Elections 2010 Dalili ya ushindi wa kushindo kwa chadema imekwishaonekana

Elections 2010 Dalili ya ushindi wa kushindo kwa chadema imekwishaonekana

ejchao7

Member
Joined
Feb 16, 2010
Posts
19
Reaction score
1
dalili hizi ni tosha kuwa chadema sasa imeshakamata nchi

dalili ya kwanza

ratiba ya kampeni ya ccm imebadilishwa ambapo mgombea urais sasa hatapumzika

dalili ya pil
ccm wameshaonesha kushindwa kujibu hoja za msingi na hivyo wameanza kutumia hoja za udaku

dalili ya tatu

ccm wameshindwa kupata sababu ya kumshitaki dr slaa na wanatumia watu wengine na magazeti yasiyo na status

dalili ya nne

hoja wanazotoa ccm ni za kigorilla ambao anayemvamia slaa hajitokezi wazi na hata akiulizwa anajaribu kukana

dalili ya tano

kampeni zinazoendelea zinaonyesha ccm wamekumbwa na zomeazomea hata kwenye maeneo wasiyokuwa wametarajia

dalili ya sita

vyombo vya habari vikuu kama televisheni na baadhi pia ya magazeti yanaogopa kuweka kampeni za chadema wazi wazi na hata wakiweka wanajaribu kuficha hoja zenye nguvu. Tbc kukatisha matangazo yake kuficha baadhi ya hoja zenye nguvu ni mfano mmojawapo

dalili ya saba

hadi sasa chadema ndio chama pekee ambapo wananchi wanachanga fedha zao japo sio wanachama

dalili ya nane

angalia polls zilizoendeshwa na dailynews na walipoona dr slaa anagongesha chart kwa ushindi wa kishindo walizitoa. Hapa jf utaona mwenyewe polls zipo wazi na matokea yapo wazi.

dalili ya tisa

hakuna ahadi zozote zenye mvuto toka ccm, na wananchi wameshashtuka kuwa wanafanywa mabwege

dalili ya kumi

uwezo wa kiuongozi wa dr slaa hakuna hata mmoja aliyeweza kuupinga, na ndio maana wanaleta hoja za magazeti ya udaku, na kuacha mambo ya msingi


nini maana ya hizi dalili

ccm watakuwa wanafikiri jinsi ya kuiba kura baada ya kukosa mvuto kwa umma, na hili ni hatari kwa taifa, kama wataendeleza tabia hii ya kitoto, isiyoonyesha kuheshimu demokrasia.

 
Acha kuchefua watu hapa kwa vijisababu visivyo na fact, hivi unawafahamu watanzania vizuri? watanzania waleo ndiyo wale wanaosema ooh nimelelewa na CCM hivi mtu kama huyu utamuambia nini na umbumbu wake huo kuwa amelelewa na CCM ukimuangalia hana hata pakulala na mlo wasiku hajui kama ataupata? leteni mbinu ya namna gani Chadema itaibuka na ushindi..

Ili chadema Ishinde mimi/wewe tuungane kushawishi wananchi wenzetu kwenda kupiga kura na kuichangu chadema, zaidi ya hivyo tutakuja kukimbizana humu ndani mkidahi CCM wameiba kura!
 
Acha kuchefua watu hapa kwa vijisababu visivyo na fact, hivi unawafahamu watanzania vizuri? watanzania waleo ndiyo wale wanaosema ooh nimelelewa na CCM hivi mtu kama huyu utamuambia nini na umbumbu wake huo kuwa amelelewa na CCM ukimuangalia hana hata pakulala na mlo wasiku hajui kama ataupata? leteni mbinu ya namna gani Chadema itaibuka na ushindi..

Ili chadema Ishinde mimi/wewe tuungane kushawishi wananchi wenzetu kwenda kupiga kura na kuichangu chadema, zaidi ya hivyo tutakuja kukimbizana humu ndani mkidahi CCM wameiba kura!
Mganyizi,
We are counting on your vote.
 
The only solution which I think can work very effectively ni kujibu tuhuma kidogo then mwaga sera nyingi. Aongee kidogo, then habari yote ijae sera zake hakuna kurudi nyuma. Watu watampenda tena sana tu. Hata saizi watu wanamkubali ila kashfa hizo azitumie kama mtaji mzuri, hapa ni kuzichanga vizuri.

Kama magazeti yanaandika sana tuhuma, then ajibu kiduchu then katika kujibu majibu yajae sera za mwaga, utaona wanaacha hata kumzonga.
 
Nafikiri kwa kujaribu kuiba kura ndio suluhisho pekee kwa ccm kushinda, na hapa ndipo kama watanzania watashikilia lao hapa ndipo mchezo utakapo noga, sijui nini kitatokea. . . Mungu na aepushe ! yalikwisha tokea sehemu nyingine duniani ambako nako watu walikuwa waoga na wapole lakini sikumoja walijizira na mambo yakabadilika.
 
Hivi unawafahamu watanzania vizuri? watanzania waleo ndiyo wale wanaosema ooh nimelelewa na CCM hivi mtu!

Hii hapana! hii ilikuwa zamani kaka..

Ili chadema Ishinde mimi/wewe tuungane kushawishi wananchi wenzetu kwenda kupiga kura na kuichangu chadema, zaidi ya hivyo tutakuja kukimbizana humu ndani mkidahi CCM wameiba kura!

Hapa sawa. Na inahitajika zaidi ya hapa. Kama CHADEMA itashindwa kuweka wasimamizi makini katika kila kituo, watakaoweza kuhakikisha matokeo ya kura yanawasiliswa makao makuu haraka iwezekanavyo (hivyo kuwanyima CCM nafasi ya kuchakachua), then tutegemee mengine
 
Si ukweli ata kidogo ni watanzania wachache wanayoikubali ccm,Aya ni maneno wanayotumia ccm kudanganya watanzania kwamba kijijini watu awajui upinzani huo ni uongo mtupu-wizi,propaganda za ccm ili ata wakiiba kura wadanganyika msistuke.watu vijijini wameshaelimika vyakutosha watu awana maji,umeme,barabara,zahanati alafu unasema wanaipenda ccm kivipi.
 
nasubiri kuangalia Chanel 10 nione makamba leo anakuja na yapi maana jamaa kwa siasa za maji Taka???
 
Acha kuchefua watu hapa kwa vijisababu visivyo na fact, hivi unawafahamu watanzania vizuri? watanzania waleo ndiyo wale wanaosema ooh nimelelewa na CCM hivi mtu kama huyu utamuambia nini na umbumbu wake huo kuwa amelelewa na CCM ukimuangalia hana hata pakulala na mlo wasiku hajui kama ataupata? leteni mbinu ya namna gani Chadema itaibuka na ushindi..

Ili chadema Ishinde mimi/wewe tuungane kushawishi wananchi wenzetu kwenda kupiga kura na kuichangu chadema, zaidi ya hivyo tutakuja kukimbizana humu ndani mkidahi CCM wameiba kura!

Yap hiyo imetulia. Kuna watu wako vijijini wanalala kwenye ngozi za ng'ombe ukiwauliza watamchagua nani watakupa jibu la kifala: "Jikwete".

KAzi ipo, lakini mimi naamini jopo linalounda safu ya Chadema ni limejaa 'vichwa' makini. CCM wataanguka tu na umafia wao.
 
Ukweli kazi vijijini bado...... hata hivo matumaini kuwa hata vijijini wamepevuka makubwa mf. vipo vijiji wamechagua chadema serikali za vijiji na uelewa upo.
 
Watanzania, hasa wana-CHADEMA:

Inapokuja kujadili sera, wengi tunalilia haiba za wagombea. Na inapokuja kujadili haiba za wagombea, tunalilia kujadili sera!

Kwa sera na haiba, CHADEMA sasa ni zero! Itawachukua muda kusafisha hilo la Dr. Slaa na tuhunma yake ya kuiba mke wa mtu ... Dr. Slaa ni Mkristo na Mwanasheria ... maadili zero! Na kuna-debase mapambano dhidi ya ufisadi ... kwani anaonekana ni fisadi wa aina yake ... sumu mbaya!Dr. Slaa ametuabisha beyond conscience, we do not want any further mortification to complete our embarrassment!
 
Watanzania, hasa wana-CHADEMA:

Inapokuja kujadili sera, wengi tunalilia haiba za wagombea. Na inapokuja kujadili haiba za wagombea, tunalilia kujadili sera!

Kwa sera na haiba, CHADEMA sasa ni zero! Itawachukua muda kusafisha hilo la Dr. Slaa na tuhunma yake ya kuiba mke wa mtu ... Dr. Slaa ni Mkristo na Mwanasheria ... maadili zero! Na kuna-debase mapambano dhidi ya ufisadi ... kwani anaonekana ni fisadi wa aina yake ... sumu mbaya!Dr. Slaa ametuabisha beyond conscience, we do not want any further mortification to complete our embarrassment!

Say it again... ukimaliza endelea hapo chini
 
Kuna Mtu kanipa theory hii, sikupenda kuiamini. Please take it as a Quizz:

Kuna wapiga kura makundi mawili: Kund A na Kundi B

Kuna vyama vitatu vyenye ushawishi: Chama A, Chama B na Chama C:

Inaaminika kuwa kura za Kundi A: Zitagawanyika kwa Chama A na Chama B na Chama C

Where as kura za Kundi A: Zitaenda Chama A na Chache Chama B

Kundi A ni nani na Kundi B ni nani?

Chama A, B na C ni nani?

Why?
 
Back
Top Bottom