A
Anonymous
Guest
Leo asubuhi eneo la Nyerere square baada ya konda na dereva kutudanganya kuwa watapitia General Hospital. Huyo dada hapo pembeni na kaka wagonjwa, mimi nilikuwa naelekea Majengo na konda akaanza kunitishia kunipiga na dereva nae akaanza kuwa mkali.
Baada ya kuongea na dereva wa gari tulilofaulishwa akasema haya nanukuu "Kiukweli utaratibu wa kuishia square ni wa kwetu sisi siyo wa Serikali husika, tuliamua kufanya hivyo ili kukwepa lawama kwa abiria ambao wanashuka vituo ambavyo tukifuata utaratibu wa Serikali hatutapita vituo hivyo" mwisho wa kunukuu.
Naomba Serikali itoe utaratibu haraka iwezekanavyo na ikiwezekana wahusika wa gari hii wawe mfano ineniuma sana kuwadanganya wagonjwa kwamba watapita hospitali halafu na kuanza kuwafaulisha.
Kosa jingine gari imeandikwa Nkuhungu St Gemma ila imeenda Mipango kufuata nini?
Picha hizi ni screenshot za video. Namba hizo ni za gari husika na huyo mwenye shati la draft ni konda
Baada ya kuongea na dereva wa gari tulilofaulishwa akasema haya nanukuu "Kiukweli utaratibu wa kuishia square ni wa kwetu sisi siyo wa Serikali husika, tuliamua kufanya hivyo ili kukwepa lawama kwa abiria ambao wanashuka vituo ambavyo tukifuata utaratibu wa Serikali hatutapita vituo hivyo" mwisho wa kunukuu.
Naomba Serikali itoe utaratibu haraka iwezekanavyo na ikiwezekana wahusika wa gari hii wawe mfano ineniuma sana kuwadanganya wagonjwa kwamba watapita hospitali halafu na kuanza kuwafaulisha.
Kosa jingine gari imeandikwa Nkuhungu St Gemma ila imeenda Mipango kufuata nini?
Picha hizi ni screenshot za video. Namba hizo ni za gari husika na huyo mwenye shati la draft ni konda