TANZIA Daktari wa klabu ya Simba, Yassin Gembe afariki dunia

TANZIA Daktari wa klabu ya Simba, Yassin Gembe afariki dunia

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
IMG_1134.jpg

Klabu ya Simba SC imetangaza kuwa Daktari wa Timu hiyo ambaye kwa sasa alikuwa Daktari wa timu ya vijana, Yassin Gembe amefariki dunia mchana wa leo katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.

Taarifa zaidi zitakujia.
 
Daaah mbona simba vifo vimeongozana vya vigogo?, juzi tu mzee Somo tumempumzisha kwenye nyumba yake ya milele, leo tena Daktari mkongwe naye ndo hivyo.

Poleni wanafamilia wote, wanachama , wapenzi wa Simba na wapenda soka wote Tanzania.

Bwana alitoa na Bwana ametwaa, jina la Bwana lihimidiwe.
 
Daaah mbona simba vifo vimeongozana vya vigogo?, juzi tu mzee Somo tumempumzisha kwenye nyumba yake ya milele, leo tena Daktari mkongwe naye ndo hivyo.

Poleni wanafamilia wote, wanachama , wapenzi wa Simba na wapenda soka wote Tanzania.

Bwana alitoa na Bwana ametwaa, jina la Bwana lihimidiwe.
Bado wewe
 
Daaah mbona simba vifo vimeongozana vya vigogo?, juzi tu mzee Somo tumempumzisha kwenye nyumba yake ya milele, leo tena Daktari mkongwe naye ndo hivyo.

Poleni wanafamilia wote, wanachama , wapenzi wa Simba na wapenda soka wote Tanzania.

Bwana alitoa na Bwana ametwaa, jina la Bwana lihimidiwe.
Dua ya ( Kisomo cha ) Wasaliti Simba SC imeshapigwa Kimya Kimya na Wasaliti waliombwa wawahi Kuomba Radhi kwani makubwa yanakuja. Naomba nisiendelee zaidi ya hapa tafadhali.
 
Dua ya ( Kisomo cha ) Wasaliti Simba SC imeshapigwa Kimya Kimya na Wasaliti waliombwa wawahi Kuomba Radhi kwani makubwa yanakuja. Naomba nisiendelee zaidi ya hapa tafadhali.
Ongezea kidogo maelezo kwa manufaa ya wakazi wa huko kwenu Masasi vijijini na Musoma.
 
Back
Top Bottom