Daktari mstaafu toka Uganda auawa kinyama na marafiki zake Wakenya

Daktari mstaafu toka Uganda auawa kinyama na marafiki zake Wakenya

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617


MY TAKE; Baada ya maisha kuwa magumu, majirani wameamua kuwa makatili na wanyama. "Never trust a Kenyan"
 
Tangu lini Mkenya ana urafiki wa dhati, kuua kwao ni kama kunywa chai.
Kuna watanzania wafanyabiashara wa mazao/ mahindi na vitunguu waliuliwa Kenya na wafanyabiashara wa Kenya ambao walikua ni marafiki zao wa karibu Sana.
 
Too general blaming....! Give details.

There are a lot of inter marriages out there btn Kenyans,Ugandan,Tanzanian and other East and central African Countries.

We are blood Sisters and brothers..!
 
Back
Top Bottom