ndo alikuwa wa kwanza kuonja Mofaya...
Ni kweli mkuu hata baba angetoa tamko ka kuondoa kinyongo ajue mtoto ni mgonjwaLakini pia anahitaji ku reconcile na baba yake.... Ni muhimu sana hili....
Jr[emoji769]