ulitumiaga aina gani ya vitamins?
Neurobion na Aina nyingine za vitamins Ila mara ya mwisho mwaka Jana nmetumia Aina nmetumia LYRICA au pregabalin.
kwa matatizo ya mgongo na miguu kuwaka moto. mara nyingi ukifanya kipimo cha MRI ya mgongo unaweza kugundua athari ambayo imetokea kwenye mgongo na kuleta dalili hizo.
hivyo basi nakushauri uonane na Daktari bingwa wa mifupa (orthopedic) au daktari bingwa wa mishipa ya fahamu (neurologist) wakuchunguze na wakuandikie ukafanye kipimo hicho cha MRI.
ni Vema kuanza na Madaktaru hao natumai tatizo lako litapatiwa ufumbuzi.
Usisahau kipimo hichoOrthopedic walishanifanyiaga uchunguzi . Labda sasa kwa ushauri wako niende kwa neurologist nimuombe anifanyie vipimo vya MRI. Nashukuru kwa ushauri. Ntaufanyia kazi
Nashukuru kwa ushauri . Hii number yako inapatikana WhatsAppkama ulipata nafuu kutumia dawa hizi. inaonesha utakuwa na shida ya mgongo ambayo ina athiri mishipa ya fahamu .
fanya kama nilivyojushauri kuhusu madaktari bingwa hao na kipimo.
ukiitaji msaada wa kuwapata wasiliana nami 0718 22 48 40
Orthopedic walishanifanyiaga uchunguzi . Labda sasa kwa ushauri wako niende kwa neurologist nimuombe anifanyie vipimo vya MRI. Nashukuru kwa ushauri. Ntaufanyia kazi
Nashukuru kwa ushauri . Hii number yako inapatikana WhatsApp
pole. neurologist sio kichwa peke yake. hata mishipa ya fahamu(neurons).Ok basi ntakutafuta tuwasiliane. Nilivyowaelezea manesi ndio wakanipeka kwa mtaalam wa orthopaedics. Akiangalia mpaka kwa X ray ikaonekena sina shida. Labda sasa ntawaomba wanipeleke kwa Neurologist. Kwasababu waliniambia neurologist anashughuka na matatizo ya ubongo na kichwa. Pia ntakutafuta tuwasiliane zaidi. Kuna wataalam wengi wa Tiba mbadala wanachukua vipimo kwa machine zao wameshanilia hela Sana .
Mi ni mtumishi na Bima ya afya ninayo . Ila kwa Tanzania MRI si mpaka hospital za Dar es salaam au muhimbili hospital tuu. Maanake hawa madaktari wa hospital za mikoani na wilayani. Tukienda huwa wanabadilisha dawa tuu. Nafikiri sasa itabidi nimtafute neurologist tuu anisaidue aisee. Ikishindikana kutumia Bima ntalipa hela cashpole. neurologist sio kichwa peke yake. hata mishipa ya fahamu(neurons).
pia x ray haionyeshi mishipa ya fahamu au misuli. au diski/kisahani kati kati ya pingili.
ukifanya kipimo hicho cha MRI kama kuna tatizo kwenye diski,pingili,misuli na mishipa ya fahamu litaonekana.
kama unasikiaga mwili kuwaka moto wote itabidi ufanye MRI ya uti wa mgongo wote. kama una BIMA ya afya itakuwa nafuu no extra cost.
Matatizo haya ya viungo unaweza kusaidiwa na madaktari wa mifupa(orthopedics,neurologist ,na physiotherapist) tatizo kwamba upatikanaji wao sio rahisi kutokana na uchache wao. na ndo maana nimeamua kuwaelimisha watu ili wasiendelee kudanganywa na kupoteza pesa zao kwa waganga
kweli kabisa. BIMA yako itakusaidia sana kupunguza gharama.Mi ni mtumishi na Bima ya afya ninayo . Ila kwa Tanzania MRI si mpaka hospital za Dar es salaam au muhimbili hospital tuu. Maanake hawa madaktari wa hospital za mikoani na wilayani. Tukienda huwa wanabadilisha dawa tuu. Nafikiri sasa itabidi nimtafute neurologist tuu anisaidue aisee. Ikishindikana kutumia Bima ntalipa hela cash
Huwa npo Mikoani Marakweli kabisa. BIMA yako itakusaidia sana kupunguza gharama.
upo mkoa gani
sijafahamu kama mara kuna huduma ya kipimo cha MRIHuwa npo Mikoani Mara
Mara haipo nafikiri hii huduma uhakika labda ni Dar es salaam au sijui kwa Bugando ya Mwanza kama Wana hii huduma. Nafikiri Dar es salaam ni uhakika zaidisijafahamu kama mara kuna huduma ya kipimo cha MRI
kweli.Mara haipo nafikiri hii huduma uhakika labda ni Dar es salaam au sijui kwa Bugando ya Mwanza kama Wana hii huduma. Nafikiri Dar es salaam ni uhakika zaidi
kweli.
Dr Kesho nategemea niende nikafanyiwe hicho kipimo. Dr sijawasiliana nae Ila najua hospital ninayoenda kuna hiki kipimo. Kwasababu Mimi nasikiaga mwili wote kuwaka moto ulishauri itabidi nifanye MRI ya uti wa mgongo wote. Kwasababu Tatizo lilianzia kwenye miguu baadae likaspread kwenye mgongo na baadae mwili mzima. Hii MRI watanifanyia kwenye Uti wa mgongo tuu. Au itabidi wanifanyie na kwenye miguu pia Tatizo lilikoanziapole. neurologist sio kichwa peke yake. hata mishipa ya fahamu(neurons).
pia x ray haionyeshi mishipa ya fahamu au misuli. au diski/kisahani kati kati ya pingili.
ukifanya kipimo hicho cha MRI kama kuna tatizo kwenye diski,pingili,misuli na mishipa ya fahamu litaonekana.
kama unasikiaga mwili kuwaka moto wote itabidi ufanye MRI ya uti wa mgongo wote. kama una BIMA ya afya itakuwa nafuu no extra cost.
Matatizo haya ya viungo unaweza kusaidiwa na madaktari wa mifupa(orthopedics,neurologist ,na physiotherapist) tatizo kwamba upatikanaji wao sio rahisi kutokana na uchache wao. na ndo maana nimeamua kuwaelimisha watu ili wasiendelee kudanganywa na kupoteza pesa zao kwa waganga