Ricky Blair
JF-Expert Member
- Mar 13, 2023
- 463
- 1,009
mimi sina mkuuJamii Forum wote si mna magari , au lako uliliacha nyumbani mkuu !!
Kwani huwezi kupanda daladala Ukiwa na gari, Mimi napanda daladala sana tu. Huku pickup yangu nikiiacha tuJamii Forum wote si mna magari , au lako uliliacha nyumbani mkuu !!
Muhaya kaeleweka?Kwani huwezi kupanda daladala Ukiwa na gari, Mimi napanda daladala sana tu. Huku pickup yangu nikiiacha tu
Ni wife tu baada ya kununua gari hajawahi kugusa daladala
Shemeji hataki joto la kwenye daladala.Kwani huwezi kupanda daladala Ukiwa na gari, Mimi napanda daladala sana tu. Huku pickup yangu nikiiacha tu
Ni wife tu baada ya kununua gari hajawahi kugusa daladala