Daktari wa masikio

mtotopendwa

Member
Joined
Feb 23, 2012
Posts
98
Reaction score
63
Habari zenu wanajamvi, naomba msaada kwa mtu anayefahamu daktari mzuri wa masikio. Nina mtoto wa miaka mitano lakini nimegundua uwezo wake wa kusikia unapungua jinsi anavyozidi kukua.
 
Habari zenu wanajamvi, naomba msaada kwa mtu anayefahamu daktari mzuri wa masikio. Nina mtoto wa miaka mitano lakini nimegundua uwezo wake wa kusikia unapungua jinsi anavyozidi kukua.

Salama nenda magomeni karibu na alipokua ansishi shekhe Yahaya mnajimu au shule ya msingi Karume mbele Kuna ghorofa limeandikwa EKENYWA SPECIALIZED HOSPITAL! ni wataalamu Wa masikio!
 
Habari zenu wanajamvi, naomba msaada kwa mtu anayefahamu daktari mzuri wa masikio. Nina mtoto wa miaka mitano lakini nimegundua uwezo wake wa kusikia unapungua jinsi anavyozidi kukua.

Mlete muhimbili hospitali
 
Nenda TMJ kwa Dr Kuzema.ni daktari bingwa wa masikio.pia unaweza kumpata CCBRT.ila ccbrt foleni kubwa,so unaweza kwenda TMJ halafu anaweza kukusaidia ukamuona CCBRT kwa haraka .mimi mwanangu alipata tatizo kubwa sana la sikio,nikaambiwa hatapona hadi aende nje kutibiwa.nikaelekezwa kwa huyu Dr,ameshapona .
 
Hata mimi nina tatizo la sikio kuchoma
Vipi hizo sehemu bado huduma zipo? Maana hii thread ya muda kidogo , no yangu 0716 282670
 
Sorry dear unaweza nisaidia contact maana meambiwa yupo likizo na mtoto anashida mno pleas
 
Pole sana Mkuu.

EKENYWA HOSPITAL, wana Madaktari bingwa wa Kutibu masikio.

Jaribu kuwacheki Mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…