DALADALA ZINA VITUKO! TUPE CHAKWAKO[emoji26]

DALADALA ZINA VITUKO! TUPE CHAKWAKO[emoji26]

PANTHERA LEO

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2019
Posts
2,307
Reaction score
3,437
Nakumbuka nilikuwa nimesimama barabarani , daladala ikaja, yule kondakta akaniuliza "unaenda"? Nikamjibu "ndio'' dah yule kondakta akaniambia "Gari sio mbo*o ikikuona isimame, ukiona gari simamisha'"

Dah! tangu siku iyo nilianza kujichanga ninue gari yangu, ila mpaka leo ikifika 100000 napata shida naitumia..


Je ni kitu gani uliwahi kuambiwa na kondakta mpaka leo unakumbuka?
 
Nakumbuka nilikuwa nimesimama barabarani , daladala ikaja, yule kondakta akaniuliza "unaenda"? Nikamjibu "ndio'' dah yule kondakta akaniambia "Gari sio mbo*o ikikuona isimame, ukiona gari simamisha'"

Dah! tangu siku iyo nilianza kujichanga ninue gari yangu, ila mpaka leo ikifika 100000 napata shida naitumia..


Je ni kitu gani uliwahi kuambiwa na kondakta mpaka leo unakumbuka?
Bila shaka wewe ni mwanamke mzuri sana
 
Kama wewe sio mwanamke aliekutukana ni konda. Na ukaamua kuendelea kujitukana kutuletea kama ulivyoambiwa na konda.
Nijuavyo mimi dushe inasimama ikiona papuchi nzuri
Wahuni sio watu wazuri... Nahis labda wewe hujawai panda daladala na kukumbana na matusi.. Kwaiyo huwez kuelewa
 
Mteja ni mfalme.
Wewe mteja kwanini ulikubali kutukanwa?
 
Wahuni sio watu wazuri... Nahis labda wewe hujawai panda daladala na kukumbana na matusi.. Kwaiyo huwez kuelewa
Napanda sana hata sasa hivi niko kwenye daladala ila konda akiniona tu anajua akiniletea ujinga atachakaa.
 
Mhh ukiiona daladala simamisha loooh
Kuna siku nipo ndani ya dala dala, kufika sehemu konda kasimamisha gari ili ampakie Dada aliyekuako pale kituoni, Dada kamwambia konda mimi siendi, dah...!! Konda akamwambia " hata hivyo hii gari haipakii wachawi.." Mbaya kwa konda hakujua kwamba yule ni demu wangu, na alikuwa pale kunisubiri..
Nilipokua naondoka na demu wangu pale kituoni nilimwacha konda anahesabu meno yaliyobakia sebuleni..
 
Mkuu Konda anakutusi hivyo unamuangalia tu..Ungemweka begani..Unamwambia nimesimamisha..Twende nikakuonyeshe ilivyosimama
Mkuu abiria walimcharukia sana nikaona ninyamaze tu alafu nilikuwa naenda sehem takatifu
 
Kuna siku nipo ndani ya dala dala, kufika sehemu konda kasimamisha gari ili ampakie Dada aliyekuako pale kituoni, Dada kamwambia konda mimi siendi, dah...!! Konda akamwambia " hata hivyo hii gari haipakii wachawi.." Mbaya kwa konda hakujua kwamba yule ni demu wangu, na alikuwa pale kunisubiri..
Nilipokua naondoka na demu wangu pale kituoni nilimwacha konda anahesabu meno yaliyobakia sebuleni..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aiseee
 
Kuna siku nipo ndani ya dala dala, kufika sehemu konda kasimamisha gari ili ampakie Dada aliyekuako pale kituoni, Dada kamwambia konda mimi siendi, dah...!! Konda akamwambia " hata hivyo hii gari haipakii wachawi.." Mbaya kwa konda hakujua kwamba yule ni demu wangu, na alikuwa pale kunisubiri..
Nilipokua naondoka na demu wangu pale kituoni nilimwacha konda anahesabu meno yaliyobakia sebuleni..
Hahahaha nimecheka sana
 
Wahuni sio watu wazuri... Nahis labda wewe hujawai panda daladala na kukumbana na matusi.. Kwaiyo huwez kuelewa
Alikuona Mluga luga ndio maana akakwambia hivyo, sijawahi kukutana na matusi ya makondakta ila nilikua bingwa wa kununua kesi hasa konda akinyanyasa wanafunzi.
 
Back
Top Bottom