Wanajamvi mimi nilianza kufuga kuku wa kienyeji kwa ajili ya nyumbani tu sio kwa ajili ya biashara.
Lakini sasa ivi nimepata mwamko wa kubadilisha, yani nataka kufuga kwa ajili ya biashara.
Tatizo linakuja jinsi ya kuzuia magonjwa na vifo vya ghafla vya kuku. Ninahitaji msaada wa daktari wa mifugo ili nisiweze kupata hasara ya kuku.
Anayefahamu daktari wa mifugo maeneo ya Kigamboni naomba msaada tafadhali.
Lakini sasa ivi nimepata mwamko wa kubadilisha, yani nataka kufuga kwa ajili ya biashara.
Tatizo linakuja jinsi ya kuzuia magonjwa na vifo vya ghafla vya kuku. Ninahitaji msaada wa daktari wa mifugo ili nisiweze kupata hasara ya kuku.
Anayefahamu daktari wa mifugo maeneo ya Kigamboni naomba msaada tafadhali.