House4Rent Dalali wa vyumba, Nyumba Viwanja Dar es Salaam

Nyumba Vyumba Vitatu (Masta moja), Sebule,Jiko na Choo cha familia.
Kodi ya Mwezi- Tshs Laki 6
Mahali: Mbezibeach

Maelezo Zaidi - 0716442950
 
Chumba na Choo chake ndani ( Masta)
Ina:
Majidawasa #Umemelukuyake #Fensi #Parking #Usalamawote #NyumbaMpya ndiyo inamaliziwa.

Kodi ya Mwezi: Tshs 150,000

Mahali: Mbezibeach karibu Shule ya Kilimani - barabara ya Goba/Mbezibeach.

Wasiliana: 0716442950/ 0686648630

 
Chumba Sebule Choo ndani na Jiko.
Kodi ya Mwezi: Tshs 150,000
Mahali: Goba njia nne.
Piga: 0716442950

Umeme mita yako, Fensi na Geti.
Nyumba mpya, wewe utaifungua
 

Attachments

  • 20210618075257_9.jpg
    36.3 KB · Views: 7
Chumba Sebule Choo ndani.
Kodi ya Mwezi: Tshs 130,000
Mahali: Goba Kwa Awadhi
Maelezo Zaidi: 0716442950

Umeme mita yako, Fensi na Geti na Parking ipo.
 
Chumba na Sebule, Choo chako mwenyewe nje haushei.
Kodi ya Mwezi: Tshs 100,000
Mahali: Goba njia nne.
Maelezo Zaidi: 0716442950

Umeme mita yako, Usalama upo.
Nyumba mpya, wewe utaifungua.
 
Note: Nyumba mpya, ndiyo ipo Kwenye hatua ya ukamilishwaji..

For site view ( Primary source of information ); Serious buyer contact 0716442950.
 
Apartment ya Vyumba2 (Masta 1), Sebule, Choo cha familia, na Jiko.

Mahali: Mbezibeach, Goigi. Nyumba ya pili kutoka barabara ya lami ya bagamoyo.

Kodi ya Mwezi: Tshs 500,000. Pamoja na gharama za ulinzi, Maji, Usafi na takataka.

Umeme luku yako, Maji ya bomba/dawasa Masaa 24.

Maelezo Zaidi: 0716442950 / 0686648630

 
House forsale
Plot Size - 600sqm
Price - Tshs 35 Milioni
Mahali - Mbezibeach, Tangibovu. One kilometer distance from Main bagamoyo road.

There is 6 Units in the compoud, three units consist of one bedroom (Self-contained) Plus Sitting roon. The other three units consists of one bedroom Sittingroom plus outdoor toilet.


More Information - 0716442950 or 0686648630

 
Nyumba Kwasasa inatumika kwa biashara ya kupangisha.
Ina: Chumba Sebule choo ndani, Ziko 3.
Chumba Sebule choo nje, Ziko 2
Chumba Singo choo, Iko 1

Ukubwa wa Kiwanja: 600 Sqm
Bei: Tshs 35 Milioni
Mahali: Mbezibeach Tangibovu. Umbali wa kilomita 1 Kutoka kituoni tangibovu ( bagamoyo road), Upande wa Kushoto kama unatokea Mwenge.
Maelezo Zaidi: 0716442950 , 0686648630.

Kidokezo: Ukinunua hii nyumba, na ukihamua kuendelea kufanya biashara ya kupangisha. Ndani ya miaka 3 pesa yako inarudi, unaanza kuhesabu faida.

Na kama utahamu kuiweka kisasa zaidi, faida utaipata zaidi

 
Nyumba ipo Sehemu nzuri, huduma zote zinapatika kwa urahisi. Huduma ya maji ya dawasa/bomba, Umeme wa tanesco masaa24, barabara nzuri hadi kwenye nyumba.

Biashara haina zengwe, mwenyenyuma ana nyumba nyingine pembeni anahishi hapo. Matatizo ndiyo yanamfanya aiuze.

Maelezo Zaidi: 0716442950.​

 
Jenga uza wamenizoesha vibaya nikajua nyumba ya 35M nitakuta rangi rangi, uzio, msouth n.k.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…