Huu mzigo ni ngumu Sana kukabiliana nao
Unapoambiwa kuna malaria kwa nini hufi kwa woga wakati malaria inaua watu wengi zaidi? Unapoambiwa kuna ukimwi na kutajiwa dalili zake kwa nini hufi kwa woga. Unapoambiwa kuna magonjwa ya moyo, kisukari au kipindupindu kwa nini hufi kwa woga?
Asprin zitapanda beiKwahiyo kwa sasa hivi hatutakohoa na kubanwa mbavu bali itakuwa ni mwendo wa damu kuganda
Unashindwa kumtaja late Pombe ahahaaa...Uoga utakuja kutuua
zaidi ya hiyo covid 19
Madaktari walikua wapi Zama za Mwendazake?Mabibi na mabwana ugonjwa huu siyo saizi yetu. Kuufanyia mzaha ni kujipalia makaa sawa na mtoto mdogo anayechezea wembe.
Alpha, Beta, Gamma, Epsilon, Delta lugha hizi si za vijiweni na humo ndimo mzaliwa wa Wuhan anamotembea.
Ayajulie wapi hayo babu wa Loliondo, Buza kwa Mpalange au mlingotini bwagamoyo?
=====
Madaktari bingwa wa magonjwa ya mfumo wa upumuaji wamesema kirusi cha wimbi la tatu la ugonjwa wa Covid-19, kimekuja na mbinu tofauti na za kificho kutokana na dalili zake kuu nne.
Dar es Salaam. Madaktari bingwa wa magonjwa ya mfumo wa upumuaji wamesema kirusi cha wimbi la tatu la ugonjwa wa Covid-19, kimekuja na mbinu tofauti na za kificho kutokana na dalili zake kuu nne.
Dalili hizo zimetajwa kuwa ni mate kukauka mdomoni, kupata vipele mikononi na miguuni, kuharisha na damu kuganda kwenye mishipa ya moyo kunakosababisha oksijeni kutosambazwa mwilini na hivyo kusababisha kifo cha ghafla.
Akizungumza na Mwananchi jana, Daktari bingwa wa magonjwa ya ndani ya mfumo wa upumuaji kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) Elisha Osati, alisema kuna mabadiliko yanayoonekana katika dalili mbalimbali za Covid-19 ikilinganishwa na wimbi la kwanza na la pili.
Alisema katika maeneo ambayo wimbi la tatu limetokea kuna wagonjwa bado wanapata dalili za mwanzo, lakini kuna dalili mpya zimejitokeza tofauti na homa, kukohoa, kuchoka, kifua kubana au kupumua kwa shida, ingawa bado kuna wagonjwa wanapata dalili hizo.
“Kumekuwa na dalili za wagonjwa wapya, baadhi ya watu wanapata dalili ya kukauka kwa mdomo, unakuwa mkavu sana pamoja na ulimi kwa sababu hata mate yanakuwa hayatoki vizuri kwa sababu kirusi cha corona kimeonekana kinashambulia baadhi ya tishu na misuli inayozalisha mate iliyopo mdomoni,” alisema.
Chanzo: Mwananchi
=====
My take:
Kuukubali uzito wa ngoma ndiyo mwanzo wa kujua namna ya kuicheza.
Ma
Madaktari walikua wapi Zama za Mwendazake?
Kwa akili za namna hii CCM itaendelea Sana kutawala... dunia inahangaika na Corona alafu wewe unaona maigizo?Maigizo ya corona yanaendelea
Alafu mkifa mnasingizia mmepewa sumu na wastaafuMagufuli aliwakomboa sana kifikra watanzania.
Katiba ,lockdown, barakoa uolewaji wa lema na lisu,chanjo zote ni porojo zilizopuuzwa na wananchi
Kivipi?Unashindwa kumtaja late Pombe ahahaaa...
Kama kawaida yetuAlafu mkifa mnasingizia mmepewa sumu na wastaafu
😀 😀Uoga utakuja kutuua
zaidi ya hiyo covid 19
Kufa kupo, ila hofu inaua haraka zaidi hiyo covidAlafu mkifa mnasingizia mmepewa sumu na wastaafu
Ugonjwa wa kwenye smartphone na TVMadaktari Bingwa wa magonjwa ya mfumo wa upumuaji wamesema kirusi cha wimbi la tatu la ugonjwa wa Covid-19, kimekuja na mbinu tofauti na za kificho kutokana na dalili zake kuu nne.
Dalili hizo zimetajwa kuwa ni:-
- Mate kukauka mdomoni,
- Kupata vipele mikononi na miguuni,
- Kuharisha na
- Damu kuganda kwenye mishipa ya moyo kunakosababisha oksijeni kutosambazwa mwilini na hivyo kusababisha kifo cha ghafla.
Katika maeneo ambayo wimbi la tatu limetokea kuna wagonjwa bado wanapata dalili za mwanzo, lakini kuna dalili mpya zimejitokeza tofauti na homa, kukohoa, kuchoka, kifua kubana au kupumua kwa shida, ingawa bado kuna wagonjwa wanapata dalili hizo.
Hatununui chanjo, hata kama zinakausha damu, madalali punguzeni njaaMabibi na mabwana ugonjwa huu siyo saizi yetu. Kuufanyia mzaha ni kujipalia makaa sawa na mtoto mdogo anayechezea wembe.
Alpha, Beta, Gamma, Epsilon, Delta lugha hizi si za vijiweni na humo ndimo mzaliwa wa Wuhan anamotembea.
Ayajulie wapi hayo babu wa Loliondo, Buza kwa Mpalange au mlingotini bwagamoyo?
=====
Madaktari bingwa wa magonjwa ya mfumo wa upumuaji wamesema kirusi cha wimbi la tatu la ugonjwa wa Covid-19, kimekuja na mbinu tofauti na za kificho kutokana na dalili zake kuu nne.
Dar es Salaam. Madaktari bingwa wa magonjwa ya mfumo wa upumuaji wamesema kirusi cha wimbi la tatu la ugonjwa wa Covid-19, kimekuja na mbinu tofauti na za kificho kutokana na dalili zake kuu nne.
Dalili hizo zimetajwa kuwa ni mate kukauka mdomoni, kupata vipele mikononi na miguuni, kuharisha na damu kuganda kwenye mishipa ya moyo kunakosababisha oksijeni kutosambazwa mwilini na hivyo kusababisha kifo cha ghafla.
Akizungumza na Mwananchi jana, Daktari bingwa wa magonjwa ya ndani ya mfumo wa upumuaji kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) Elisha Osati, alisema kuna mabadiliko yanayoonekana katika dalili mbalimbali za Covid-19 ikilinganishwa na wimbi la kwanza na la pili.
Alisema katika maeneo ambayo wimbi la tatu limetokea kuna wagonjwa bado wanapata dalili za mwanzo, lakini kuna dalili mpya zimejitokeza tofauti na homa, kukohoa, kuchoka, kifua kubana au kupumua kwa shida, ingawa bado kuna wagonjwa wanapata dalili hizo.
“Kumekuwa na dalili za wagonjwa wapya, baadhi ya watu wanapata dalili ya kukauka kwa mdomo, unakuwa mkavu sana pamoja na ulimi kwa sababu hata mate yanakuwa hayatoki vizuri kwa sababu kirusi cha corona kimeonekana kinashambulia baadhi ya tishu na misuli inayozalisha mate iliyopo mdomoni,” alisema.
Chanzo: Mwananchi
=====
My take:
Kuukubali uzito wa ngoma ndiyo mwanzo wa kujua namna ya kuicheza.