Dalili mojawapo ya umasikini ni kufurahia tajiri anapopata matatizo

Dalili mojawapo ya umasikini ni kufurahia tajiri anapopata matatizo

Mshuza2

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2010
Posts
11,261
Reaction score
17,202
Ni kwanini masikini huwa wanafurahi sana wakiona tajiri kapata matatizo?Nafsi zao zinasuuzika sana wakiona tajiri kapata majanga! Yaani roho fulani hivi za kichawi.

Yaani badala wajifunze kwa waliofanikiwa wao kwao ni furaha eti "tumefanana".

Si ajabu kuwakuta sehemu wamekaa wakiteta kwa furaha eti" afadhali,alikua anaringa sana haya kiko wapi?" Hivi tajiri akifanikiwa si ndio na wewe utapatia hapo hapo?

Ifike mahala tubadilike,tutambue matatizo ni sehemu ya maisha..kufurahia matatizo ya wengine ni uchawi tosha!
 
Huyu masikini atafurahi kama huyo tajiri alitumia misukule katika mafanikio yake.
 
Hii nchi matajiri ni wa kutafuta kwa tochi, yapo majambazi ambayo utajiri wao unanuka damu> Unatengeneza ARV za udaga watu wanameza kufa kwa maelfu huku wewe ukitajirika,.
 
Hii nchi matajiri ni wa kutafuta kwa tochi, yapo majambazi ambayo utajiri wao unanuka damu> Unatengeneza ARV za udaga watu wanameza kufa kwa maelfu huku wewe ukitajirika,.
Ndo naiskia kwako hii
 
Hua inasikitisha sana..

Ila inawezekana labda huo utajiri anaipata Kwa kudhulumu....
 
Ndo naiskia kwako hii
arv-pic.jpg
 
Ni kwanini masikini huwa wanafurahi sana wakiona tajiri kapata matatizo?Nafsi zao zinasuuzika sana wakiona tajiri kapata majanga! Yaani roho fulani hivi za kichawi..!
Yaani badala wajifunze kwa waliofanikiwa wao kwao ni furaha eti "tumefanana"

Si ajabu kuwakuta sehemu wamekaa wakiteta kwa furaha eti" afadhali,alikua anaringa sana haya kiko wapi?" Hivi tajiri akifanikiwa si ndio na wewe utapatia hapo hapo? Ifike mahala tubadilike,tutambue matatizo ni sehemu ya maisha..kufurahia matatizo ya wengine ni uchawi tosha!
UMASIKINI NI LAANA
 
Ni kwanini masikini huwa wanafurahi sana wakiona tajiri kapata matatizo?Nafsi zao zinasuuzika sana wakiona tajiri kapata majanga! Yaani roho fulani hivi za kichawi..!

Yaani badala wajifunze kwa waliofanikiwa wao kwao ni furaha eti "tumefanana"

Si ajabu kuwakuta sehemu wamekaa wakiteta kwa furaha eti" afadhali,alikua anaringa sana haya kiko wapi?" Hivi tajiri akifanikiwa si ndio na wewe utapatia hapo hapo?

Ifike mahala tubadilike,tutambue matatizo ni sehemu ya maisha..kufurahia matatizo ya wengine ni uchawi tosha!
He
 
Njoo ujifunze jinsi ya kutengeneza pesa bila kutumia nguvu na bila kuharibu ratiba yako kwa mtaji wa dollar 100 ndani ya mwaka mmoja utakuwa na shilingi zaidi ya milioni 100, believe me, Weka namba yako nikuunge WhatsApp group.
 
Back
Top Bottom