dharau,kejeli,mawasiliano kuanza kuyoyoma taratiiibu,ukikaa naye mara mi namuawai mama cjui mamdogo kaniita so mi naondoka,ukimuita yy kukupa sababu tuonane kesho leo cwez,kuanza kukubebesha mamizigo hata hayakuusu ili uchoke umuache,akianza kutokukujali hata kama unatabu yy hakuonei huruma anaona ni kawaida tu,kuanza kukuambia mbona mm hunifanyii kama flani anavofanyiwa na mpz wake,
.......................hahaaaaaaaaaaaaaaa hapo sasa MULIKA MWIZI