Dada Cherrylicious mbona unacheza/dance sana huchoki?-ahaaaaaaaaaaha.
Nigeweza kukushauri kitu kama ningejua anaumwa nini,nakuomba usifanye mchezo na macho ya mtoto jitahidi hata kama ni gharama lakini ufuate na upate ushauri wa ma Dr.Bingwa usiwape watu kujaribia macho ya mtoto,
Rgds,
RE