Daktari wa familia anatafutwa

Msongoru

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2008
Posts
306
Reaction score
24
Wanajukwaa! Salaam;
Kuna ndugu yangu yuko Dar anatafuta dakari wa familia. Akiwa wa hospitali za rufaa itakua bora zaidi ili aweze kusaidia habari za vipimo nk. Hana tatizo la kiafya kwa sasa ila anataka daktari wa karibu kwa ajili ya kupima afya mara kwa mara na kumshauri kwa ajili ya afya bora.

Kama upo humu au unamfahamu mmoja tafadhali ni PM.

Natanguliza shukrani;
 
Anatoa shilingi ngapi? anyway acha nikufuate PM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…