Daktari wa mbwa

julisa

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2011
Posts
209
Reaction score
50
Habari wanajf

Nilikua nauliza kama kuna member anamfahamu daktari wa mbwa maeneo ya ukonga. Nikipata contact za huyo docta nitashukuru.
 
ninaowajua wapo namanga hospital ya mbwa kaulizie..
 
nenda ofisi ya Kata. wapo wawili
 
nenda ofisi ya Kata. wapo wawili

Hakuna Dkt wa mifugo wa level ya kata. Mpaka sasa wanaishia level ya wilaya, yaani District Veterinary Officer (DVO). Wapo wachache sana nchini kwa kuwa watu wanaogopa kusoma Bachelor of Veterinary Medicine (BVM) for 5 years pale SUA. Kwenye kata wapo maofisa mifugo wasaidizi wenye diploma za animal health & production.
 
Asanteni sana nimefanikiwa kumpata kupitia msaada wenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…